Mhe Mtemvu Vs Prof Kapuya

Mhe Mtemvu Vs Prof Kapuya

Mkuu usiwalaumu sana maana wametengezwa kuwa hivyo! Njaa ikizidi mara nyingi huwafanya wasiwe na uwezo wa kufkiria zaidi ya umbali wa pua zao! BTW hawa watu hawawezi ku-afford BIA na Gharama za Kuingia Disco... ila kama binadamu nao wanastahili kufurahia maisha kwa gharama nafuu ndiyo maana KIGODORO na pombe za mnazi, wanzuki na viroba huwa zinabamba kwa wengi wetu Mkuu... Maisha ni magumu kuliko mnavyofikiria wakuu...MAFISADI wanalitambua hili ndiyo maana wao hawahangaiki na wapiga kura bali WANATENGA fedha kwaajili ya MAWAKALA na TUME YA UCHAGUZI ili waweze kuchakachua both electronically n Manually ...Nguvu ya Ziada inahitajika kuleta mabadiliko si Dar es Salaam Pekee bali Tanzania nzima ...

Mkuu, umesema ukweli kabisa. Unajua mafisadi wa nchi hii wanafahamu kwamba wanaongoza MAITI ndio maana wanafanya ufisadi wote huu bila woga wowote.
 
Hebu angalieni hesabu hii kwa wale mliokuwa hamjui. Kapuya ana hisa UDA. Na rafiki MKUBWA wa Kikwete hapa nchini ni Kapuya, narudia ni Kapuya! Ndiyo sababu kuna harufu ya Ridhiwani katika UDA. Hao wengine ni madalali tu wa kubeba mikoba!

Du! Nchi hii imeoza kuliko tunavyoweza kudhani.
 
Kapuya huyu huyu aliyembaka mtoto wa shule na kumuambukiza ukimwi halafu kesi ikazimwa na hawa maruhuni!!! Sasa anataka kufa huku akiwa amefisadi mali ya wadanganyika; wabunge wa DSM komaeni na hawa mafisadi mpaka kieleweke!!!

huyu mpuuzi ana laana sana. anawambukiza watu UKIMWI halafu anachukua mali zao na kuzifisidi! huyu mzee ni wa kunyongwa mpaka kufa.
 
Kulalamika kwenye jf hakusaidii. Watz amkeni. Simameni kazi na shughuli zote kwa siku kadhaa serikali itajua kuwa ss ndo tuliwaweka madarakani. Pili 2015 idadi ya wapinzani wa ukweli bungeni iwe angalau asilimia 50+. Tatu vijana jitokezeni sasa hivi kugombea serikali za mitaa na ubunge ili muweze kuisimamia serikali ipasavyo.
 
Umesema la maana sana... huu si wakati wa kulalamika bali ni wakati wa kuonyesha tumechoshwa kwa vitendo... I wish wengi wetu tungekuwa na mtazamo wako Mkuu...
 
Back
Top Bottom