Kama kawaida,watanzania tu watu Wa kuwaachia wanasiasa wafanye kila kitu,,,sisi ni wazee Wa kusikilizia na kusema,,,ewala,,ingelikuwa nchi nyingine sidhani Kama hawa panya wangekuwa wanapumua uraiani,,na ndio maana wanajigamba kwamba hawagusiki,,,hakyanani lazima watanzania tumkumbuke sana nyerere. Sidhani Kama angekuwa ni yy magogoni Huu upuuzi ungefanyika,,,YAANI KIKWETE NAMFANANISHA NA BABA ALIYETOKA GESTI NA TOTOZ NA KUKUTANA ANA KWA ANA NA BINTIYE NA BZI LAKE,kinachodndelea ni kudharauliwa kwa baba na mtoto kufanya atakayo,,,wameiba vingapi na bado wako madarakani????hii nchi kuja kuendelea ni ndoto kwa style hii.njia pekee ya kujikomboa ni kuiondoa Chama Cha Majambazi madarakani,