Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Analijua Hilo atakamatwa ndo vizuri ili lile neno litimieWasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama