SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Kwani nani amesema wewe utakuwa Rais?Akamalize kesi zake kwanza. Hatutaki visingizio. Na kwa taarifa yako, nchi hii haiwezi kuongozwa na shoga!
Kwani nani amesema wewe utakuwa Rais?Akamalize kesi zake kwanza. Hatutaki visingizio. Na kwa taarifa yako, nchi hii haiwezi kuongozwa na shoga!
Hao tayari wako nchini muda mrefu..Anakuja na wakili wake mbobevu kutoka marekani, somebody Asterdam kama sikosei so usiwe na wasi wasi.
Kwa hapa. Nchini Kuna tofauti gani Kati ya magu na mahakama?Ni amri ya mahakama sio magu
Kumkamata itakuwa ni utoto wa kiutuuzimaWasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Endeleeni kuitunishia dunia vimishipa vyenu vya udikteta uchwara soon mtaokotwa kwenye mitaro 😃😃😂😂😂Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Mkuu DOUGLAS SALLU ,kwa nini unafananisha "mkuu wa meza" na vitu vya ajabu na takataka?? Omba radhi tafadhali.Nguruwe wa Lumumba mnamuogopa sana LissuView attachment 1517258
That will be the highest blunder JPM regime has ever committed.Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Twasubiri. AmenWasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Tafadhali usianze na 'wasalaam'.Hilo huwa ni neno la kumalizia.Anza na neno 'salaam'. Ushamba wa lugha unasababisha kututia kichefuchefu tusisome mabandiko yenu.Hili nimelisoma ili nikuonye usirudie tena.Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Eti nimeona katibu wa chama anasema eti jumanne atakuwa uhuru uwanjani kwenye kuaga.Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Hiyo namba 2 bhanaMkisha mkamata mumfungulie mashitaka yafuatayo:-
1. Kumaliza risasi za mamlaka ya wauaji
2. Kufanya kiburi na kugoma kufa
3. Kwenda kutibiwa nje bila ruhusa ya mkuu
Hakuna dhamana yake yoyote ikiyo futwa.. Hata wiki iliyo pita DPP alikataa washamini wa Lissu kupewa arrest warrant. Akitaka washamini waendelee na dhamana zao.Ni amri ya mahakama sio magu
Usisinguzie utaratibu umepengwa kumnyima dhamana wakati unajua fika kuwa ukikiuka masharti ya dhamana kinachofuata ni kuondolewa dhamanaWasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Duuh kweliKwa hapa. Nchini Kuna tofauti gani Kati ya magu na mahakama?
Ni amri ya mahakama sio magu
Aje tu. hakamatwi.Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.
Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.
Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama