Tetesi: Mhe. Lissu kukamatwa airport pindi atapowasili

Status
Not open for further replies.
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Kumkamata itakuwa ni utoto wa kiutuuzima
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Endeleeni kuitunishia dunia vimishipa vyenu vya udikteta uchwara soon mtaokotwa kwenye mitaro 😃😃😂😂😂
 
Hizi ni mada za kulazimisha attention na kuongelewa. Ndio hawa hawa Keyboard warriors waliomuingiza chaka Mange Kimambi
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
That will be the highest blunder JPM regime has ever committed.
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Twasubiri. Amen
 
Kweli nazidi kuamini kuna watu walioko kwenye system hawakupenda huyu GENTLEMAN TL Hata apone....ila ya Mungu mengi.jamaa anarudi home..... Home sweet home and not otherwise.katika historia ya siasa za Tanzania sijawahi kushuhudia chuki za wazi wazi kabisa za kisiasa kama awamu Hii.
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Tafadhali usianze na 'wasalaam'.Hilo huwa ni neno la kumalizia.Anza na neno 'salaam'. Ushamba wa lugha unasababisha kututia kichefuchefu tusisome mabandiko yenu.Hili nimelisoma ili nikuonye usirudie tena.
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Eti nimeona katibu wa chama anasema eti jumanne atakuwa uhuru uwanjani kwenye kuaga.
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Usisinguzie utaratibu umepengwa kumnyima dhamana wakati unajua fika kuwa ukikiuka masharti ya dhamana kinachofuata ni kuondolewa dhamana
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mh Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Aje tu. hakamatwi.
Ila atakimbia weeeeeee ila atajileta tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom