Mhe. Lema: Mimi siyo Blueband

Mhe. Lema: Mimi siyo Blueband

"Wakati wabunge wengine na viongozi wengine wanahama Arusha, Bashiru alinipigia, akaniuliza shilingi ngapi? nikamjibu mimi sio blueband. Nikamwambia nitagombea ubunge nishindwe, lengo langu sio kuwa mbunge kinyume na haki, lengo langu ni kupigania haki" Mhe. @godbless_lema https://t.co/x8XVHbGl7I
Lema siyo mtu wa ndiyo mzee, anajitambua na kuheshimu haki za binadamu
 
Lema hajawahi kuwaangusha wapiga kura wake
Unapokua mpinzani inabidi uwe mpinzani wa kweli na sio mnafiq, kuna changamoto nyingi utazipata moja wapo ni rusha especially hizi nchi za Afrika, unatakiwa na msimamo, Big up Lema
 
Watawala wanajiona wapo juu ya sheria
Hii biashara hii! Historia tu ndiyo ambayo itakuja kutoa hukumu za haki. Chama tawala chenye kushika dola na lundo la wasomi wengi, kugeukia silaha ya rushwa "as their last resort for survivor"!? Pathetic.
 
Nina wasi wasi na usomi wake huyo Bashiru
Bashiru hata aibu haoni; yani msomi anaamini kwenye siasa za kitapeli, za kununua watu, halafu alivyokosa heshima anampigia na Lema anamuuliza vipi na wewe, kuthibitisha uhalifu wao kwa demokrasia.

Ndio maana alijisifu wanategemea dola kushinda uchaguzi.
 
"Wakati wabunge wengine na viongozi wengine wanahama Arusha, Bashiru alinipigia, akaniuliza shilingi ngapi? nikamjibu mimi sio blueband. Nikamwambia nitagombea ubunge nishindwe, lengo langu sio kuwa mbunge kinyume na haki, lengo langu ni kupigania haki" Mhe. @godbless_lema https://t.co/x8XVHbGl7I
Kama ni kweli Bashiru amefanya biashara za kununua watu ni aibu kubwa sana na Ccm haistahili kuendelea kutawala. Kumbuka ahadi za mwana TANU sita pokea wala kutoa rushwa..
 
Chadema inaishiwa nguvu sio kama mna nunuliwa nyie wenyewe kama chadema ni shida, mnafukuzana bila mpango, wanachama na wabunge wenu kulalamika hali ilivyo ndani ya chama bila hatua zinazo chukuliwa, kwa hiyo mnataka kutuaminisha Lwakatare pia kanunuliwa na CUF? wana chama wangapi wameenda NICE mageuzi pia wamenunuliwa? , tatueni tatizo lilipo chadema sio kutafuta sehemu ya kujificha wakati tatizo tunaliacha lipo kwa muda mrefu. Msizani CCM ni strong sana hadi itawale miaka hii yote la hasha bali upinzani Tanzania ni dhaifu.
Mifano yako ya ajabu sana, hujui kama Lwakatare alifukuzwa Chadema? Upinzani dhaifu huku unauzuia kufanya siasa? Utopolo kweli kweli!
 
Back
Top Bottom