Mhe. Lema: Mimi siyo Blueband

Mhe. Lema: Mimi siyo Blueband

Hii biashara hii! Historia tu ndiyo ambayo itakuja kutoa hukumu za haki. Chama tawala chenye kushika dola na lundo la wasomi wengi, kugeukia silaha ya rushwa "as their last resort for survivor"!? Pathetic.
 
Unapokua mpinzani inabidi uwe mpinzani wa kweli na sio mnafiq, kuna changamoto nyingi utazipata moja wapo ni rusha especially hizi nchi za Afrika, unatakiwa na msimamo, Big up Lema

Kwahiyo unataka kusemaje kuhusu Lijualikali?
 
Hii biashara hii! Historia tu ndiyo ambayo itakuja kutoa hukumu za haki. Chama tawala chenye kushika dola na lundo la wasomi wengi, kugeukia silaha ya rushwa "as their last resort for survivor"!? Pathetic.

Mkuu hebu toa hilo neno lundo la wasomi ili usichafue maoni yako mazuri. Sema lundo la wanunua vyeti vya elimu. Hakuna msomi anaweza kufanya mambo ya kujidhalilisha hivyo.
 
Unapokua mpinzani inabidi uwe mpinzani wa kweli na sio mnafiq, kuna changamoto nyingi utazipata moja wapo ni rusha especially hizi nchi za Afrika, unatakiwa na msimamo, Big up Lema
Tunatakiwa Watanzania wote tufuate nyayo za Mh Lema,wakija na rushwa zao kama kofia,t-shirts, kanga,kitenge,sukari,pombe,chumvi au kingine chochote,tuwaambie hatununuliki.Tuukatae unyonge,hofu na chuki tunazopandikiziwa na hawa watawala wababe.Bila rushwa huwa ni wepesi hawa.
Kila mpenda mabadiliko nchi hii atumie nafasi yake kujielimisha yeye na wapendwa wake kuhusu haki za mpiga kura,wajibu wake na elimu ya uraia ili sote tufahamu thamani ya kura zetu.Tupige kura kuwakataa hawa wakoloni weusi,tuhakikishe tunalinda kura zetu hadi matokeo halali yatangazwe.
Vinginevyo tusilalamikie ugumu wa maisha na umaskini uliotopea miongoni mwa wengi.
 
Ukiona Mbunge wa Upinzani kabaki Upinzan hadi leo ujue Maombi yake yamekataliwa Ccm~Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama kikongwe Duniani
 
Kwa hiyo mnataka wote wahamie CCM? Sasa kuna umuhimu gani wa kuwa na mfumo wa vyama vingi? Kwanini mlikubali mfumo wa vyama vingi?
 
Chadema inaishiwa nguvu sio kama mna nunuliwa nyie wenyewe kama chadema ni shida, mnafukuzana bila mpango, wanachama na wabunge wenu kulalamika hali ilivyo ndani ya chama bila hatua zinazo chukuliwa, kwa hiyo mnataka kutuaminisha Lwakatare pia kanunuliwa na CUF? wana chama wangapi wameenda NICE mageuzi pia wamenunuliwa? , tatueni tatizo lilipo chadema sio kutafuta sehemu ya kujificha wakati tatizo tunaliacha lipo kwa muda mrefu. Msizani CCM ni strong sana hadi itawale miaka hii yote la hasha bali upinzani Tanzania ni dhaifu.
 
Huyu ni jambazi sugu bora ashinde arudi bungeni, vinginevyo atasumbua sana raia!
Na yule jambazi aliyemfukuza C.A.G ili aibe vizuri tumuweke kundi gani?

Amemuweka mtoto wake hazina ili aibe vizuri tumuweke kundi gani?

Unajua yule mfanyakazi wa MOF aliyenyongwa alifanya kosa gani?

Endelea kumtetea SHETANI!.
 
Bashiru hata aibu haoni; yani msomi anaamini kwenye siasa za kitapeli, za kununua watu, halafu alivyokosa heshima anampigia na Lema anamuuliza vipi na wewe, kuthibitisha uhalifu wao kwa demokrasia.

Ndio maana alijisifu wanategemea dola kushinda uchaguzi.
 
Back
Top Bottom