Mhe. Edward Lowassa apata mapokezi mazito Nzega

Mhe. Edward Lowassa apata mapokezi mazito Nzega

Fisadi papa, labda kwa kubahatisha asubiri mwaka 2055.
 
sasa wanapaswa kwenda mpaka ngaz ya kata il kujijenga! ila akipta 2 ktk mij ajue kuwa anatwanga maj kwene kinu!
 
Lowassa amekuwa mpya utadhani ni kijana wa miaka 20, Kweli kujihusisha na CHAMA CHA MAGAMBA kunazeesha.

Songa mbele baba!
 
Makonda wako kiboko yake chinga tu hana uwezo wa kuwatoa mjini. Alafu kumbuka hao chinga mamantirie na bodaboda ni marafiki wa lowassa.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mpka jpm amewaomba urafiki. VP hapo upo?
Kamuulize huyo Lowassa aliyefanya hao machinga bodaboda wawe marafiki zake
 
Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa apata mapokezi ya kishindo katika mji wa Nzega asubuhi ya leo yupo Nzega kwenye ziara yakikazi


Halafu anatanua tu kwenye Lami yetu, fisadi lowasa usione vyaelea, tumeviunda!!

img-20161212-wa0031-jpg.445279

 
Mbegu ya kura ukawa waliyoipanda 2015sio rahisi kupukutika tutegemee uchaguzi kwenye ushindani 2020.
Ukiangalia na hali ya sasa jinsi ilivyo huko mbeleni CCM watakanyagana sana
 
Yule mbunge mkabila wa kanda hizo / sijui atajionaje?/ sijui kwa akili ya ukabila wake kama ni kweli ni mtanzania,maana sisi watanzani hatuna akili mbaya namna hii.
 
Vp mbona yupo kmya suala la lema?Hata kumwangalia shda?
 
Hivi huyo mzee bado anataka nini? Ingawa nilimpa kura yangu, lkn asingetufikisha Tanzania tunayotaka. Magufuli anatosha kutunyoosha. Maana watanzania hamna kizuri. Jk alitembea sana mkampa jina la vasco!!! Go magu!!!

Go go : That is literal translation from kiswahili of nenda nenda nenda tu....... reason is lack of mastery of the Queen's language!
 
Back
Top Bottom