Hivi ni kwa nini walimu ndio wanaonekana walifeli? Ili uwe qualified kusomea ualimu ngazi ya cheti ni lazima uwe na kuanzia div four ya point 27 kushuka chini, lakin kusomea fani zingine kama uhasibu, sheria na zinginezo kwa ngazi ya cheti wanachukua mpaka div 4 ya 30. Ila wanao onekana kufeli na walimu tu! Kwa diploma ni principal pass moja na subsidiary mbili sawa na fani zingine, ila ukisoma ualimu utaonekana umefeli, kwa shahada ni kitu kile kile minimum qualification zinajulikana ila bado tu walimu wataitwa waliofeli!!!!!! Duh, this is unfair, kosa kubwa la walimu kuzalauliwa na kutukanwa na jamii yao ni sababu ya umaskini wa familia zao, licha ya malipo duni walilazimika kusomea ualimu kwa sababu ndio kazi ambayo ina uhakika na uhalaka wa kupata ajira na mkopo wa maana unapokuwa chuoni! Kama government itaamua kuboresha posho na mishahara ya walimu nina hakika dharau zote hizi juu ya walimu wetu yatima na maskini wanaodhurumia, kutapeliwa, kuteswa na kutukanwa na watawala itakoma na hao wanaojiita "waliofaulu" watatamani na kukimbilia uualimu.Hivi ni kwa nini walimu ndio wanaonekana walifeli? Ili uwe qualified kusomea ualimu ngazi ya cheti ni lazima uwe na kuanzia div four ya point 27 kushuka chini, lakin kusomea fani zingine kama uhasibu, sheria na zinginezo kwa ngazi ya cheti wanachukua mpaka div 4 ya 30. Ila wanao onekana kufeli na walimu tu! Kwa diploma ni principal pass moja na subsidiary mbili sawa na fani zingine, ila ukisoma ualimu utaonekana umefeli, kwa shahada ni kitu kile kile minimum qualification zinajulikana ila bado tu walimu wataitwa waliofeli!!!!!! Duh, this is unfair, kosa kubwa la walimu kuzalauliwa na kutukanwa na jamii yao ni sababu ya umaskini wa familia zao, licha ya malipo duni walilazimika kusomea ualimu kwa sababu ndio kazi ambayo ina uhakika na uhalaka wa kupata ajira na mkopo wa maana unapokuwa chuoni! Kama government itaamua kuboresha posho na mishahara ya walimu nina hakika dharau zote hizi juu ya walimu wetu yatima na maskini wanaodhurumia, kutapeliwa, kuteswa na kutukanwa na watawala itakoma na hao wanaojiita "waliofaulu" watatamani na kukimbilia uualimu.