Mapya Yaja
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 560
- 403
Ili iweje sasa hata nikutajie shule!?Shule gani? Mwaka gani?
Ili iweje sasa hata nikutajie shule!?Shule gani? Mwaka gani?
Hata einstein na billgate walifeli shule ila sio maisha
Hebu tafsiri kwanza kufeli ni nini halafu tuendelee na mjadala........Sekta zingine- Take note hata jeshini wanakwenda waliofeli (sijui siku hizi). Lakini jeshini wana utaratibu wa kuingia kule siyo free kama kwa walimu. Hivyo attention ya jamii haiko huko kwa vile hakuna direct impact kwa mtu wa kawaida. Pili umuhimu wa sekta yenyewe. Huu ni uhai wa taifa kwa kila nyanja even at individual level. Mzazi anataka mtot wake aelimike apate kazi nzuri. Shule za kata wote (???) wanafeli! Lazima watu wapige kelele!
Mbona unapotosha wakati waliobaki baki wa nafundisha hadi darasa la saba tena Maths na Sayansi? Na nina ushahidi wa Ilala jijini DarNi siasa hakuna aliyeipenda UPE na walikuwa wanafundisha darasa la kwanza tu! Nina mdogo wangu ni UPE lakini mpaka sasa bado unaona kuna pengo- bahati mbaya hakujiendeleza.
Tupo mm n Mwalimu nafundisha Secondary-Kahama, csee nilipata div3 point 22, Acsee nilipata div2 point 10, BA(ed) ya DUCE nina Upper second with honors! Sasa hii hoja ya ualimu n chaka la waliofeli linahusu walimu wa ngazi IPI? Kama n primary yawezekana kabsa wapo waliofel wanafundsha huko! Ukitaka nikuthbitishie niliyosema kuhusu elimu yangu njoo PM' ntakutumia vyeti vyangu vyote kuanzoa 0-level hadi universityUalimu ni sehemu nyeti huwezi kulinganisha na sehemu ulizozitaja.Wote uliowataja wanatokana na mwalimu, hivyo mwalimu akiwa mbovu kila kitu kinakuwa kibovu.
Let us face the reality! Kuna mwanafunzi aliyepata division 1 or 2 (nadhani hata three??????) akaenda ualimu?
Tupo mm n Mwalimu nafundisha Secondary-Kahama, csee nilipata div3 point 22, Acsee nilipata div2 point 10, BA(ed) ya DUCE nina Upper second with honors! Sasa hii hoja ya ualimu n chaka la waliofeli linahusu walimu wa ngazi IPI? Kama n primary yawezekana kabsa wapo waliofel wanafundsha huko! Ukitaka nikuthbitishie niliyosema kuhusu elimu yangu njoo PM' ntakutumia vyeti vyangu vyote kuanzoa 0-level hadi universitySina hakika Mkuu. Ngoja waje.
HONGERA KWA 2ND UPPER! Nilitaka nisijibu maana sababu nimezitoa kwa nini mtu wa div 1,2 anakwenda ualimu. Soma humu. Umemaliza lini? Shule zipi? DUCE nimesoma pale 1979 wakati huo ikiwa Chang'ombe (sikumaliza nilikatisha). Lecturers wanawatoa wapi walio competent hapo chuoni! Kuna vyuo ukisema nimesoma pale Tanzania, kila mmoja anakuwa na mashaka na competence yako (sisemi DUCE) ujue hilo. Hata wa ST Joseph bila kugundulika ingelikuwa na product mitaa za hovyo-nasikia pale kuna first class nyingi tu!Tupo mm n Mwalimu nafundisha Secondary-Kahama, csee nilipata div3 point 22, Acsee nilipata div2 point 10, BA(ed) ya DUCE nina Upper second with honors! Sasa hii hoja ya ualimu n chaka la waliofeli linahusu walimu wa ngazi IPI? Kama n primary yawezekana kabsa wapo waliofel wanafundsha huko! Ukitaka nikuthbitishie niliyosema kuhusu elimu yangu njoo PM' ntakutumia vyeti vyangu vyote kuanzoa 0-level hadi university
DUCE nmemaliza 2013, lecturer weng ndio wanaofundisha main campus-udsm' o-level na A-level nmesoma government schools! Hii hoja ya kuwa "ualimu n kichaka cha waliofeli" haina uhalisia kiasi hicho ambacho watu wanaaminiHONGERA KWA 2ND UPPER! Nilitaka nisijibu maana sababu nimezitoa kwa nini mtu wa div 1,2 anakwenda ualimu. Soma humu. Umemaliza lini? Shule zipi? DUCE nimesoma pale 1979 wakati huo ikiwa Chang'ombe (sikumaliza nilikatisha). Lecturers wanawatoa wapi walio competent hapo chuoni! Kuna vyuo ukisema nimesoma pale Tanzania, kila mmoja anakuwa na mashaka na competence yako (sisemi DUCE) ujue hilo. Hata wa ST Joseph bila kugundulika ingelikuwa na product mitaa za hovyo-nasikia pale kuna first class nyingi tu!
Hakuna sababu ya msingi kama kuipenda kazi unayoenda kusomeaSawa, una sabau za msingi kama vile kupata mkopo, kupata ajira. Haiwezekani ukaenda ualimu kama huna sababu ya msingi na una div 1,2.
Huwezi kupenda kusomea umasikini ,kukosa heshima kwenye jamii, kupigwa viboko na DC, etcHakuna sababu ya msingi kama kuipenda kazi unayoenda kusomea
Kwaiyo wewe unaamini hakuna Mwl mwenye hali nzuri nchi hii?? Kuuondoa umasikini ni zaidi ya kutegemea kazi uliyoajiliwa Nayo ni vile utatumia muda wako kuchekecha akili zako tofauti na pato upewalo na mwajiri wako! Kuna wafanyakaz wa benki wengi tu wanalipa mishahara sawa au chini ya mia 5 elfu anayopokea Mwl acha mawazo mgando hayo Nenda Ubungo Bus Terminal Ulizia gari inaitwa KIPACHA inafanya safari za Handeni -Dar-Songe alafu ulizia mmiliki wa iyo gari ni nani? Ni Mwl wa shule ya Msingi Handeni kwa taarifa yako ilukitumia muda vizur umasikini unaepukika bila kuhitaji ajira au mshahara mkubwaHuwezi kupenda kusomea umasikini ,kukosa heshima kwenye jamii, kupigwa viboko na DC, etc
kua na adabu mzee, unasema bila aibu kua umemaliza university 1983 ukaa bila kusaidia kuweka utaratibu mzuri was kupata walimu alafu unakuja kulaumu watu ambao hata primary hawajamaliza kwa upuuzi wenu nyie wazee. Unaongea utafikiri miaka hiyo kuna mwenye PHD alikufundisha sekondari...Kweli Magufuli alisema kweli kua nyie Wazee ndo mmearibu nchi hiiHapana sikufundishwa na hao please. Nimemaliza University 1983! Hapakuwa na upuuzi wa sasa. Afterall University ilikuwa moja usingelithubutu kwenda huko bila sifa
Umesomea ualimu kwa vile labda kwa ajili ya uhaba wa ajira/mikopo- wazazi kutokuwa na uwezo kifedha. Watoto wetu wanakwenda huko na div 1 ya form six (kupata ajira with hope kuwa kwa vile form six pass zangu ni nzuri nitabadilisha mbele, na wengi wamefanya hivyo kama vyeti vyao vya form six ni vizuri) not form 4.
Ualimu ni sehemu nyeti huwezi kulinganisha na sehemu ulizozitaja.Wote uliowataja wanatokana na mwalimu, hivyo mwalimu akiwa mbovu kila kitu kinakuwa kibovu.
Let us face the reality! Kuna mwanafunzi aliyepata division 1 or 2 (nadhani hata three??????) akaenda ualimu?