dan87
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 394
- 176
Kweli itakuweka huru,Sidhani kama unajua unachokiongea. Mimi nilipata dv 2 form iv na form vi lakini ni mwalimu. Isitoshe walimu wengi wa sekondari ni wale wenye div I-III.
Kweli itakuweka huru,Sidhani kama unajua unachokiongea. Mimi nilipata dv 2 form iv na form vi lakini ni mwalimu. Isitoshe walimu wengi wa sekondari ni wale wenye div I-III.
Nilienda hadi fvi na kupata div 2Kwa nini hukwenda form five? Mwaka gani na shule gani? Kama kuna wengine kama wewe wana sababu au wewe una sababu zako unazozijua wewe na ni WACHACHE- NEGLIGIBLE!
Mkuu sidhani km uko sahihi,nadhani mtoa mada ana hoja ingawa pia km angepata muda wa kuisikiliza ile hotuba nadhani asingemuomba afute kauli. Bashe alikuwa analenga kubadili mfumo mzima wa elimu yetu.Kigodoro una uhakika nadhani. Form five huwa wanachukua div 1 and 2. Rarely div 3. Fanya homework kidogo. Angalia majina ya wanaokwend ualimu na tafuta pass zao NECTA (siku hizi wanaweka namba, tafuta ya zamani before Exam number system) utauona ukweli. Shule za binafsi wanafuatilia matokeo ya form 4 na six, kama div 4 hawakuajili!
Nadramkuu usikariri vibaya. sio kila mwenye division one lazima aende form five. amka.
Sekta zingine- Take note hata jeshini wanakwenda waliofeli (sijui siku hizi). Lakini jeshini wana utaratibu wa kuingia kule siyo free kama kwa walimu. Hivyo attention ya jamii haiko huko kwa vile hakuna direct impact kwa mtu wa kawaida. Pili umuhimu wa sekta yenyewe. Huu ni uhai wa taifa kwa kila nyanja even at individual level. Mzazi anataka mtot wake aelimike apate kazi nzuri. Shule za kata wote (???) wanafeli! Lazima watu wapige kelele!
Hivi huyo mwanafunzi aliepata one na two na hakwenda kwenye ualimu alifundishwa na nani akapata hiyo one au twoUalimu ni sehemu nyeti huwezi kulinganisha na sehemu ulizozitaja.Wote uliowataja wanatokana na mwalimu, hivyo mwalimu akiwa mbovu kila kitu kinakuwa kibovu.
Let us face the reality! Kuna mwanafunzi aliyepata division 1 or 2 (nadhani hata three??????) akaenda ualimu?
Nadra aisee, nilipo maliza kidato cha 4 walio pata div 1 na 2 na wachache sana div 3 walienda kidato cha 5 ila the lest na div 4 walienda ualimu, jwtz na polisi ikiwa pamoja na Mimimkuu usikariri vibaya. sio kila mwenye division one lazima aende form five. amka.
Shule za binafsi!Hivi huyo mwanafunzi aliepata one na two na hakwenda kwenye ualimu alifundishwa na nani akapata hiyo one au two
Kwa masomo ya arts alilenga kuwa lingiustics ingelimpa ujiko wa Ajila.Mdogo wangu ni mwalimu alipata div.2 kidato cha 4 akaenda cha 5 na 6 akapata div.1 akaenda kusoma uwalimu na leo ana masters ya linguistics na serikali bado haijampandisha mshahara huu mwaka wa 3 hatari sana .
mwaka wetu one mpaka three tena grade A, wengi ndio maafisa elimu wa mikoa wilaya sasaUalimu ni sehemu nyeti huwezi kulinganisha na sehemu ulizozitaja.Wote uliowataja wanatokana na mwalimu, hivyo mwalimu akiwa mbovu kila kitu kinakuwa kibovu.
Let us face the reality! Kuna mwanafunzi aliyepata division 1 or 2 (nadhani hata three??????) akaenda ualimu?
Yes jeshini kama ni infantry na siyo logistics, huitaji div 1. Jeshini walitwambia akili acha mlangoni, huko ni nguvu basi! Labda kama hukwenda jeshini! Nakumbuka afande Chacha alikuwa anasema msituletee form six yenu hapa. Tunataka nguvu!Kwa hiyo maana yako ni kuhalalisha failure jeshini na kuharamisha failure elimu
Wapo! Labda kama wa miaka hii. Ila enzi zile za Mlimani peke yake walikuwepo....Ila kusema ukweli NI WACHACHE!Ualimu ni sehemu nyeti huwezi kulinganisha na sehemu ulizozitaja.Wote uliowataja wanatokana na mwalimu, hivyo mwalimu akiwa mbovu kila kitu kinakuwa kibovu.
Let us face the reality! Kuna mwanafunzi aliyepata division 1 or 2 (nadhani hata three??????) akaenda ualimu?
Shule gani? Mwaka gani?Nilienda hadi fvi na kupata div 2