CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Umelaaniwa wewe mtoto hayawani. SHETANI AKULINDE DAIMAkua na adabu mzee, unasema bila aibu kua umemaliza university 1983 ukaa bila kusaidia kuweka utaratibu mzuri was kupata walimu alafu unakuja kulaumu watu ambao hata primary hawajamaliza kwa upuuzi wenu nyie wazee. Unaongea utafikiri miaka hiyo kuna mwenye PHD alikufundisha sekondari...Kweli Magufuli alisema kweli kua nyie Wazee ndo mmearibu nchi hii