QUOTE =Amosam;505635]Du hapa kwenye rangi nyekundu mzee umechapia,Suzan Mungy(Mongi) hata Maulid Kitenge hujui kama katokea Tabora?Baba yake anaitwa Baraka Kitenge mchezaji wa zamani wa vijana wa Jangwani.
Suzan Mungy ni mtu wa Tanga ila ameolewa na mtu mwenye hilo jina la Mungi.
Suzan Mungy ni mtu wa Tanga ila ameolewa na mtu mwenye hilo jina la Mungi.