Taatizo ni uwezo mdogo wa kuchanganua hoja. Naona watu hawana kabisa ability ya kutoa hoja zinazotokana na uchambuzi makini wa similarities na tofauti za scenarios anuai. Matokeo ya Middle East, West Africa, Central Africa, Iraq yanawiana kwenye vifo tu lakini mikondo, malengo na mifumo ya asili na namna ya matokeo ya vifo hivyo ni tofauti. Na america si mburura. Ni wataalam wanaofanya uchambuzi kabla hawajaamua wafanye intervention ya aina gani kama ni lazima na kwa tukio lipi na sababu zipi.
Sasa watu wanaharisha tu bila kudigest kwa kukosa maarifa sahihi. Wanataka America aingilie kijeshi kila mgogoro duniani ama la sivyo asisaidie popote. Huo si ni ................ na ukosefu wa fikra wa hali ya juu?
Mwisho wa siku watasema aingilie kijeshi mauaji yanayofanywa na ccm kwa wapinzani, hujuma za katiba, wizi, ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za uma.
Sasa watu wanaharisha tu bila kudigest kwa kukosa maarifa sahihi. Wanataka America aingilie kijeshi kila mgogoro duniani ama la sivyo asisaidie popote. Huo si ni ................ na ukosefu wa fikra wa hali ya juu?
Mwisho wa siku watasema aingilie kijeshi mauaji yanayofanywa na ccm kwa wapinzani, hujuma za katiba, wizi, ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za uma.
Palestina na Iraq wapi na wapi? Ukilaumu suala la Palestina ni sawa lakini si haki kucompare!!! Kule middle east mbona both sides zina makosa? Yale mahandaki hukuyaona? Na hizo rockets je? Israel also is to blame. Numerous children and innocent civilians have been butchered. Lakini Hamas ndio wanaanza na Israel wanaretaliate vibaya. Both side are to blame in middle east!!! Sasa Iraq ni hao magaidi tu wanatesa minorities. Sasa wameteka wasichana kibao wa kabila la Yazidi! Ni haki hii? Hawafai kabisa na huyo mhadhiri hakujibu maswali kalalamika tu. I think he was not objective.