Bundewe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 400
- 141
Umbea mwingine bana,hata wanawake hawako hivyo,hebu futa hii thread bana maana tunakuheshimi ati.
You have a good point, ila waombe radhi wanawake
Umbea mwingine bana,hata wanawake hawako hivyo,hebu futa hii thread bana maana tunakuheshimi ati.
Wana JF;Waheshimiwa wa Chadema ndio wanasababisha yote haya
Tena nadhani huyo ni Wema Sepetu(Angalieni magazeti ya leo), Miss Tanzania wa zamani, baada ya kumalizana na mahakama sasa kaamua kupanda majukwaani uchi
Certificate in Terrorism Studies
Wana JF;
Huko mbele mtakuja kunikubalia kuwa angalau 50% ya watu humu JF wanashahibiana/kufanana na avatar zao, kimwonekano ki-tabia na kimatendo! Believe me! Rejao: Meno ya juu yako kwenye kidevu, halafu ya chini yako kwenye koromeo. Hawezi kupishana sana na avatar yake!
Wana JF;
Huko mbele mtakuja kunikubalia kuwa angalau 50% ya watu humu JF wanashahibiana/kufanana na avatar zao, kimwonekano ki-tabia na kimatendo! Believe me! Rejao: Meno ya juu yako kwenye kidevu, halafu ya chini yako kwenye koromeo. Hawezi kupishana sana na avatar yake!
Nimekuwa nikisiliza Radio Clouds fm. Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na Tangazo ambapo inasikika sauti ya Mh. Zitto Kabwe akihamasisha wananchi washiriki kwa wingi katika Fiesta.
Wiki chache zilizopita, tulisikia kutoka kwa Mh. Mbilinyi akipinga vikali uwepo wa Fiesta na hata kufikia kusema kuwa hatakubali Fiesta ifanyike Jimboni mwake.
Sasa mimi nashindwa kuwaelewa hawa vijana wa Upinzani; Ni kwamba wanatunishiana misuli au ni Maamuzi ya CHADEMA kuwa kila mtu ana fursa ya kuongea chochote awezacho na kufanya maamuzi yoyote?
You deserve a ban .Hoja yako ni chonganishi .Hoja hii inamsaidia nini mwananchi au maendeleo ya Nchi hii ?
Jamani acha kupotosha umma hakuna kitu kama hicho kilichojitokeza,ni kheri ufute thread yako