Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Mhe Mbunge wa Musoma Mjini Vincent J Nyerere siku Tarehe 27 atetembelea Wafungwa na Mahabusu katika Gereza La Musoma ikiwemo kusikiliza kero zao,changamoto za askari Magereza.,kuwatakia heri ya krismasi na kupanga kunywa nao uji Asubuhi ya Mwaka Mpya. ..