Mh. Rais, Wizara ya Afya ni ka "Empire" ka Madaktari, Kuna "Mfumo Daktari" Ulioota Mizizi

Unazungumzia sayari gani kaka. Umesoma kweli hiyo Pharmacy au unasikiliza maneno ya watu humu. Narudia tena MD anaweza kusoma kozi yoyote kuanzia Pharmacy, Nursing etc lakini hauwezi kutoka huko kuja kusoma MD.
Halafu usihamishe goal kila mtu anaweza kufanya kazi popote na ndiyo maana MD wako kwenye miradi na mashirika mengine mengi kama wataalam / maboss halafu manakuja kulia humu.
Wewe jamaa sio mwelewa kumbe,nimemaanisha pharmacist akiwa darasani ana fundisha sana on how to manufacture drug(herbal or modern medicine),yani anafundishwa kabisaa

Pharmacist akiwa darasani anafundishwa kupima ubora wa dawa(quality control), na vile vile clinical pharmacy & pharmacy practice(ambayo anakuja kufanyia kazi hospital Sasa)

Unaposema mashirika,lini MD anasoma module ambayo inamfanya akafanye kazi kwenye mashirika???...kwenye mashirika kila kada ya afya anaweza fanya kutokana na uhitaji wa shirika husika....

Narudia Tena nenda kadownload kitabu kinachoeleza criterial za mwanafunzi kusoma pharmacy au MD then urudi hapa,mana naona unabisha bila sababu
 
Sasa kwa hio definition huoni kua MD yupo wide zaidi.....it covers DX,treatment na prevention......means MD anajua kazi za labs/radiology,anajua kazi za pharmacist etc,za afisa afya.....wakati pharmacist ye hasomi mambo mengine hayo zaidi ya dawa zake,afisa afya hasomi treatment zaidi ya prevention.......kwa akili yako ndogo unadhani nani anafaa kiongozi kati ya hao?
Kwahiyo pharmacist hasomi general na systemic pathology,hasomi physiology...duuuh,wewe jamaa wewe

Na pharmacist hasomi management and treatment of diseases...duuh
 
Medical Officer anaOperate kwa level
Ukiwa Hospital Utaanza kuwa MO medical officer na kadiri unavyokaa kazini na kuwa na experience unapanda unakuwa Senior Medical Officer na Hatimae Principal Medical Officer...
Umeandika vizuri na ni rahisi kueleweka siyo sawa na hao wengine wanaoandika kiushabiki. Kiukweli hamna kada ambayo siyo muhimu. Isingekuwa muhimu isingalikuwepo.

Kusoma miaka mingi haimaanishi kuwa wewe unaweza kufanya kazi za taaluma nyingine kiufanisi. Tanzania hatuna mafanikio katika sekta nyingi kwa sababu ya education arrogance!

Daktari anaweza akawa anafahamu kidogo mambo ya taaluma nyingine mfano nutrition, nursing, laboratory science, pharmacy etc, lakini haimaanishi ataweza kufanya majukumu hayo kiufanisi kama mwenye taaluma husika.

Kuna uzalendo katika taaluma, daktari anapenda kutibu kuliko kitu kuuguza , public health anajisikia mwenye amani anapokuwa anafundisha namna ya kujikinga na magonjwa.
 
Hakuna kitu kama hicho eti ukifungua pharmacy MD ndo kakutengenezea,

Unajua practice ya community pharmacy? Wewe unazani pharmacist anashindwa kufanya physical diagnosis na kumpatia mgonjwa dawa?.........Daktari kuwa wengi Ni haki yao I'll sipingi... kutokana na Mfumo wetu(pharmacist hapiti ward round,haangalii follow up ya mgonjwa baada ya kutumia dawa, pharmacist haakikishi compliance and Adherence kwa client akiwa wodini, pharmacist hatoi ushauri on how to reconstituting drug for better adminstration and to reduce interactions,)

Hii nchi zilizo endelea wanafanya na pharmacist wanaajiliwa wengi tuu
Hawezi aise. Labda ukasome clinical pharmacy. Ila kwa mfumo wa hapa bongo mfamasia hawezi hata fanya physical examination bwana
 
Hawezi aise. Labda ukasome clinical pharmacy. Ila kwa mfumo wa hapa bongo mfamasia hawezi hata fanya physical examination bwana
Wewe huijuu pharmacy kaa kimya, clinical pharmacy wanafundushwa undergroduate vizuri tuuu...Tena deep, japo kuna masters yake Sasa endelea kubisha usichokijua
 
Hawezi aise. Labda ukasome clinical pharmacy. Ila kwa mfumo wa hapa bongo mfamasia hawezi hata fanya physical examination bwana
Kila mtu na kazi na wajibu wake unataka Mfamasia afanye physical examination ili iwej..???? Kama mnaona wafamasia hawana kazi wanakula hela ya Bure SOMESHENI AU SOMENI FAMASI mje kula hela za bureee
 
Mfamasia na doctor of medicine ni watu wawili tofaut doctor of medicine jawa ndio wanaobun madawa wana priority zaid hao mafamasia wanaklemishwa tu majina ya madawa tu nipe asprin ndio anachojua yeye
Yani wewe ndo kengeee kabisa... Unajua mlolongo wa kugundua dawa wewe???? Au unaongea kimihemkoo tuu... Huyo Dr of medicine hata structure ya panadol hajui inafananaje kijana... Kugundua dawa na kujua hii dawa inatibu ugonjwa gani ni vitu viwili tofauti. Alafu Dr anaejielewa hata akikosea doe au dawa ukimwambia abadilishe huwa wanaheshimu sana sema huku mtaani unakutana na bogus kama wewe hujui chochote kelele tu.
 
Hiyo ilitokea kwa rafiki zako au wewe ila sio Mimi alafu sikulazimishi huamini
 
Hicho sio kitu cha kulilia au kuomba wanasiasa. Ni suala la kwenda shule na kusomea MD ili uje uajiriwe kama Medical officer.
Hujui unachokiongea, yani wewe umpangie mwanasiasa sio....chunguza kunabaadhi ya mikoa/mkoa RMO sio MD,
 
Sasa kwa hio definition huoni kua MD yupo wide zaidi.....it covers DX,treatment na prevention......means MD anajua kazi za labs/radiology,anajua kazi za pharmacist etc,za afisa afya.....wakati pharmacist ye hasomi mambo mengine hayo zaidi ya dawa zake,afisa afya hasomi treatment zaidi ya prevention.......kwa akili yako ndogo unadhani nani anafaa kiongozi kati ya hao?
do not confuse uongozi na intellectual ability, kuongoza ni uwezo na karama binafsi, kozi za utawala ktk sekta ya afya yoyote yule anaweza kusoma ili mradi awe ndani ya pool ya kada za afya , hii ni sawa sawa na kusema walimu wa sayansi pekee ndio wawe walimu wakuu! hatutegemei mfamasia kumkuta anafanya kazi thieta, au daktari kumkuta stoo ya dawa, kila field ina kazi yake na umuhimu wake ingelikua hivo leo hii serikali isingekua inaajiri hao wengine labs/radiology/hizo zina wabobezi wake ndio maana zikatofautishwa na wengine!

Proffesionaly hakuna Md alie juu ya mfamasia, au mfamasia alie juu ya md kila mtu amejikita ktk eneo lake! watu wamezaliwa ndani ya systeme wameikuta hivo hivo kwa iyo ni ngumu kuona otherwise
 
Mfamasia na doctor of medicine ni watu wawili tofaut doctor of medicine jawa ndio wanaobun madawa wana priority zaid hao mafamasia wanaklemishwa tu majina ya madawa tu nipe asprin ndio anachojua yeye
We kichwa bure kabisa. Kitu Kama hukijui kaachini waache wanaojua wakichambua. Sio lazima kudhihirisha ujinga uliokujaa kichwani.
 
Wewe huijuu pharmacy kaa kimya, clinical pharmacy wanafundushwa undergroduate vizuri tuuu...Tena deep, japo kuna masters yake Sasa endelea kubisha usichokijua
Sasa si ufanye unavyotaka basi. Sheria za nchi zinasemaje. Unatumia ubabe mahali ambapo panhitji akili. Haya endeleeni
 
Hicho sio kitu cha kulilia au kuomba wanasiasa. Ni suala la kwenda shule na kusomea MD ili uje uajiriwe kama Medical officer.
Mkuu kwanza neno MEDICAL halina maana ya "Udaktari"

Mwanafunzi aliyehitimu masomo yake ya "Udaktari" ambaye ana degree yake moja huyo kiufasaha kabisa katika kada ya afya anatambulika kama GENERAL PHYSICIAN (GP)

GP ndo title sahihi kabisa ya madaktari wetu ambao wana wamemaliza masomo yao ya degree ya kwanza na jukumu lao kubwa ambalo linawatofautisha na kada zingine ni ubobezi katika kufanya diagnosis.

Kiufupi Kada za afya zina compliment to each other.. Yaani kila kada inamtegemea mwenzake kwa huduma bora zaidi za afya.. Ndo maana kuna term inayoitwa MEDICAL PERSONNEL ikimaanisha mjumuiko wa wataalamu katika mfumo Tiba.

Ukisema medical officer lazima awe daktari kwa kigezo cha uwepo wa neno medical katika iko cheo haupo sahihi 100%

Medical officer can be any medical personnel ambaye ana qualifications za hiyo post kwa mujibu wa taratibu ambazo wahusika wataona inafaa ila hauwezi kuipa hiyo post by default kwenda kwa madaktari kisa tu kuna neno medical ndani yake.
 
Kila mtu na kazi na wajibu wake unataka Mfamasia afanye physical examination ili iwej..???? Kama mnaona wafamasia hawana kazi wanakula hela ya Bure SOMESHENI AU SOMENI FAMASI mje kula hela za bureee
Rikiboy mzee wa kula kimasihara. Hiyo nilimjibu mtu pale juu soma tena.
Hakuna aliyesema hawatakiwi kila mtu afanye yake aliyosomea. Tuache kuoneana wivu
 
Back
Top Bottom