sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Mh Rais, kwanza nina kusalimu kwa jina lipitalo majina yote hakika ili si jingine ni Jina la Baba la Mwana na la Roho Mtakatifu.
Kwetu sie Wakatoliki tunapenda salimia kwa kusema Tumsifu Yessu Kristu.
Ndugu Rais mimi ni miongoni mwa vijana ambao leo nimeungana na watanzania wote hasa niseme wengi tulio itikia wito wako wa kututaka tuingie kwenye maombi ya siku tatu kwa maana ya kuanzia leo mpaka jumapili hakika baada ya jana kuona ujumbe wako nilijiwa na roho iliyoniambia sina budi kuungana na wewe katika kuhakikisha ninaomba dhidi ya maradhi haya ya corona yasiendelee kuenea nchini mwetu.
kuusema ukweli, niliguswa sanaa na ujumbe wako wa jana na leo nikaanza kufunga ili nifunge vizur niliamua kuiweka mbali simu yangu na kuibeba Biblia muda wote na kuamua kusoma maandiko matakatifu ili niombee Taifa langu na Dunia nzima.
Nilifurai ilipofika majira ya jioni kupitia television ya TBC 1 walituunganisha na viongozi mbali mbali wa Dini na kutuonesha wakiwa nao wanasali nasi.kipindi hiki kilinitia moyo sanaa hata njaa skuweza kuiskia kamwe.
Ndugu Rais mfungo wang wa siku ya kwanza hata ilipofika saa mbili nikaangalia taarifa ya habari na kuona kuwa wagonjwa wameongezeka bado taarifa hiyo haikunikatisha tamaa nilijikuta nimenyanyuka ma kuingia chumbani kwangu na kuanza kusali.
Baadae Ndugu Rais, nipo zangu nimepumzika baada ya fungulia nikaamua kuishika simu yangu ya mkononi ghafla ninaona clip ya mteule wako kutoka mkoani Dodoma kwa maana ya mkuu wa Wilaya ya Dodoma akiwa anawapaka SENITAIZA walevi walio kusanyika Bar kibaya zaidi hata yeye ameonekana hata hajajikinga kwa kuvaa hata Mask kweli jaman ili TUKIO LIMENIKATISHA TAMAA, Yani watu wanakusanyika kipuuzi vile na mkuu wa wilaya anapita kati kati yao na wengine anakumbatiana nao kabisa?
Usku wa jana walevi kutoka bar za jijini dar baadhi yao walitandikwa bakora,leo nimeona mkuu wa mkuu wa Mbeya ameanza kuzuia mikusanyiko ya kilevi.
Hakika huyu mteule wako,ametukatisha tamaa wana wako waja wako, na hata wananchi tunao kutiii wewe kama jemedari mkuu wa nchi ili tukio sio tukio zuri kabsa.
ninatambua una wimbi la wakuu wa wilaya ambalo linatfta sifa za kugombea ubunge ila sio kwa kutafuta sifa kwa njia hizi.
Tafadhali, Mh Rais mimi na nina imani na watazania wenzangu tunao kubali kufunga kuombea taifa letu tunapo ona matukio ya namna hii kutoka kwa wateule wako yanatukatisha tamaa na tunaisi ni wewe kumbe sio ni wao.
ni mimi
kondoo niliye ndani ya zizi nichunge vyema nisitoke zizini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwetu sie Wakatoliki tunapenda salimia kwa kusema Tumsifu Yessu Kristu.
Ndugu Rais mimi ni miongoni mwa vijana ambao leo nimeungana na watanzania wote hasa niseme wengi tulio itikia wito wako wa kututaka tuingie kwenye maombi ya siku tatu kwa maana ya kuanzia leo mpaka jumapili hakika baada ya jana kuona ujumbe wako nilijiwa na roho iliyoniambia sina budi kuungana na wewe katika kuhakikisha ninaomba dhidi ya maradhi haya ya corona yasiendelee kuenea nchini mwetu.
kuusema ukweli, niliguswa sanaa na ujumbe wako wa jana na leo nikaanza kufunga ili nifunge vizur niliamua kuiweka mbali simu yangu na kuibeba Biblia muda wote na kuamua kusoma maandiko matakatifu ili niombee Taifa langu na Dunia nzima.
Nilifurai ilipofika majira ya jioni kupitia television ya TBC 1 walituunganisha na viongozi mbali mbali wa Dini na kutuonesha wakiwa nao wanasali nasi.kipindi hiki kilinitia moyo sanaa hata njaa skuweza kuiskia kamwe.
Ndugu Rais mfungo wang wa siku ya kwanza hata ilipofika saa mbili nikaangalia taarifa ya habari na kuona kuwa wagonjwa wameongezeka bado taarifa hiyo haikunikatisha tamaa nilijikuta nimenyanyuka ma kuingia chumbani kwangu na kuanza kusali.
Baadae Ndugu Rais, nipo zangu nimepumzika baada ya fungulia nikaamua kuishika simu yangu ya mkononi ghafla ninaona clip ya mteule wako kutoka mkoani Dodoma kwa maana ya mkuu wa Wilaya ya Dodoma akiwa anawapaka SENITAIZA walevi walio kusanyika Bar kibaya zaidi hata yeye ameonekana hata hajajikinga kwa kuvaa hata Mask kweli jaman ili TUKIO LIMENIKATISHA TAMAA, Yani watu wanakusanyika kipuuzi vile na mkuu wa wilaya anapita kati kati yao na wengine anakumbatiana nao kabisa?
Usku wa jana walevi kutoka bar za jijini dar baadhi yao walitandikwa bakora,leo nimeona mkuu wa mkuu wa Mbeya ameanza kuzuia mikusanyiko ya kilevi.
Hakika huyu mteule wako,ametukatisha tamaa wana wako waja wako, na hata wananchi tunao kutiii wewe kama jemedari mkuu wa nchi ili tukio sio tukio zuri kabsa.
ninatambua una wimbi la wakuu wa wilaya ambalo linatfta sifa za kugombea ubunge ila sio kwa kutafuta sifa kwa njia hizi.
Tafadhali, Mh Rais mimi na nina imani na watazania wenzangu tunao kubali kufunga kuombea taifa letu tunapo ona matukio ya namna hii kutoka kwa wateule wako yanatukatisha tamaa na tunaisi ni wewe kumbe sio ni wao.
ni mimi
kondoo niliye ndani ya zizi nichunge vyema nisitoke zizini.
Sent using Jamii Forums mobile app