Ukienda mabwalo ya Magereza, polisi hizo ndo stori zao wanalialia Wana kamsemo kao eti "NO KUONGEZA POSHO NO KUBEBWA" kuwapiga watu wanaomuomba Mungu ni kujitafutia laana ambayo utatafuta mganga wa kukutibu hutampata! Nawaonea huruma mtu unapigana nae kimwili yeye anapigana nawe kiroho hata hujishtukii!!? Kisa kulinda wahuni!? Laana inayotoka hapo sijui wapi utatambika ikutoke.dadeeeeeki ndio maana hasira zao wakahamishia kwa waumini wa Gwajima, wapumbavu sana hawa jamaaa, wacha tuone
Machoko hawajitambui mi nakaa nao kwenye mabwalo yao wanalialia tuNyinyi mnamdai Rais ?
Na kule kupiga wananchi na wengine kuwauwa, kumbe hamlipwi vizuri?
Na msilipwe kabisa nyie
Nitaanza kuwarecordHAtumdai
Afande si miaka ya karibuni tu hapa mmepewa posho ya pombe.....😁Wanadai hujaongeza posho yao miaka 10 sasa vilevile posho yao ya maji na umeme imegomewa wizarani. Mh.Rais mwenye nchi ni wewe malalamiko haya wameyawasilisha bungeni mara nyingi na yamepelekwa sehemu husika lkn imeshindikana.
Kila la kheri mh.Rais
Ya lini hiyo mkuu!?Afande si miaka ya karibuni tu hapa mmepewa posho ya pombe.....😁
Mwenda zake alivoingia tu akawabless posho ya pombe, mtupige vizuri virungu.Ya lini hiyo mkuu!?