Mh Rais amemgundua mnyama mkali TRA

Mh Rais amemgundua mnyama mkali TRA

Yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na Serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru.

Huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakuwa walipaji na walewale.

(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni Serikali yote)
Hoja yako sio ya kweli
 
Yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na Serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru.

Huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakuwa walipaji na walewale.

(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni Serikali yote)
Rais Magufuli jana amekataa kutoa maagizo hayo unayoyasema eti kutoka juu. Pamoja na kuwa TRA wanawekewa target bado jana imeonekana kuwa hata hiyo target wanayowekewa na Serikali ni ndogo sio kubwa. Wafanyabiashara wamesema fedha nyingi huishia mifukoni mwa maafisa wa TRA. Kwahiyo Serikali kuwawekea target ni muhimu ili isikose chote.

Kikubwa watanzania tubadilike. Mwizi na mjanja mjanja ndio anaonekana mtu wa maana katika jamii. Mtu mkweli na asiyependa upuuzi atabanwa na ataonekana si wa maana na zaidi hata kama yu Serikalini hataibuliwa atafichwafichwa huko wakati angeibuliwa ili alisaidie taifa.

Magufuli endelea kutumbua tuko nyuma yako.
 
Yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na Serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru.

Huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakuwa walipaji na walewale.

(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni Serikali yote)
Waajiriwa wengi wanatoka kanda ileeeee. Wangewaajiri wasukuma ili wakusanye vizuri,
 
Kama ulikuwa una mfuwatilia mh Rais jana alifika mahali wakati anaongea Mwambe alipo maliza akasema. Amegunduwa kuna mnyama mkali ambaye ni TRA.
Ukweli nikwamba TRA imeumiza watu kiasi chuki iliopo kati ya TRA na wateja nikubwa kiasi cha watu hata kutaka kuuwana.

Na ukichunguza mzizi wote wa fitina upo kwenye kitengo cha Estiment watu wengi wamefunga biashara na hata kufunga akaunti kutokana na watu kupewa bils mbaya zisizo za haki na hii ni kwa sababu TRA ni mnyama mkali anauwa biashara badala yakuzikuza na kuzilinda.

Niukweli usio pingika ikiwa Rais angeunda kamati kufuwatilia nyendo za Tra na unyama tra umewafanyia watu wake nadahni 75% ya watumishi Tra wangepukutishwa nimambo yakutisha nahakuna anathubutu kusema why?
Stay tune
tupe maelezo ya Mwambe ambayo yamemkuna jiwe
 
Kama ulikuwa una mfuwatilia mh Rais jana alifika mahali wakati anaongea Mwambe alipo maliza akasema. Amegunduwa kuna mnyama mkali ambaye ni TRA.
Ukweli nikwamba TRA imeumiza watu kiasi chuki iliopo kati ya TRA na wateja nikubwa kiasi cha watu hata kutaka kuuwana.

Na ukichunguza mzizi wote wa fitina upo kwenye kitengo cha Estiment watu wengi wamefunga biashara na hata kufunga akaunti kutokana na watu kupewa bils mbaya zisizo za haki na hii ni kwa sababu TRA ni mnyama mkali anauwa biashara badala yakuzikuza na kuzilinda.

Niukweli usio pingika ikiwa Rais angeunda kamati kufuwatilia nyendo za Tra na unyama tra umewafanyia watu wake nadahni 75% ya watumishi Tra wangepukutishwa nimambo yakutisha nahakuna anathubutu kusema why?
Stay tune
Kichere alijaza Wakurya kila kona, kuanzia Bukoba hadi Sumbawanga. Unafika ofisi ya TRA inakuwa kama umefika kituo cha polisi, Duu.
 
Ila vijana wa tra wana utajiri wa kutisha. Huwa najiuliza wanapataje pesa?
Wangewachunguza Mali wanazomoriki kila mfanyakazi wa TRA na kulinganisha na kiwango Cha mshahara wake na mikopo aliyo nayo bank. Alafu wakishafanya ivyo tujue. Tatizo sio wafanyabihashara, tatizo lipo kwa wafanyakazi wa TRA, ni watu wa rushwa sana.
 
!
!
Huu Ugunduzi Unapaswa Kuchapishwa Kwa Ajili Ya Marejeleo Kwa Siku Zijazo.
Mnyama Huyu Nadhani Ni Kati Ya Wale Walio Katika Hatari Ya Kutoweka. Nashauri Wawekewe Ulinzi Maalumu
 
Maadui wa Raisi wapo wengi kwenye maofisi ya serikali...hapo TRA ndio kabisaa (angalia watu gani wamejaa hapo utaelewa tu)...nashangaa magu kachelewa sana kuanza kupashugulikia hapo...wanatumia madhaifu kwenye kanuni na sheria kugombanisha serikali na raia
 
Wangewachunguza Mali wanazomoriki kila mfanyakazi wa TRA na kulinganisha na kiwango Cha mshahara wake na mikopo aliyo nayo bank. Alafu wakishafanya ivyo tujue. Tatizo sio wafanyabihashara, tatizo lipo kwa wafanyakazi wa TRA, ni watu wa rushwa sana.
In my opinion, this should be the first step. Tuache masihala na kupokea rushwa
 
Sitasahau hawa traei walivyonibambikia kodi wakati nimeagiza gari..
Iko hivi, mie niliagiza gari la 2011 january nilitakiwa nisitozwe kodi ya uchakavu. Hilo gari likafiks bandarini mnamo march 2018. Afisa wa tra akadai limeshapitisha miaka 8 tokea januari 2018, kwa hiyo inahitajika ilipwe ushuru dhidi ya uchakavu.. nilisikitika sana maana huo ulikuwa kubambikiza kodi wazi wazi maana kwenye calculator ya tra hitaji ni mwaka wa gari ilipoandikishwa kwa mara ya kwanza na si mwezi.

Kilichofanyika ikabidi yule ofisa adai 1/3 ya kodi bambikizi alipwe yeye binafsi kama rushwa. Ikabidi ilipwe maana sikuwa na muda wa kushughulika na hyo mwizi kibaka wa tra..

Kiukweli tra inapaswa ifumuliwe upya. Kanuni za kodi zina matobo kibao tena ya maksudi ambayo hayainufaishi serikali bali hao vibaka walioajiriwa kwa jina la watumishi.
Mfano halisi ni hilo vehicle importation calculator. Kuna ugumu gani wa kuongeza kipengele cha mwezi ili muagizaji ajue kwamba mwezi wa mwaka fulani gari husika litatakiwa kulipiwa ushuru wa uchakavu?

Tra wanafanya kazi kijambazi, kwa ku twist sheria na hawana standards. Ndio maana watu wawili wanaweza kulipishwa kodi tofauti kabisa kwa mizigo miwili inayofanana. Inategemea kibaka gani yuko zamu pale customs.
 
Kitengo cha MAKADIRIO ya kodi TRA ndo kinaua uchumi wa nchi hii. Wale madogo hawana huruma. Ni nusu kwa nusu na serikali. Na wanata cash. Kitengo hicho ka alivyosema Mhesh.Msukyma wawekwe wanajeshi au usalama wa taifa. Bila kuchukua hatua juu ya kitengo hicho biashara zitaendelea kufungwa. Vijana wa TRA hasa hao wapya hawana uzalendo hata kidogo. Kwao kungia duka ni kitu cha kawaida mpaka uwape RUSHWA. NCHI HII INAUWEZO WA KUKUSANYA HATA TRIONI 3 KWA MWEZI KAMA KITENGO HICHO CGA MAKADIRIO KITAFUMULIWA NA KUWEKWA USALAMA WA TAIFA AU JESHI. KANSA IKO HAPO. PIA TRA WAMEJAA KABILA MOJA AMBAO NI WAFUASI WA CHAMA CHA UPINZANI. INABIDI KUCHANGANYA ILI KUONDOA HUJUMA HIZI KWA TAIFA LETU.
 
Back
Top Bottom