Mh Rais amemgundua mnyama mkali TRA

Mh Rais amemgundua mnyama mkali TRA

yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru. huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakua walipaji na walewale.
(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni serikali yote)
Hakuna tofauti na aliyetumbuliwa kwa kikokotozi. Wanders shall never end
 
Mnafahamu kuwa makusanyo mengi ya TRA hayafiki serikalini na wengi wanatoa rushwa ili walipe less ama wasilipe kabisa..
Hata kama wanatimiza majukumu yao ... njia mbovu wanazotumia ndio zinaumiza biashara..
Ila kwakuwa tunamchukia kwa kumpenda JPM lazima tumsukumie lawama zote na ili tufanane na wanasiasa bingwa... you know...
 
Nina shaka hawa ulio watupia hii hoja yako ni wale wale ama wanafaidika na huo utaratibu wa rushwa kwenye ofisi za TRA au ndio wapokeaji wa hizo rushwa Direct.
Sabbu wengi wa members humu ndani ni watumishi wa serikali.

Haingii akilini Rais anaonesha kusikitishwa na uovu wa watumishi walio chini yake, anaagiza hatua kali zichukuliwe juu ya wale walio fanya huo uovu halafu unamsikia member wa humu ndani anamtuhumu Rais huyo huyo alie agiza hatua zichukuliwe,
Bila shaka kuna ndugu za kina " Kilua steel " humu JF bila shaka hata wale walio mnyanganya yule mfanyabiashara mzigo wake tangu 2015 japo walijua si sawa wapo humu JF na hata wale walio waweka ndani wafanyakazi wa pale tumbaku Moro huenda nao wapo humu ndani kwa utambulisho bandia.

Na bila shaka wao ama ndugu zao ndio hao wanaomtukana na kumkashfu Mh, Rais kwa hatua hizo alizochukua, je mnataka afanye lipi ili roho zenu ziwe na furaha,?
 
Wote waliozuililiwa mizigo yao bandarini pasipo na uhalali ufanyike utaratibu warudishiwe na wafidiwe hasara. Na tanesco wawalipe waliowalipisha transformer wote. Kama kulipa ni ngumu at least wakubali kosa baada ya review of the damage done, Tena to the level ya case moja moja, waseme watu hawa wamedhulumiwa na kiasi walichodhulumiwa. Huu uwazi utamfanya hata mdai asamehe deni.

Kuredress case moja moja ambazo zimefika hadi level ya juu kabisa ya serikali, kusipoendana na substantive reform za sera na taasisi zilizoruhusu madudu hayo kufanyika hairudishi imani kwa seriousness ya serikali kuboresha mazingira ya biashara.
 
yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru. huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakua walipaji na walewale.
(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni serikali yote)
Hivi Mkuu alisahau ile kauli yake aliyoitoa kwa wafanyabiashara wamiliki wa vituo vya mafuta nanukuu "wasipofunga mashine za EFD kwenye pampu zao ndani ya siku kumi na nne basi TRA wafungieni hivyo vituo wakavifanye vya kufyatulia matofali" mwisho wa kunukuu. Watz sio wajinga wanaelewa kila kitu. Hata hawa wanaojaribu kupindisha wanafanya hivyo kwa makusudi kwani ukweli wanaufahamu.
 
Nina shaka hawa ulio watupia hii hoja yako ni wale wale ama wanafaidika na huo utaratibu wa rushwa kwenye ofisi za TRA au ndio wapokeaji wa hizo rushwa Direct.
Sabbu wengi wa members humu ndani ni watumishi wa serikali.

Haingii akilini Rais anaonesha kusikitishwa na uovu wa watumishi walio chini yake, anaagiza hatua kali zichukuliwe juu ya wale walio fanya huo uovu halafu unamsikia member wa humu ndani anamtuhumu Rais huyo huyo alie agiza hatua zichukuliwe,
Bila shaka kuna ndugu za kina " Kilua steel " humu JF bila shaka hata wale walio mnyanganya yule mfanyabiashara mzigo wake tangu 2015 japo walijua si sawa wapo humu JF na hata wale walio waweka ndani wafanyakazi wa pale tumbaku Moro huenda nao wapo humu ndani kwa utambulisho bandia.

Na bila shaka wao ama ndugu zao ndio hao wanaomtukana na kumkashfu Mh, Rais kwa hatua hizo alizochukua, je mnataka afanye lipi ili roho zenu ziwe na furaha,?

Atoke madarakani, hafai kuwa kiongozi na vyeti vyake vichunguzwe
 
yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru. huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakua walipaji na walewale.
(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni serikali yote)
Wanatakiwa kukusanya kodi. Ila sio kuwaibia walipa kodi. Kinachoendelea ni daily robbery ya chombo hiki cha umma dhidi ya wafanya biashara.
Auditing and assessment ni wala rushwa wakubwa ndani ya TRA. Wachunguzwe
 
Estiment ndio mnyama mpya? Maana naona hata kwenye kamusi ya lugha yoyote bado hajaingizwa... hata ile kamusi ya watu wa botania
Ahahahahahahahaha ki-Americana...hili neno huzungumzwa sana maeneo ya kusini mwa Marekan na kabila la Gurah,pia Topkisn kule Sierraleon kidoogo na Ma-Cockney huko mashariki mwa London pembezoni mwa barabara inayoelekea Malimbe.
 
Mnafahamu kuwa makusanyo mengi ya TRA hayafiki serikalini na wengi wanatoa rushwa ili walipe less ama wasilipe kabisa..
Hata kama wanatimiza majukumu yao ... njia mbovu wanazotumia ndio zinaumiza biashara..
Ila kwakuwa tunamchukia kwa kumpenda JPM lazima tumsukumie lawama zote na ili tufanane na wanasiasa bingwa... you know...
Sababu ni hao hao TRA officers kukosa nidhamu ya kazi
 
yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru. huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakua walipaji na walewale.
(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni serikali yote)

Rushwa itazidi mara TATU. Na nitawaambia kwa nini. Fikiria scenario hii:

Mtu kateuliwa kwenye nafasi ambayo mtangulizi wake "katumbuliwa" karibuni. Mteuliwa mpya haoni kosa alilofanya mtangulizi wake (kwa mantiki hiyo nae anajua kutumbuliwa kwake sio la kuuliza "kama nitatumbuliwa" bali "lini nitatumbuliwa". Mteuliwa huyu ni LAZIMA ajiandae kisaikolojia kutumbuliwa anytime of the day. So, atumbuliwe bila kuambulia kitu wakati kuna possibility ya kuchukua kitu kidogo?
Ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
Nina shaka hawa ulio watupia hii hoja yako ni wale wale ama wanafaidika na huo utaratibu wa rushwa kwenye ofisi za TRA au ndio wapokeaji wa hizo rushwa Direct.
Sabbu wengi wa members humu ndani ni watumishi wa serikali.

Haingii akilini Rais anaonesha kusikitishwa na uovu wa watumishi walio chini yake, anaagiza hatua kali zichukuliwe juu ya wale walio fanya huo uovu halafu unamsikia member wa humu ndani anamtuhumu Rais huyo huyo alie agiza hatua zichukuliwe,
Bila shaka kuna ndugu za kina " Kilua steel " humu JF bila shaka hata wale walio mnyanganya yule mfanyabiashara mzigo wake tangu 2015 japo walijua si sawa wapo humu JF na hata wale walio waweka ndani wafanyakazi wa pale tumbaku Moro huenda nao wapo humu ndani kwa utambulisho bandia.

Na bila shaka wao ama ndugu zao ndio hao wanaomtukana na kumkashfu Mh, Rais kwa hatua hizo alizochukua, je mnataka afanye lipi ili roho zenu ziwe na furaha,?
Kama nikweli usemavyo kwanini aliwaita Wafanyabiashara kuzungumza nao kwanza badala yakuwaita wale aliodai ni wakwepa kodi wazuri ili kujua kwanini walikwepa kodi?? DAB alikwepa kodi wazi wazi alimfanya nn?? Kila kitu kiko wazi hata mkijaribu kupindisha ukweli utabaki pale pale.
 
yale ni maigizo tu, TRA wanachokifanya ni maelekezo / shinikizo toka juu! kila mwezi wanawekewa malengo ya makusanyo na serikali ni wakali kweli kwa TRA wanapolegalega kukusanya ushuru. huko nyuma ya pazia shinikizo la kuwataka wawe 'aggressive' linatoka juu na wao wanatii, njia pekee ya kufikisha malengo ni kuwa wakali na kutoa makadirio makubwa ya kodi kwakua walipaji na walewale.
(japo ni kweli kuna tatizo la rushwa, ambalo sio la TRA peke yao bali ni serikali yote)
Kuna kaukweli flani kanaonekana...
 
Back
Top Bottom