Kama ulikuwa una mfuwatilia mh Rais jana alifika mahali wakati anaongea Mwambe alipo maliza akasema. Amegunduwa kuna mnyama mkali ambaye ni TRA.
Ukweli nikwamba TRA imeumiza watu kiasi chuki iliopo kati ya TRA na wateja nikubwa kiasi cha watu hata kutaka kuuwana.
Na ukichunguza mzizi wote wa fitina upo kwenye kitengo cha Estiment watu wengi wamefunga biashara na hata kufunga akaunti kutokana na watu kupewa bils mbaya zisizo za haki na hii ni kwa sababu TRA ni mnyama mkali anauwa biashara badala yakuzikuza na kuzilinda.
Niukweli usio pingika ikiwa Rais angeunda kamati kufuwatilia nyendo za Tra na unyama tra umewafanyia watu wake nadahni 75% ya watumishi Tra wangepukutishwa nimambo yakutisha nahakuna anathubutu kusema why?
Stay tune
Ukweli nikwamba TRA imeumiza watu kiasi chuki iliopo kati ya TRA na wateja nikubwa kiasi cha watu hata kutaka kuuwana.
Na ukichunguza mzizi wote wa fitina upo kwenye kitengo cha Estiment watu wengi wamefunga biashara na hata kufunga akaunti kutokana na watu kupewa bils mbaya zisizo za haki na hii ni kwa sababu TRA ni mnyama mkali anauwa biashara badala yakuzikuza na kuzilinda.
Niukweli usio pingika ikiwa Rais angeunda kamati kufuwatilia nyendo za Tra na unyama tra umewafanyia watu wake nadahni 75% ya watumishi Tra wangepukutishwa nimambo yakutisha nahakuna anathubutu kusema why?
Stay tune