Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

Status
Not open for further replies.
Jifunze kumuelewa mtu! Hapo anamaanisha ma-lecturer wa UD wanamfundisha mtu na hatimae mtu kubadilika hadi matendo na siyo kufaulu tuu mitihani !!. Mtu unatakiwa kuwa critical towards occations, then count ten before you decide. Sio kukurupuka na kufanya vitu vyenye ishara tosha ya Emotional and behavioral dis order.

Sasa we ndo umekurupuka, mwenzio ameangalia Content and not the Structure! Akili zako unatumia muda wa kunywa maji tu
 
Acha kutuhadaa we victim uliyekosa Udsm! Habari yako imekaa kinafiki sana
Kama wewe ni mchawi, kazi imekushindwa, na Tubu kwa Mola wako. Nilipata nafasi na kumaliza UDSM, Kama ulienda Chuo, basi hauta kuwa na shida kunielewa
 
we ni kilaza kweli,vipi kuhusu mwalim wake kityila mkumbo na vibaraka wake walioenda kuua huko ndago?vp kuhusu huyo mhuni/chizi wa ubungo aliewatukana watanzania wote bungeni?au ndio mkuki kwa nguruwe?mwigulu lazima akutieni adabu mana hamjafunzwa na mama zenu.

Ndugu siasa ni kuvumiliana anachofanya mchemba hakina tofauti na unachokifanya,akiri ya mtu kwa kiasi kikubwa inapimwa na matendo yake,sasa km unatukana watu hivyo inamaana gani? Anyway siku zote hoja hujibiwa na hoja ,lkn anachofanya mchemba ni kujidhalilisha kwani hata ambao tuliokuwa hatujui tabia zake sasa tunamdharau
 
acha porojo zako walimu wa UDSM hawako pale kufundisha siasa
labda kwa wale wa political science
nchi hii imejengwa na wengi waliopitia pale

Na ndio sababu iko hivi kisiasa. Poor tanganyika.
 


Kama kuna mtu amesoma elimu ya juu bila kupitia UDSM consider yourself kilaza (Rejao, 2012)

Hahahaahaha... TUMBIRI...umenikumbusha hii post ya siku nyingi sana!! But huu ndio ukweli!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa

Nakumbuka ilishawahi kuandikwa kwamba jina lake halisi SIO Mwigulu Mchemba, bali alilirithi baada ya mwanafunzi mwenye jina hilo aliyefaulu Darasa la Saba kushindwa kuendelea. Kwa hiyo, kwa mujibu wa mtoa taarifa, mtu huyu SIO huyo Mwigulu halisi. Kwa hiyo msishangae kauli zake, kwani yeye "amedandia" jina. Mwigulu mwenyewe asingeweza kutoa kauli za kipumbavu na kuwa na matendo ya KIMBUMBUMBU kama huyu!
 
Kuna yoyote humu ndani anayejua mwigulu alimaliza chuo akiwa na ufaulu kiasi gani pale UDSM? Huwa nawasikia vipanga wa UDSM lkn sijawahi kumsikia Mwigulu akitajwa,nadhani alikuwa mtu wa kawaida sana
 
Wee mbiga mwigulu, wee wa namna gani? Wee hujifunzi uungwana kwa waungwana? Wee kila mtu anakupaka mbovu hujioni kuwa wewe ni kituko? Fahamu kuwa mkeo anapata shida kubwa kupitia hili, watoto pia wanapata taabu kwa hili! Na kisaikolojia wewe ni pure kichaa, kasoro tu hujaanza kuokota tu makopo makopo!! Serikali yetu ebu imsaidie mwigulu akachekiwe afya ya ubongo wake ili kumuokoa, mengi ya ajabu ameshayafanya, kuna siku atakuja afanye jambo la kuvunja rekodi zake halafu tukamshangaa wakati sasa hivi tunamtizama tu, haya subirini!!!!
 
Majeruhi waliokosa admission UDSM utawajua tu.

Kama kuna mtu amesoma elimu ya juu bila kupitia UDSM consider yourself kilaza (Rejao, 2012)

kwani wewe kwa uelewa ulionao CHUO KIKUU KWA HAPA TANZANIA NI UDSM TU? tupe maoni yako REJAO PAMOJA NA TUMBIRI TUPENI MAELEZO. NA vile vingine tunavyovijua tuviweke kundi gani WATZwenzangu? nipeni jibu
 
Kwani wewe kwa uelewa ulionao CHUO KIKUU KWA HAPA TANZANIA NI UDSM TU? Tupe maoni yako. REJAO PAMOJA NA TUMBIRI TUPENI MAELEZO. NA vile vingine tunavyovijua tuviweke kundi gani WATZ wenzangu? nipeni jibu

Ukiondoa special Universities (Institute) ambazo ni MUHAS, SUA, NIT na ARDHI chuo bora kilichobaki Tanzania ni UDSM. Vingine zaidi ya hapo navyo ni vyuo lakini huwezi kuvilinganisha na UDSM au hizo Special Universities (Institute).

Nakala: Rejao.

TUMBIRI (PhD - In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Overall Best Student in Form six National Exams).
tumbiri@jamiiforums.com
 
Huyu jamaa anaonekana ni mtu hatari sana! Attitude yake si nzuri, labda atakuwa kajifunza kitu huko JKT
Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom