Sidhani kama anawadhalilisha walimu wa UDSM nadhani anaidhalilisha familia yake, wazazi wake na ndugu zake.
anamdhalilisha kitila mkumbo ambaye ni mwalim wake af ameenda kuuwa ndugu yake huko ndago
Sidhani kama anawadhalilisha walimu wa UDSM nadhani anaidhalilisha familia yake, wazazi wake na ndugu zake.
Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa
mwacheni huyu kiazi,dhambi ya uzinzi inamwandama
mwacheni huyu kiazi,dhambi ya uzinzi inamwandama
Kina mwigulu ni zao la udsm na mafisadi wengi wataalum wengi wametoka udsm ndiyo hata dhaifu mkuuu wa nchi katoka udsm wachakachu
hawakumfundisha siasa bali uchumi
ungekuwa na point kama angekuwa amesomea political science
mia mia mkuu udsm imefanya taifa liwe dhaifu kama ilivyo ccm
Kitendo alichokifanya mwigulu ni cha kipuuzi mno hakuna hata sababu ya kukipa umuhimu kiasi hiki. Kwanza kajidhalalisha mwenyewe na wote wenye uhusiano nae. This man is very sick upstairs. Hivi wale wote mnaomshabikia mnamwona ni kiongozi mwadilifu? Je mngependa mtu wa aina hii awe Rais wa Tanzania siku moja?
product ipi ya udsm iliyojenga hii nchi?
Mkuu matusi ya nini? punguza jazba, ingiza busarawe ni kilaza kweli,vipi kuhusu mwalim wake kityila mkumbo na vibaraka wake walioenda kuua huko ndago?vp kuhusu huyo mhuni/chizi wa ubungo aliewatukana watanzania wote bungeni?au ndio mkuki kwa nguruwe?mwigulu lazima akutieni adabu mana hamjafunzwa na mama zenu.
Hakuna hata mahali pamoja ulipoanza bila kutukana, Vipi ndio nidhamu ya ccm hiyo? M/Mungu akujaalie hekimawe ni kilaza kweli,vipi kuhusu mwalim wake kityila mkumbo na vibaraka wake walioenda kuua huko ndago?vp kuhusu huyo mhuni/chizi wa ubungo aliewatukana watanzania wote bungeni?au ndio mkuki kwa nguruwe?mwigulu lazima akutieni adabu mana hamjafunzwa na mama zenu.
Waalimu wa UDSM wanahusika vipi?
Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa
we ni kilaza kweli,vipi kuhusu mwalim wake kityila mkumbo na vibaraka wake walioenda kuua huko ndago?vp kuhusu huyo mhuni/chizi wa ubungo aliewatukana watanzania wote bungeni?au ndio mkuki kwa nguruwe?mwigulu lazima akutieni adabu mana hamjafunzwa na mama zenu.