Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Walimu wa Udsm wanasingiziwa bure hapa!
udsm kile chuo kimeliharibu hili taifa sana product nyingi za pale ni matatizo
Kwa matendo anayofanya huyu jamaa ni sawa na kudhalilisha elimu ya UDSM. Kitendo cha kuchana na kutupa bajeti ya mmbadala ya upinzani bungeni, ni dharau tosha kwa msomi mwenzako. (kinyume na code of ethics). Matamshi aliyokuwa anatoa Bungeni, utajua jamaa hajaenda shule au ni USHAMBA NA UMASIKINI aliokulia UMEMUATHIRI KIFIKRA. Kitendo cha kuruhusu wafuasi wake kumvisha Mbwa bandera ya CDM ni udhalilishaji wa ELIMU YA UDSM na Walimu waliomfundisha.
Lakini ukweli ni kwamba VIPANGA wengi wanakosa social skills na hawafiti ktk jamii. Hili jamaa kama inekuwa Ulaya angeitwa "He is danger to himself and society" kwa hiyo angewekwa ktk Hospitali za vichaa
UDSM kile chuo kimeliharibu hili taifa sana product nyingi za pale ni matatizo
Mia mia mkuu UDSM imefanya taifa liwe dhaifu kama ilivyo CCM
Kina mwigulu ni zao la UDSM na mafisadi wengi wataalum wengi wametoka UDSM ndiyo hata dhaifu mkuuu wa nchi katoka UDSM wachakachu
Mkuu Sijakuelewa kabisa,Mkuu..maombi ya marekebisho ya heading..huyu anaitwa mwigulu nchemba..mheshimiwa ni mtu anayejiheshimu yeye kwanza.
Kweli ukiwa si miongoni mwa Great Thinker! Lakini wengi wanailewa nini kilichomaanishwaHeading haiendani na ulicho andika.
product ipi ya udsm iliyojenga hii nchi?
Ha! Mwigilu kawashika sehemu mbaya
Waalimu wa UDSM wanahusika vipi?
Waalimu wa UDSM wanahusika vipi?
usiwasingizie walimu, ni ushamba wake tu, huo ukipanaga unaousema hana, hawa ndio waliokuwa wanakesha na wanakalili tu, maana yeye anaonekana kasoma lakini hakuelimika