Sober
I like your comment
ingawa kwa kiasi haujawa fair na umemuaccuse mtu isivyo halali kwa sababu
1. Mnyika ameomba radhi kuwa wabunge hakufanya kazi kama ilivyotarajiwa maana ilibidi apeleke jedwali la marekebisho na ameweka wazi kuwa haikuwemo
2. SSRA haijawahi kufanya research na kuweka wazi(share) kwa kiasi gani hiki kipengele kina athiri uhai wa mifuko na ustawi wa wanachama wanapofikia uzeeni.
3. sheria za tanzania haziangalii mahitaji ya watanzania, ndio maana sheria na mifumo ya serikali inaiga Uingereza pasi kuangalia waTZ kwanza.
4. Jambo muhimu kuliko yote juu ya sheria hii haikufuata process muhimu ndio maan wadau wanailalamikia ingawa hili nalo lilibidi liulizwe wakati wa kuchangia, wabunge hakufanya wajibu wao simple na ni kosa lao pamoja na Katibu wa Bunge.
Lakini pia Mnyika ameweka wazi hakuunga mkono kifungu wakati wa kupitishwa sheria, anyway najua utasema hatuwezi kuthibitisha hilo na ni kweli na hii sio kosa lake... america kila mbunge anajulikana aliunga mkono sheria ipi na alikataa sheria ipi sio huku ndio na Sio, ila nampa benefit of the doubt kutokana na mchango wake April 13 na kuwa ni mpinzani its obvious atapinga,
To declare interest, Mnyika ni Mbunge wangu, na mimi si Chadema wala CCM pia ni muathirika wa kipengele hiki. na nakipinga kwa sababu
1. hatuna supporting system kwa mtu anayeachishwa kazi(no unemployment benefits) ambayo wenzetu wanayo.
2. Mortgage rate ni zaidi ya 15%, it wont be incentive kupata hiyo loan
3. halafu imeassume kuwa wote wanaofanya kazi watakuwa na hiyo kazi hadi wakistaafu
4. kuna uwezekano mkubwa wa kubadilisha NSSF na kuipa kazi ya Benki, then more risk kwa kwa hela za wanachama.
5. na endapo watatumia fedha hizo kama colateral mtu akidifault hizo loan, lile lengo la kuwahifadhi wanachama halitotimizwa,
Sheria should be chaged all of it.
CHEAP popularity? I still believe kuwa MNYIKA is one of the most appreciated Politician in the Tanzania na anajua hili bado litabaunce, but it is worth to let the debate continue
for Policy change in any country the most important thing TO LET THE DEBATE CONTINUE kumbuka hilo kwa sababu debate ikifa THE ISSUE DIES AS WELL