kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Hicho unachokisema ndiyo
exactly kilichonistua.
Tumezoea kuona wanasiasa wakikimbizana kusaka cheap popularity, lakini
siku zote Mnyika ameonesha umakini wa hali ya juu kwa kufanya homework
yake vizuri na kujiridhisha.
Lakini kwa nilichokiona leo kimeonyesha kukurupuka kwa hali ya juu,
kusikozingatia maslahi mapana ya nchi kwa siku za usoni. Yeye anaongelea
kusaka sahihi wakati hajawa hata na kikao kimoja cha wataalam na wadau
wengine ili kuona basis ya hoja yake.
Alichofanya ni kuwa carried away na bandwagon ya popularity contest, at
the expense ya future generations... Kwa kifupi
anaanza kuonesha dalili za kuwa kama wale wa NDIIIYOOOOO...... siku za
usoni.
Pamoja sana.
na wabunge kula pensheni kila baada ya miaka 5? za kwao zinatoka wapi? kwa nini na wao wasisubiri hadi wawe na 55 au 60? huu ubaguzi wa waziwazi ndio unachochea migomo ya wafanyakazi wa kada nyingine!