Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,380
Kama mnajua kulinda mipaka ya nchi hii kweli kweli, tunaomba mtuhakikishie kwamba mko tayari na kwa gharama yoyote ile kuhakikisha kwamba Muungano wa Tanzania Bara, Tanganyika or what ever na Zanzibar uliounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hautavunjika na mtoe tamko kali kwa wale wanaotishia kuvuruga mipaka ya Jamhuri yetu. Kama hamuwezi hili, siko tayari mimi binafsi, mke wangu wala watoto wangu si tu kuchangia, bali hata kumtia moyo wala kumshawishi mtu yoyote yule kushiriki vita ya aina yoyote ile dhidi ya Malawi.
Mkuu suala hili ni la kitaifa sio suala la kumfuraisha mtu serikali hawafanyi kazi kwa kuifurahisha familia yako.