mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 621
- 434
Mwenyekiti,
SHKAMOO!
Mimi ni mpiga kura mwaminifu wa CDM. Mabomu yote na risasi za Arusha nimenusurika. Mbaya zaidi kwenye mabomu ya mwakajuzi yaliyoua watu watatu mimi nilichabangwa sana. Mimi niko bega kwa bega katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.
Kilichonileta hapa leo ni kukusihi
1. Utuoneshe mkanda wa aliyehusika na kurusha bomu arusha unaothibitisha kuwa ni polisi.
2. Akili ya ziada inaniambia tume huru haitaundwa wala hakutakuwa na kesi halali kwa aliyerusha bomu. Lakini mimi najua kwamba chama chetu kina sera ya kuwashtaki serikali kwa wananchi. Kwa hili, kama tulivyoona kwa Mwandosi naomba kupitia hapa JAMII FORUMS turushiwe vipande hivyo ili tuanze kutoa hukumu kwa hili jeshi la wahalifu yaani polisisiemu.
3.Siasa ni mchezo mchafu.Ili watu kama mimi tusiamini kwamba na chama chetu kina mchezo mchafu, na ili tusiwe na hofu wala kujutia kwa kuwaweka CDM madarakani 2015, na ili tuwe na imani na wewe mwenyekiti wetu kwamba hukuleta propoganda za kisiasa, tafadhali tuoneshe huo mkanda ama chochote ambacho ni ushahidi wa aiyerusha bomu la arusha.
4.CCM wanadai tulijilipua ili upate kura za huruma. Haya ni madai makubwa sana ambayo hayawezi kuvumiliwa nakukaa kimya kusubiri ushahidi upelekwe mahakamani ambako hakuna dalili, hebu mwenyekiti tuyazime maneno haya kwa kuwahukumu CCM kwa sisi wapiga kura wao.
5.Wapinzani wetu wengine wanadai kwamba chama chetu ni seheu ya FREEMASONRY na kwamba maandamano ya M4C ni juhudi za kutoa kafara za damu. Kwamba ni lazima idadi fulani ya watu wafe ndipo tushike dola. Haya maneno ni magumu sana kuliko kuushikilia ushahidi na kuuficha. Kwamba green brigade inahusika na mauaji hayo kwa kushirikiana na baadhi ya wakubwa walioko serikalini wanaotokea kaskazini kwa Tanzania. Njia ya kuzma ufitini huu ni kuanika ukweli hadharani.
MWISHO MWENYEKITI NAKUSIHI TENA NA TENA TUPATIE HUO MKANDA TUENDELEE KUIHUKUMU SERIKALI HII DHALIMU YA CHAMA TWAWALA.
NI MIMI MPIGA KURA WAKO
MPINGAUOEVU.
SHKAMOO!
Mimi ni mpiga kura mwaminifu wa CDM. Mabomu yote na risasi za Arusha nimenusurika. Mbaya zaidi kwenye mabomu ya mwakajuzi yaliyoua watu watatu mimi nilichabangwa sana. Mimi niko bega kwa bega katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.
Kilichonileta hapa leo ni kukusihi
1. Utuoneshe mkanda wa aliyehusika na kurusha bomu arusha unaothibitisha kuwa ni polisi.
2. Akili ya ziada inaniambia tume huru haitaundwa wala hakutakuwa na kesi halali kwa aliyerusha bomu. Lakini mimi najua kwamba chama chetu kina sera ya kuwashtaki serikali kwa wananchi. Kwa hili, kama tulivyoona kwa Mwandosi naomba kupitia hapa JAMII FORUMS turushiwe vipande hivyo ili tuanze kutoa hukumu kwa hili jeshi la wahalifu yaani polisisiemu.
3.Siasa ni mchezo mchafu.Ili watu kama mimi tusiamini kwamba na chama chetu kina mchezo mchafu, na ili tusiwe na hofu wala kujutia kwa kuwaweka CDM madarakani 2015, na ili tuwe na imani na wewe mwenyekiti wetu kwamba hukuleta propoganda za kisiasa, tafadhali tuoneshe huo mkanda ama chochote ambacho ni ushahidi wa aiyerusha bomu la arusha.
4.CCM wanadai tulijilipua ili upate kura za huruma. Haya ni madai makubwa sana ambayo hayawezi kuvumiliwa nakukaa kimya kusubiri ushahidi upelekwe mahakamani ambako hakuna dalili, hebu mwenyekiti tuyazime maneno haya kwa kuwahukumu CCM kwa sisi wapiga kura wao.
5.Wapinzani wetu wengine wanadai kwamba chama chetu ni seheu ya FREEMASONRY na kwamba maandamano ya M4C ni juhudi za kutoa kafara za damu. Kwamba ni lazima idadi fulani ya watu wafe ndipo tushike dola. Haya maneno ni magumu sana kuliko kuushikilia ushahidi na kuuficha. Kwamba green brigade inahusika na mauaji hayo kwa kushirikiana na baadhi ya wakubwa walioko serikalini wanaotokea kaskazini kwa Tanzania. Njia ya kuzma ufitini huu ni kuanika ukweli hadharani.
MWISHO MWENYEKITI NAKUSIHI TENA NA TENA TUPATIE HUO MKANDA TUENDELEE KUIHUKUMU SERIKALI HII DHALIMU YA CHAMA TWAWALA.
NI MIMI MPIGA KURA WAKO
MPINGAUOEVU.