Mh.Makonda umejikwaa kidogo kumshambulia Pierre!

Yaani Mimi kumjadili huyo MAKONDA wenu mnatupotezea muda ..

Kwani ni Mara ya kwanza kufanya mambo ya kukasilisha jamii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda pamoja na mapungufu yake lakini kuna wakati huwa anatoa kauli ngumu zenye ukweli ndani yake ambazo sisi waafrika kutokana na kuzaliwa wanafki huwa hatuwezi kuziongea mbele za watu.
 
Huyo kibwengo Pierre is a talent-less, unfunny, fake, alcoholic midget full of nonsense. Huwezi kumlinganisha na marehemu Mzee Majuto, mfano. Hapawsi kabisa kupewa promo kwenye jamii sababu ni mpuuzi.
Kachukue posho yako kwa Madereva! Konyo kabisa wewe. Kama Pierre hakuchekeshi wewe mie nacheka na kufurahia vituko vyake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walevi mishipa inawatoka lkn angalau mmekubali ni mlevi, na ukweli unabakia sehemu kubwa ya jamii ya Kitanzania haiwezi kuvumilia kuona mlevi akitumiwa kutangaza bidhaa yoyote ya maana labda vyoo vya Mchina. Ucheshi gani hadi aji "boost" kwanza ndiyo aanze vitimbi vyake vya kilevi levi.
We kenge fisiem toa upumbavu wako hapa Mshirikina mkubwa ww
Mchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walevi mishipa inawatoka lkn angalau mmekubali ni mlevi, na ukweli unabakia sehemu kubwa ya jamii ya Kitanzania haiwezi kuvumilia kuona mlevi akitumiwa kutangaza bidhaa yoyote ya maana labda vyoo vya Mchina. Ucheshi gani hadi aji "boost" kwanza ndiyo aanze vitimbi vyake vya kilevi levi.
Uko uchi aseee kavae nguo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ELIMU%20KUHUSU%20ARDHI%2020190331_161156.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom