The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,280
Watoto wamefanyaje ? Kwani watoto nao wapo kwenye insta au WhatsApp ?Lazima jamii iwe na mipaka kuwanusuru watoto. Ujinga uijnga kama wa Dr Shika Na Pierre Ze Mbilikimo usivumiliwe.
Watoto wamefanyaje ? Kwani watoto nao wapo kwenye insta au WhatsApp ?Lazima jamii iwe na mipaka kuwanusuru watoto. Ujinga uijnga kama wa Dr Shika Na Pierre Ze Mbilikimo usivumiliwe.
Makonda pamoja na mapungufu yake lakini kuna wakati huwa anatoa kauli ngumu zenye ukweli ndani yake ambazo sisi waafrika kutokana na kuzaliwa wanafki huwa hatuwezi kuziongea mbele za watu.Yaani Mimi kumjadili huyo MAKONDA wenu mnatupotezea muda ..
Kwani ni Mara ya kwanza kufanya mambo ya kukasilisha jamii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kachukue posho yako kwa Madereva! Konyo kabisa wewe. Kama Pierre hakuchekeshi wewe mie nacheka na kufurahia vituko vyake.Huyo kibwengo Pierre is a talent-less, unfunny, fake, alcoholic midget full of nonsense. Huwezi kumlinganisha na marehemu Mzee Majuto, mfano. Hapawsi kabisa kupewa promo kwenye jamii sababu ni mpuuzi.
We kenge fisiem toa upumbavu wako hapa Mshirikina mkubwa wwWalevi mishipa inawatoka lkn angalau mmekubali ni mlevi, na ukweli unabakia sehemu kubwa ya jamii ya Kitanzania haiwezi kuvumilia kuona mlevi akitumiwa kutangaza bidhaa yoyote ya maana labda vyoo vya Mchina. Ucheshi gani hadi aji "boost" kwanza ndiyo aanze vitimbi vyake vya kilevi levi.
Uko uchi aseee kavae nguo kwanzaWalevi mishipa inawatoka lkn angalau mmekubali ni mlevi, na ukweli unabakia sehemu kubwa ya jamii ya Kitanzania haiwezi kuvumilia kuona mlevi akitumiwa kutangaza bidhaa yoyote ya maana labda vyoo vya Mchina. Ucheshi gani hadi aji "boost" kwanza ndiyo aanze vitimbi vyake vya kilevi levi.