Ni zaidi ya vile unavyofikiri, siasa ni usanii tu.hii nzuri mkuu.kumuweka hapa umempandisha chati zaidi.kwa hili namuunga mkono.kidogo anajaribu kuvaa kuatu cha mtanzania wa kawaida
hana tofauti na yule aliyekuwa anapiga picha na wazee,vilema,watoto nk katika uchaguzi..cheap popularity..
Anaonekana kama boflo fulani hivi :bored::bored:
Huyu hakuzingatia au hakufaulu shule ya msingi lesson ya vyakula vya safari na mpaka leo hajui chakula cha safari. Hivi hakuweza kutayarisha chakula cha safari hiyo nyumbani kwake? Hivi alikuwa anatokea Bumbuli au Dar?
Anaonekana kama boflo fulani hivi :bored::bored: