JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Kikwete ana kazi kubwa hivi hili nalo mpaka aliseme kiongozi anatakiwaje ...mbona ni aibu hathamini hata afya yake hivi hao wananchi wa Bumbuli ndio atawathamini. awali sikuamini lakini kwa hali hii ni kazi kweli enzi za Mwalimu hapakuwa na uozo huu msikubali wananchi wa Bumbuli mnaweza kurudia uchaguzi kwa uzembe wa mtu...akipata shida..ndio maana tunasikia mtu kazindiwa akiwa bungeni unasevu nini posho kubwa mil 6 kila mwezi bado marupurupu kibao unataka Mungu akupe nini weweeeee....Januari usitudhalilishe vijana wenzako bado tunakutegemea.