Mh. Livingstone Lusinde Under Microscope?

Mh. Livingstone Lusinde Under Microscope?

Lusinde nim2 wa system tangu sikunyingi. Kwann watu hawa(usalama wa taifa)wamekuwa wakifanya mambo hovyohovyo? Kwa ufupi namfahamu hivyo mengine siyajui.
 
Hizi ni baadhi ya Kumbukumbu zake kutoka katika tovuti ya Bunge:

General:

Salutation: Honourable
First Name: Livingstone
Middle Name: Joseph
Last Name: Lusinde
Member Type: Constituency Member
Constituent: Mtera
Political Party: CCM
Office Location: Box 50, Dodoma
Office Phone: +255 755 453327/+255 785 679927

EDUCATIONS

Mbigili Primary School: 1980 – 1987 - PRIMARY CERTIFICATE
CCM College Ihemi: 2007 -2008 - CERTIFICATE


EMPLOYMENT HISTORY


Member of Parliament - Mtera Constituency - 2010 -2015



[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD="align: center"]Ministry/Political Party/Location[/TD]
[TD="align: center"]Position[/TD]
[TD="align: center"]From[/TD]
[TD="align: center"] To[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="align: center"]Secretary - Tarime District[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="align: center"]Assistant Secretary/Accountant[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]CHADEMA[/TD]
[TD="align: center"]Member - National Executive Board[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Civic United Front, CUF[/TD]
[TD="align: center"]Secretary - Kawe Constituency[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="align: center"]Secretary
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]


khaaa kuhangaika kote kwa vyama,kunamaanisha nini?
 
Lusinde nim2 wa system tangu sikunyingi. Kwann watu hawa(usalama wa taifa)wamekuwa wakifanya mambo hovyohovyo? Kwa ufupi namfahamu hivyo mengine siyajui.

If this is true, he is a disgrace to the intel community. Now I know why we are very poor. I hope baada ya CCM kutolewa madarakani kunahitajika mageuzi makubwa sana ya mfumo wetu. You cant have bogus heads in intelligence community hata kama ni frontliner - 'sniff dog', lazima awe na brain ya kujua harufu na maana yake, maana wakipeleka taarifa za uongo wanaweza fanya watu wakatoa maamuzi ya ku-press button na kusabisha maafa makubwa kwa Taifa.
 
04_11_4s6769.jpg




Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na watoto Levina Lusinde (kushoto) na Isaya Lusinde kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma juzi. Hawa ni watoto wa Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Je hawa watoto wanajua lolote kuhusu baba yao? Na malezi yao yakoje?

baada ya miaka ishirini ndo effects zake zitadhihirika kwa wengi.
 
Kama Cv ya Lusinde ndo imeishia hapo basi CCM ndo inaaga na si ajabu hata kina Maji marefu wanapitishwa kugombea ubunge na CCM na si ajabu Lusinde anabehave zaidi ya mwendawazimu.
 
[TABLE="class: cms_table_grid, width: 500"]
[TR]
[TD="align: center"]CHADEMA[/TD]
[TD="align: center"]Member - National Executive Board[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kumbe alipotoka CDM ndo akahamia CCM, basi tumeshajua wapi alikojifunza yale anayopractise!
 
Huyu akili yake,ngoja niirudie hotuba tena jwa mara nyingine!
 
Sidhani kama Lusinde ndiye yuko under microscope. Otherwise, utakuwa una-narrow tatizo na kufanya solution isipatikane. Tatizo hapa ni Watanzania wenyewe. Kama walikuwa tayari kuwa pale kusikiliza na kushangilia kwa yale waliokuwa wanayasikia, basi wao ndio wanatakiwa kuwa under microscope. Labda na wale waliomchagua pia. Kumbuka Lusinde ni mwakilishi wa watu na possibly ata-reflect waliomchagua.

Kama hao Watanzania wangekataa kusikiliza matusi, angeyasemea wapi? Ndio maana hata chama chake kinaweza kisimchukulie hatua zozote kwa sababu kinajua wazi walio na tatizo ni akina nani.

Kwa hiyo, badala yake, hotuba yake ya matusi ingekufanya binafsi upende kujua kwa undani baadhi ya mambo ya msingi kuhusu Watanzania waliokuwa wanamsikiliza na kumshangilia kama:

1. Wanazo akili timamu kweli?
2. Kama hawana akili sheria inasemaje kwa mtu asiye na akili?
3. Kama wanazo kwa nini walishangilia matusi yale?
4. Je historia yao ikoje?
5. Malezi yao yalikuwaje?
6. Na mengine ambayo wadau mtapenda kuongezea.

Mkuu EMT,

Kumbuka walioenda pale hawakujua kuwa huyu "CHOO CHA CITY" ataporomosha matusi, kwa hiyo sidhani wao kama kwa kwenda pale walifanya makosa kama walikuwa ni mashabiki wa CCM kweli.

Pia kulikuwa na watoto ambao yeye CHOO CHA CITY ilimpasa ajue kabla ya kuanza kutoa harufu chafu ya matusi.
 
Maana inabidi ujiulize na hao waliomchagua kuwa mmbunge wao kama wana akili timamu vilevile.

My take nikwamba kuna watu sehemu zingine za Tanzania wamechoka tena kusikia majina yale-yale kwenye chaguzi zao ilimradi yeyote mwenye kipaza sauti lakini si fualni.

Lakini kweli ameweza pita vipi kwenye kura za maoni huko chamani na hata kuja kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu, kwakweli ignorance bado ni tatizo kubwa kwenye jamii yetu.

Mkuu, tatizo kubwa la Watanzania ni Elimu na hasa ubora wa Elimu ya kuwapa upeo na confidence ya kuchuja mambo na kuamua, Elimu ni janga la kitaifa na kama katika miaka 5 inayokuja hali haitabdailika, then nchi hii itakuwa na kikundi kidogo cha waliosoma na wajuaje huku wakiwaongoza wengi wasiojua.

hata hivyo sijui Lusinde yuko katika kundi gani.
 
Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.

Haaaa haaa Mzee wa Sikonge leo umenifurahisha sana. Isije ikawa umetekwa na Malaria Sugu . . .

Livingstone Joseph Lusinge inawezekana akawa ni Mwislamu maana jina si lazima liwe ni hatimiliki au liashirie dini fulani.

Lakini kwa matusi haya yenye harufu mbaya ya kama CHOO CHA CITY najua hata Waislamu tutamkana.
 
natabiri motto mkali kumuwakia lusinde hapo CCM itakapopoteza jimbo jumapili hii . lawama nyingi zitamwendea yeye na wengine wengi akiwemo wasira kwa kuongea uongo wa dhahiri kwani hizo zitakuwa ni kati ya factors zitakazowafanya CCM kushindwa pamoja na udhaifu wa mgombea


Na bado Mtikila anamburuza mahakamani kwa madai kuwa katiba imenajisiwa kwa kuwa hana akili timamu na katiba imezuia wasio na akili timamu wagombee uongozi. Na kama akili yake ni timamu basi aelezee umma na wanae aliowazaa ilikuwaje akatukana?
 
Mkuu ingawa yale maneno yalikuwa makali kiaina fulani lakini ilionekana kama anajibu mapigo ya upande fulani, sasa kwanza kabla ya kumjadili Lusinde tujiulize kama ni kweli yale aliyoyaita majibu kuwajibu baadhi ya viongozi wa CDM yalitamkwa na hao viongozi?
Kimsingi kama ni kweli yupo mweshimiwa wa CDM aliyesema SIOI ni shoga ilikuwa haijatulia, wakati tunajadili haya lazima tukiri kuwa wapo baadhi ya viongozi katika vyama vya siasa wasiotofautisha kati ya mitaani/vijiweni na kwenye kampeni.


Mkuu sijaona clip ambayo kiongozi yeyote wa CCM au Chadema wanatukana zaidi ya tuhuma na vijembe vya hapa na pale na mafumbo. matusi ya wazi tena mfululizo ni Mbunge wa Mtera tu aliyefuzu.
 
Mimi ombi langu moja tu kuhusu hii heading. Nafikiri 'Mh.' au Mheshimiwa haifai tena kutumika kwa Lusinde, Iweje mtu asiyejiheshimu aitwe mheshimiwa?. It is a disgrace to all MPs!, ningekuwa mbunge ningepeleka hoja binafsi bungeni kuhusu jinsi wabunge wanavyotakiwa ku-behave kwenye public. Kuna vijembe na misimu na misemo katika changuzi ila MATUSI sidhani kama yanajenga precendence nzuri katika siasa za Tanzania.

CCM kama kweli ni viongozi wanatakiwa kutoa mfano kwa kumwadhibu huyu mbunge wao, otherwise watakuwa wamebariki matusi na 2015 itakuwa worse na tutashindwa ku-control.

Mkuu uko sawa kabisa.

Watanzania tunasubiri baada ya kufanya tathmini ya uchaguzi huu, watatuambia nini Watanzania kwa matusi aliyoyatoa CHOO CHA CITY?
 
Back
Top Bottom