kanganyoro
Senior Member
- Jun 22, 2011
- 127
- 33
tatizo la mh. lusinde ni shule ndogo.
Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.
Hizi ni baadhi ya Kumbukumbu zake kutoka katika tovuti ya Bunge:
General:
Salutation: Honourable
First Name: Livingstone
Middle Name: Joseph
Last Name: Lusinde
Member Type: Constituency Member
Constituent: Mtera
Political Party: CCM
Office Location: Box 50, Dodoma
Office Phone: +255 755 453327/+255 785 679927
EDUCATIONS
Mbigili Primary School: 1980 1987 - PRIMARY CERTIFICATE
CCM College Ihemi: 2007 -2008 - CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY
Member of Parliament - Mtera Constituency - 2010 -2015
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD="align: center"]Ministry/Political Party/Location[/TD]
[TD="align: center"]Position[/TD]
[TD="align: center"]From[/TD]
[TD="align: center"] To[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="align: center"]Secretary - Tarime District[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD="align: center"]Assistant Secretary/Accountant[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]CHADEMA[/TD]
[TD="align: center"]Member - National Executive Board[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Civic United Front, CUF[/TD]
[TD="align: center"]Secretary - Kawe Constituency[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="align: center"]Secretary
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Lusinde nim2 wa system tangu sikunyingi. Kwann watu hawa(usalama wa taifa)wamekuwa wakifanya mambo hovyohovyo? Kwa ufupi namfahamu hivyo mengine siyajui.
![]()
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na watoto Levina Lusinde (kushoto) na Isaya Lusinde kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma juzi. Hawa ni watoto wa Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Je hawa watoto wanajua lolote kuhusu baba yao? Na malezi yao yakoje?
i wonder what brain you got up there.
Hicho chuo in red wanafundisha nini?
kwa hiyo kwenye uislam matusi ruksa.?acha kudhalilisha imani za watu!Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.
Sidhani kama Lusinde ndiye yuko under microscope. Otherwise, utakuwa una-narrow tatizo na kufanya solution isipatikane. Tatizo hapa ni Watanzania wenyewe. Kama walikuwa tayari kuwa pale kusikiliza na kushangilia kwa yale waliokuwa wanayasikia, basi wao ndio wanatakiwa kuwa under microscope. Labda na wale waliomchagua pia. Kumbuka Lusinde ni mwakilishi wa watu na possibly ata-reflect waliomchagua.
Kama hao Watanzania wangekataa kusikiliza matusi, angeyasemea wapi? Ndio maana hata chama chake kinaweza kisimchukulie hatua zozote kwa sababu kinajua wazi walio na tatizo ni akina nani.
Kwa hiyo, badala yake, hotuba yake ya matusi ingekufanya binafsi upende kujua kwa undani baadhi ya mambo ya msingi kuhusu Watanzania waliokuwa wanamsikiliza na kumshangilia kama:
1. Wanazo akili timamu kweli?
2. Kama hawana akili sheria inasemaje kwa mtu asiye na akili?
3. Kama wanazo kwa nini walishangilia matusi yale?
4. Je historia yao ikoje?
5. Malezi yao yalikuwaje?
6. Na mengine ambayo wadau mtapenda kuongezea.
Wewe nawe ukilaza kweli,unataka kusema wewe unamjua sana Lusinde? haya ngoja akubajaji mwenzioYou have EYES but you cant see. Read me between the line..................
Maana inabidi ujiulize na hao waliomchagua kuwa mmbunge wao kama wana akili timamu vilevile.
My take nikwamba kuna watu sehemu zingine za Tanzania wamechoka tena kusikia majina yale-yale kwenye chaguzi zao ilimradi yeyote mwenye kipaza sauti lakini si fualni.
Lakini kweli ameweza pita vipi kwenye kura za maoni huko chamani na hata kuja kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu, kwakweli ignorance bado ni tatizo kubwa kwenye jamii yetu.
Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.
natabiri motto mkali kumuwakia lusinde hapo CCM itakapopoteza jimbo jumapili hii . lawama nyingi zitamwendea yeye na wengine wengi akiwemo wasira kwa kuongea uongo wa dhahiri kwani hizo zitakuwa ni kati ya factors zitakazowafanya CCM kushindwa pamoja na udhaifu wa mgombea
Mkuu ingawa yale maneno yalikuwa makali kiaina fulani lakini ilionekana kama anajibu mapigo ya upande fulani, sasa kwanza kabla ya kumjadili Lusinde tujiulize kama ni kweli yale aliyoyaita majibu kuwajibu baadhi ya viongozi wa CDM yalitamkwa na hao viongozi?
Kimsingi kama ni kweli yupo mweshimiwa wa CDM aliyesema SIOI ni shoga ilikuwa haijatulia, wakati tunajadili haya lazima tukiri kuwa wapo baadhi ya viongozi katika vyama vya siasa wasiotofautisha kati ya mitaani/vijiweni na kwenye kampeni.
Mimi ombi langu moja tu kuhusu hii heading. Nafikiri 'Mh.' au Mheshimiwa haifai tena kutumika kwa Lusinde, Iweje mtu asiyejiheshimu aitwe mheshimiwa?. It is a disgrace to all MPs!, ningekuwa mbunge ningepeleka hoja binafsi bungeni kuhusu jinsi wabunge wanavyotakiwa ku-behave kwenye public. Kuna vijembe na misimu na misemo katika changuzi ila MATUSI sidhani kama yanajenga precendence nzuri katika siasa za Tanzania.
CCM kama kweli ni viongozi wanatakiwa kutoa mfano kwa kumwadhibu huyu mbunge wao, otherwise watakuwa wamebariki matusi na 2015 itakuwa worse na tutashindwa ku-control.