Mh. Livingstone Lusinde Under Microscope?

Hicho chuo in red wanafundisha nini?

Mkuu Mwasi

Hicho ni Chuo cha Chuo cha Vijana wa CCM kinaitwa Ihemi, kiko Wilaya ya Iringa Vijijini. Kinatoa mafunzo ya Ukada wa CCM kama mafunzo ya uongozi kwa wenyeviti na makatibu wa CCM wilaya zote za Tanzania Bara na Visiwani pamoja na wajumbe wawili kutoka wilayani nk.
 
mnaona sasa?
kumbe aliwahi kuwa NEC ya CHADEMA?
na alianzia CUF pia....

ha haaa ilikuwaje CHADEMA wakamuingiza NEC yao mtu kama huyu?

Mkuu inawezekana Check & Balances ni kubwa CCM kuliko CHADEMA kwa sasa. Maana sisa za CCM nazo kama Mzee wa Uwazi na Ukweli ambaye baadhi ya Watanzania walikuwa wanampa heshima pamoja na tuhuma zake zote alianza kampeni kwa matusi na kashfa ni nani CCM atakuwa na nafuu?

Hata sijui alimshindaje Tinga tinga jimboni.

Any way tuone kijana wake Maleceleca William amerudi toka marekani kama ataweza kurudisha heshima jimboni la sivyo Upinzani utalichukua 2015 kwa hoja ya kumponda Choo Cha City kwa Matusi.
 
CV ya profesa Majimarefu hii hapa
Salutation Honourable
First Name: Stephen
Middle Name: Hilary
Last Name: Ngonyani
Member Type: Constituency Member
Constituent: Korogwe Vijijini
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 60, Korogwe, Tanga
Office Phone: +255 784 459090/+255 712 006666
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Kwamndolwa Primary School Primary Education 1970 1976 PRIMARY
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
No items on list

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member of NEC 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Regional Economic Secretary 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Economic Secretary, Korogwe rural 2007
PUBLICATIONS
Description Published Date
No items on list

SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill Level
No items on list

RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition Date Reason Action Taken Issued by
No items on list

Tujiulize kwa cv ya namna hii kuna kitu hapa zaidi ya kuzomea na kugonga meza?
Hili la Lusinde litufanye watz kuangalia upya sifa za mtu kuwa kiongozi na pia kuipa umuhimu kura ya kila mtz ili kuweza kupata viongozi bora.
 
Hapana aliyesema sioi ni shoga. Hii movie ilikuwepo hapa JF tangu mwanzo, nadhani yeye lusinde ni member humu na ndiko alikoitoa. Mtizamo wangu tu.

Mkuu ni kweli Mh. Godbless Lema wakati mwingine amekuwa akiwaimbisha washabiki wa CDM wimbo wa "Mtoto huyu si riziki" simply kwa kuwa Dogo janja Sioi katoboa masikio. hata hivyo haku-cross the red line na kuanza kuporomosha matusi.
 
Wananchi wakimbeba kumpeleka jukwaani kuhutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Kijiji cha Makiba kata ya Makiba, Arumeru Mashariki jana. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Hafsa Kazinja wa TOT akikamua Uwanja wa mpira wa Makiba
Mbunge wa Mtera, Mjumbea wa NEC ya CCM, Livingstone Lusinde aka Kibajaji akihutubia Makiba.
Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdalla Jma akihutubia mkutano wa kampeni uwanja wa mpira wa kijiji cha Makiba.
Nchemba akihutubia Makiba

Maelfu ya watu mkutano wa kampeni za CCM Makiba
 
lusi ni mdananda!nahisi alikuwa mvuvi wa uduvi au mpiga debe kwa mtogole!c.c.m na viongozi mufilisi na mawazo mufilishi.
 
Sidhani kama Lusinde ndiye yuko under microscope. Otherwise, utakuwa una-narrow tatizo na kufanya solution isipatikane. Tatizo hapa ni Watanzania wenyewe. Kama walikuwa tayari kuwa pale kusikiliza na kushangilia kwa yale waliokuwa wanayasikia, basi wao ndio wanatakiwa kuwa under microscope. Labda na wale waliomchagua pia. Kumbuka Lusinde ni mwakilishi wa watu na possibly ata-reflect waliomchagua.

Kama hao Watanzania wangekataa kusikiliza matusi, angeyasemea wapi? Ndio maana hata chama chake kinaweza kisimchukulie hatua zozote kwa sababu kinajua wazi walio na tatizo ni akina nani.

Kwa hiyo, badala yake, hotuba yake ya matusi ingekufanya binafsi upende kujua kwa undani baadhi ya mambo ya msingi kuhusu Watanzania waliokuwa wanamsikiliza na kumshangilia kama:

1. Wanazo akili timamu kweli?
2. Kama hawana akili sheria inasemaje kwa mtu asiye na akili?
3. Kama wanazo kwa nini walishangilia matusi yale?
4. Je historia yao ikoje?
5. Malezi yao yalikuwaje?
6. Na mengine ambayo wadau mtapenda kuongezea.

EMT!!

To expand even more and have the whole thing in reality? If we have included the people who are there as the part of the problem representing our community and the Nation ... I think there is no way The CCM will escape being part his problem ... That is Lusinde and Lusinde is CCM and CCM is Lusinde ...!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Baada ya Kumsikiliza Lusinde nilielewa kwa kina kwa nini uchumi wa nchi umeshindwa kutengamaa, huwezi kutegemea mtu wa namna hiyo kusaidia taifa kusonga mbele, huyu ni yule aliyeamiwa na kulipiwa garama za usafiri kuja kupiga kampeni! Je wale waliobaki wana hali gani!!! Ukifuatilia shuguli za Bunge kwa mfano kamati za Bunge Kenya utaona transparency ya hali ya juu na hoja zisizopinda pinda but aina ya wabunge wetu hawa kina Lusinde ni balaa na huzuni
 
04_11_4s6769.jpg




Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na watoto Levina Lusinde (kushoto) na Isaya Lusinde kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma juzi. Hawa ni watoto wa Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Katikati ya mapaja ya PM hapo kuna nini?
 
04_11_4s6769.jpg




Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na watoto Levina Lusinde (kushoto) na Isaya Lusinde kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma juzi. Hawa ni watoto wa Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Je hawa watoto wanajua lolote kuhusu baba yao? Na malezi yao yakoje?
wana andaliwa kurithi matusi kama ya baba yaooo! Aibu saana...
 
Mkuu EMT,

Kumbuka walioenda pale hawakujua kuwa huyu "CHOO CHA CITY" ataporomosha matusi, kwa hiyo sidhani wao kama kwa kwenda pale walifanya makosa kama walikuwa ni mashabiki wa CCM kweli.

Pia kulikuwa na watoto ambao yeye CHOO CHA CITY ilimpasa ajue kabla ya kuanza kutoa harufu chafu ya matusi.

Mkuu kwani alipopoanza kuporomosha matusi si hao wapiga kura wangeondoka? Kwani walikuwa wamefungiwa pale? Kwenda pale haikuwa kosa. Kosa ni wao kundelea ku-entertain matusi tena wakishangilia kwa vigelele. Na alipokuwa anawauliza kama aendelee kumwaga matusi walimwambia aendelee.

Inawezekana kabisa Lusinde ni smart tofauti na unavyomjua. Kama jamaa mmoja alivyocomment Youtube, Lusinde alikuwa anajua kabisa audience yake ikoje na inataka kusikia nini. Angalia tena ile video clip na utaona kuwa waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wanakubaliana na yote aliyokuwa anasema. Lugha aliyokuwa anaitumia ndio wapiga kura wengi wanaipenda. Na anajua hilo. hii sio mara kwanza kutokea.

Mkuu naona kama umeshasahau ya Igunga. Igunga wagombea na viongozi wa vyama vya siasa walijitutumua kwa kupanga maneno na kutoa hotuba nzito kwa mbwembwe kama vile wana uchungu sana na wananchi wa Igunga. Wengine kazi yao ilikuwa ni kumwaga matusi.

Again imejirudia tena Arumeru. Na tukiishia kuwalaumu akina Lusinde patatokea uchaguzi mwingine na wataendelea kupiga kampeni za matuzi vile vile. Watu kama hao wanawapotezea muda, ikiwezekana badala ya kuendelea kukaa kwenye mikutano kusikiliza matusi yao - bila kujali umaarufu na ukubwa wa chama waondoke au wawapigie kelele hao akina Lusindi kuwa hawataki kusikia matuzi na pumba zao na kwamba, kwa mtindo huo hawawezi kuwapa kura na wasiwape.

Kuhusu suala la kuwepo kwa watoto unataka kusema kama kulikuwa hakuna watoto basi ingekuwa ruksa kwake kumwaga matusi? Suala hapa ni kama wale watoto walitakiwa kuwa pale in the first place hata kama Lusinde asingeongea matusi. So far hakuna chama chochote kinachokemea wototo wadogo kuwepo kwenye mikutano ya kampeni za kisiasa.
 
Mh!Haya nayo makubwa!
Only made in Tanzania!
CV ya profesa Majimarefu hii hapa
Salutation Honourable
First Name: Stephen
Middle Name: Hilary
Last Name: Ngonyani
Member Type: Constituency Member
Constituent: Korogwe Vijijini
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 60, Korogwe, Tanga
Office Phone: +255 784 459090/+255 712 006666
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Kwamndolwa Primary School Primary Education 1970 1976 PRIMARY
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
No items on list

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member of NEC 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Regional Economic Secretary 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Economic Secretary, Korogwe rural 2007
PUBLICATIONS
Description Published Date
No items on list

SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill Level
No items on list

RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition Date Reason Action Taken Issued by
No items on list

Tujiulize kwa cv ya namna hii kuna kitu hapa zaidi ya kuzomea na kugonga meza?
Hili la Lusinde litufanye watz kuangalia upya sifa za mtu kuwa kiongozi na pia kuipa umuhimu kura ya kila mtz ili kuweza kupata viongozi bora.
 
Kudadadadeki manaake nn?
Ku**dadadeki ni tusi kubwa kwa akina dada. Maana yake ni k**a ya dadake. Sijui hata kama Mods wanajua maana yake maana jana nililitumia makusudi hapa nione kama nitakula ban. Ni sawa tuu na tusi la k**amako kwa akina mama. Tofauti ni kwamba kizazi hiki kipya kimebadilisha na ku**dadadeki kuwa kudededeki kujaribu kupunguza sensitivity ya ku**dadadeke. Lakini ku**dadadeki, kudedeki, ku**dedeki ni sawa na motherf**k. Kama mnakumbuka Joti wa Original Comedy alikuwa analitumia sana hili neno la ku**dedeki na kumpa umaarufu.
 
Back
Top Bottom