Mh. Lema na CHADEMA acheni ulaghai!

Mh. Lema na CHADEMA acheni ulaghai!

Nilimwangalia TBC kwenye mchakato majimboni,ahadi kibao lkn leo kama kamwagiwa maji baridi,acheni Ukanda Machalii wa A town,bado miaka 2 sasa.hamna "lolooooooooooote!!!".sinema ya kihindi hainogi haiishi.
 
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
  1. Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
  2. kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
  3. Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?

CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.

Hajawa mbunge kwa miaka 3 maana maCCM mlifanya njama na kufanikiwa kuusitisha ubunge kwa takribani mwaka mmoja ila mwishoni mkaambulia aibu na fedheha kwa magamba na mafisadi

Ni ahadi zipi aliyo tekeleza
 
Hata Trekta lilizuiliwa na Magamba?

Magamba kwa kumtumia mkuu wa mkoa wenu mulugo,mlitaka kuhakikisha lema hapati nafasi ya kutumikia wananchi waliomchagua,kila siku mliibua kila aina ya vikwazo,mkaona haitoshi mkamtumia Hakim feki yule,maana alijua kabisa anachofanya ni kinyume cha sheria,kwa maagizo ya CCM akamnyang'anya ubunge,amekaa kipindi kirefu nje,alafu sasa inahoji trekta trekta,you must be mad.
 
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
  1. Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
  2. kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
  3. Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?

CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.

Kwani Lema ndo anekusanya na kumiliki kodi?Yeye kazi yake ni kuiambia serikali mAHITAJI Ya wananchi wake ila utekelezaji ni serikali ambayo inaongozwa na CC..Trekata muulize yule jaji aliyetamka Lema sii mbunge halali au mkuu wa mkoa tajwa wanajua lilipo.Lakini kubwa zaidi Lema ni mbunge tuu mbona huulizi kwanini raisi aliyetoa ahadi nyingi ikiwemo ya Machinga Complex kila mkoa hajatimiza!Labda mbunge alikopi akijua mkulu atatekeleza kumbe si kawaida serikali ya Chama Twawala kutimiza ahadi zake!Kikwete ndo anaongoza tungeanza kumuuliza yeye akitekeleza huenda hata hizo unazodai zipo utekelezaji utakuwa umekamilika automatic!Lakini mkuu imekuwaje umepatwa magonjwa ya kike ilhali wewe mwanaume au wa kuambukizwa!Ila pole mwaya..
 
kama kuna mtu ambaye anaamini kuwa chadema italeta maendeleo anajidanganya.

wenzako nao walipata ukombozi wa fikra wanamaendele ukijua mbili na mbili ni ngapi na mbili ongeza mbili ni ngapi utayaona maendeleo yaliyo letwa na chadema
 
Rudini Lumumba mukarekebishiwe mpango kazi wenu wa mashambulizi!,Pamoja na mabosi wenu kuwagharamikia kila kitu hususani simu,laptop,Solar za kuchajia na posho za siku lakini kuna kitu muhimu hawajaweza! Nacho ni kuwapanga namna ya kuendesha mapambano ya mashambulizi kwa kuzingatia uwiano sahihi wa HADHI na USHAWISHI KTK JAMII na unayeenda kupambana nae,Na hili ndo tatizo kubwa linalowapelekea ku fail kwa kazi muliyotumwa.Kinachotokea munajikuta munawashambulia watu si size yenu na MUSIOENDANA NAO na hatimaye mwisho wa siku munatolewa nock out.HUWEZI KUTUNGA PROPAGANDA YA KUMCHAFUA MBUNGE wakati hauna hata hadhi na uwezo wa kutunga propaganda ya kumchafua hata M/kiiti wa mtaa! Harafu utegemee utafanikisha huo mpango.Khaaaaa nyie Manyumbu wa Lumumba ni bure kabisa
 
Taja kwa magamba wote unaowajua nani mwenye uwezo kama lema arusha, magamba yote yanawaza kuibia wananchi 2 wavujajasho
 
Magamba kwa kumtumia mkuu wa mkoa wenu mulugo,mlitaka kuhakikisha lema hapati nafasi ya kutumikia wananchi waliomchagua,kila siku mliibua kila aina ya vikwazo,mkaona haitoshi mkamtumia Hakim feki yule,maana alijua kabisa anachofanya ni kinyume cha sheria,kwa maagizo ya CCM akamnyang'anya ubunge,amekaa kipindi kirefu nje,alafu sasa inahoji trekta trekta,you must be mad.
Kwahiyo trekta liko wapi? Mbona hili swali hamlijibu? Nikupe dondoo tu, kipindi kile Lema aliposimamishwa ubunge aliliuza!!!! we endelea kuwa msukule wa kutetea uozo wa CHADEMA hapa, mwenzako Lema anapiga hela!
 
Hajawa mbunge kwa miaka 3 maana maCCM mlifanya njama na kufanikiwa kuusitisha ubunge kwa takribani mwaka mmoja ila mwishoni mkaambulia aibu na fedheha kwa magamba na mafisadi

Ni ahadi zipi aliyo tekeleza
kwahiyo hakuna ahadi itakayotekelezwa tena? Lema huwa anajiharibia mwenyewe, Siku ile alijipeleka Jela kwa kutaka huruma ya wananchi kumbe ndio anazidi kujiharibia! Mbunge kupoteza wiki mbili jela kwa kutaka mwenyewe ni ujinga sana!
 
Hivi LEMA kapotelea wapi siku hizi?

Maandamano, vurugu na uchozi kimya kabisa siku hizi

Kweli nimeamini ngoma ya kitoto haikeshi.....

kuna mtaa wa mnazimmoja hapa ar;kuna vijana wanajua kuwapoteza na kuwafunga midomo ;hawa vijana usiombeukaingia 18 zao;
 
Acha Porojo, sijakwambia ulinganishe ahadi za LEMA na JK? Machinga Complex iko wapi? na Lile Trekta Liko wapi?

maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi? tunajua maccm mnajitahidi sana kumfanyia lema hujuma ili asitekeleze majukumu yake lakn ss tutaidai kila kitu ccm kwa sababu ndo inakusanya kodi zetu
 
Kama mtu una akili timamu huwezi kuuliza ahadi za mbunge kabla ya ahadi za chama kinachotawala sababu ilani yao ndo ilipata ridhaa.mfano;ajira milioni moja,maisha bora n.k
 
Muulize meya wa jiji la arusha anajua,kama haitoshi tar.29 mwezi huu bunge linaanza wambie magamba wenzako wamuulize lem
 
Hivi ccm nchi hii pamoja na kuwa na miti yote hii hata madawati ya wanafunzi yanatushinda??
 
Hivi yale magamba yalivuliwa baada ya siku tisini??au yule lililoishia kiunoni ndo akapewa uongozi wa kamati nyeti ya bunge!!!
 
Back
Top Bottom