Mh. Lema na CHADEMA acheni ulaghai!

Mh. Lema na CHADEMA acheni ulaghai!

Kama mtu una akili timamu huwezi kuuliza ahadi za mbunge kabla ya ahadi za chama kinachotawala sababu ilani yao ndo ilipata ridhaa.mfano;ajira milioni moja,maisha bora n.k

Makamanda majibu yenu, yanaonyesha jinsi gani mlivyo misukule wa LEMA, mtu katoa ahadi, hajatekeleza hata moja, leo tunamuuliza kwa faida ya wana arusha, mnaanza kusema asiulizwe!!!!
 
Hivi yale magamba yalivuliwa baada ya siku tisini??au yule lililoishia kiunoni ndo akapewa uongozi wa kamati nyeti ya bunge!!!

Machinga complex toka 2010 mpaka leo? hata mikakati ya ujenzi haipo, kweli kuwaamini CHADEMA ni sawa na kujitoa fahamu!
 
Kwa hiyo unalala hufanyi kazi ukitegemea Lema akuletee maendeleo?Fanya kazi kwa bidii kama mtumwa ili baadae uishi kama mfalme.Lema kazi yake ni kuhamasisha na sio kukupa fedha.
 
Acha kujitoa ufahamu, toka lini mbunge akajenga barabara? tena wakati zinajengwa yeye alikuwa Jela hajui hata kinachoendelea!

ndo siasa zinavyoendeshwa mkuu.chochote kinachofanywa na halmashauri husika ujue ni mtaji wa wanasiasa.awe ni mbunge ama diwani wote huwa ni mtaji kwao.
 
Hivi ahadi za jk ni mwaka gani vileee!! Tena ndie anakusanya kodi.

Kwahiyo kama JK(CCM) hatekelezi ahadi zake na Lema(CHADEMA) hatekelezi ahadi zake. Kuna tofauti gani kati ya CHADEMA na CCM? mbona huwa mnakesha hapa mkisifia chama chenu?
 
Anayekusanya kodi ndo mwenye jukumu la kupeleka hela za maendeleo kwenye halmashauri ambako mbunge ni diwani pia ili kuzisimamia na kuleta maendele😵nyesha ushaidi wa central govt kupeleka fedha za maendeleo Arusha na zikatumika vibaya bila kujenga iyo complex unayotaka.Ikifika hapa ndo watu wanaitaji serikali za majimbo,mana
resources frim all over the country zinajenga bagamoyo.
 
Kichefu chefu cha jina la mtoa thread

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Lile Trekta Lema alimuuzia Mzee mmoja wa pale Daraja mbili, anaitwa KITASHO!
 
Ni kweli Lema alitoa ahadi zifuatazo.

1. Kuhamisha stand kuu nje ya mji.

2. Kujenga machinga complex eneo la stand kuu ya sasa.

3. Ujenzi wa hospital kubwa ili kupunguza msongamano Mt Meru Hospital

4. Mikopo kwa vijana na wanawake.

Kati ya watu wa mwanzo kupingana na ahadi za Lema Ngongo alikuwa mstari wa mbele.Hivi Lema kama mbunge anakusanya kodi kiasi gani ili aweze kutimiza ahadi zake ?.Serekali za mitaa na serekali kuu ndizo zenye wajibu huo na si mbunge tyulipokuwa tukimkosoa wanazi wa CDM wakawa wanarusha madongo kibao mara ohoo unamwonea wivu....Sasa leo ni mwaka wa tatu Lema hajaweza kuhamisha stand,hajaanza ujenzi wa hosptal,hajatoa mkopo kwa wakina mama na vijana !.
 
Mleta mada we ni kiazi tu:::.... Mh lema angejenga machinga complex lini wakat mmemsumbua kwa kesi za uongo na kumnyima asifanye kazi? Kumbuka lema alikuwa na kesi nyingi na hatimae akavuliwa ubunge na niny magamba, kuhamisha stand haiwez kufanikiwa kama halmashaur na manispaa hawataki, lema amepambana vyote hivyo lakin magamba wamempinga vyakutosha,trekta alilotoa unamuliza nan liko wapi? Si ukamulize aliepewa??? Leo nikikuuliza mabilion ya kikwete umeshapata utajib nn?? Kikwete aliahidi barabara za juu dar je kajenga?? Kiwanja cha ndege iko wapi??? Machinga complex dar vp??? Je bajaj za wamama wajawazito??? Kama kikwete kashindwa ndani ya miaka 10, lema alieteswa na kusumbuliwa asifanye kaz angeweza kwa mwaka 1 tu ya ubunge wake???
 
Mleta mada we ni kiazi tu:::.... Mh lema angejenga machinga complex lini wakat mmemsumbua kwa kesi za uongo na kumnyima asifanye kazi? Kumbuka lema alikuwa na kesi nyingi na hatimae akavuliwa ubunge na niny magamba, kuhamisha stand haiwez kufanikiwa kama halmashaur na manispaa hawataki, lema amepambana vyote hivyo lakin magamba wamempinga vyakutosha,trekta alilotoa unamuliza nan liko wapi? Si ukamulize aliepewa??? Leo nikikuuliza mabilion ya kikwete umeshapata utajib nn?? Kikwete aliahidi barabara za juu dar je kajenga?? Kiwanja cha ndege iko wapi??? Machinga complex dar vp??? Je bajaj za wamama wajawazito??? Kama kikwete kashindwa ndani ya miaka 10, lema alieteswa na kusumbuliwa asifanye kaz angeweza kwa mwaka 1 tu ya ubunge wake???
 
Ni kweli Lema alitoa ahadi zifuatazo.

1. Kuhamisha stand kuu nje ya mji.

2. Kujenga machinga complex eneo la stand kuu ya sasa.

3. Ujenzi wa hospital kubwa ili kupunguza msongamano Mt Meru Hospital

4. Mikopo kwa vijana na wanawake.

Kati ya watu wa mwanzo kupingana na ahadi za Lema Ngongo alikuwa mstari wa mbele.Hivi Lema kama mbunge anakusanya kodi kiasi gani ili aweze kutimiza ahadi zake ?.Serekali za mitaa na serekali kuu ndizo zenye wajibu huo na si mbunge tyulipokuwa tukimkosoa wanazi wa CDM wakawa wanarusha madongo kibao mara ohoo unamwonea wivu....Sasa leo ni mwaka wa tatu Lema hajaweza kuhamisha stand,hajaanza ujenzi wa hosptal,hajatoa mkopo kwa wakina mama na vijana !.

Uko sahihi kabisa bwana Ngongo Badala ya wanaCHADEMA kushusha matusi, jitafakarini, kisha mjihoji? kwanini LEMA ameshindwa kutekeleza ahadi kama alivyoahidi? je alizitoa akiwa anamaanisha atazitekelezaje? ilihali source of fund ni unknown?
 
Mleta mada we ni kiazi tu:::.... Mh lema angejenga machinga complex lini wakat mmemsumbua kwa kesi za uongo na kumnyima asifanye kazi? Kumbuka lema alikuwa na kesi nyingi na hatimae akavuliwa ubunge na niny magamba, kuhamisha stand haiwez kufanikiwa kama halmashaur na manispaa hawataki, lema amepambana vyote hivyo lakin magamba wamempinga vyakutosha,trekta alilotoa unamuliza nan liko wapi? Si ukamulize aliepewa??? Leo nikikuuliza mabilion ya kikwete umeshapata utajib nn?? Kikwete aliahidi barabara za juu dar je kajenga?? Kiwanja cha ndege iko wapi??? Machinga complex dar vp??? Je bajaj za wamama wajawazito??? Kama kikwete kashindwa ndani ya miaka 10, lema alieteswa na kusumbuliwa asifanye kaz angeweza kwa mwaka 1 tu ya ubunge wake???

Basi mkuu, punguza ukali! Trekta lishauzwa kwa Mzee Kitasho wa Daraja mbili!
 
Chadema hatuna matusi sisi, mbna hamuulizi kikwete ahadi za barabara za juu???? Rais mwenye serikal ameshindwa,licha ya lema??? Moja ya vitu vikubwa aliyofanya lema ni kuwapa watu moyo ujasiri,leo kina mama wafanyabiashara ndogondogo kama wauza ndizi,mahindi hawasumbuliwi,hawatandikwi viboko kama mara tu ya lema kuvuliwa ubunge,lakin aliporudishiwa ubunge wamamgambo wale wakaacha kuwapiga wale kina mama,lema katoa misaada gar la hospital,kawalipia watoto yatima ada zaid ya elfu 3..kama mh lema angekuwa mbunge muda wote bila kusumbuliwa angejitahid yote hayo kama si kumaliza basi angepunguza...na si chadema na lema mnailaumu,kwa kuwa serikali ni ya ccm, hata majimbo yanayoongozwa na ccm hakuna kilichofanyka,afadhali hata ya chadema kwa kuwa wabunge wake wanaonekana majimbon kuwaeleza jinsi mipango na mikakati ya utekelezaj wa ahad zinavyokwamishwa na serikali.,mfn mzur ni kule kwa mbunge wa mh Nasar ambapo serkikal kupitia diwan wake walizuia visima visichimbwe kwenye kata ya diwan wa ccm, na kule kwa ndesa,gar la wagongwa alilonunua ndesamburo serikali likaliharibu na kulificha..huku kwa mbunge wa ccm ole medeye,hakuna alichofanya,aliahid barabara za lami,hakuna tangu uhuru,aliahid hosp leo jmbo zima hakuna,aliahdi kutoa mikopo hakuna mpaka leo cha kushangza zaid hata jmbon haonekan.... Mim sipend kuwalaumu wabunge wote wa vyma vyote,nailaumu serikali kwa kutopeleka pesa za mirad ya maendeleo mapema.. Hata wabunge wa ccm wenyew wanajua hilo...
 
Sasa kama lema alishatoa trekta hadharani mbele za wananchi, na waliopokea iweje waliuze??? Haingii akilini kwa mleta mada kusema mbunge kauza trekta, yaan uuze kitu ambacho hakipo mikonon mwako?? Mbunge alishatoa,kama waliopewa wameliuza,kwann useme tena mbunge??? Achen siasa chafu bana, kama ulimsikia lema vizur baada ya kurudishiwa ubunge wake alieleza jinsi anavyokumbuka ahadi zake ila amesumbuliwa ili asifanye kazi, lema alisema kabla hata ya kuwa mbunge rais alimtaka agombee unbunge kupitia ccm,lema akagoma,akaambiwa tutahakikisha hufany kazi,wtu wa Arusha wanajua kuwa lema hajashindwa kutekeleza ahad isipokuwa anasumbuliwa makusudi, ndo maana watu wa Arusha wanampeda lema,kumbuka ni hao mwez uliopita tu kashinda kesi ya kutungwa,na kwa taarifa yako,hakuna kiongoz wa ngaz za juu wa chadema ambae hajafunguliwa kesi ili tu kuwayumbisha....ccm imetawala hii nchi miaka 33 sasa hakuna maisha bora,wananch tunaish maisha magumu,makato ya lain za simu,pesa zinzfichwa uswis,vigogo wanawapa watu pesa wawateke wengine kama ughaid na wanakubali kwa kuwa hakuna pesa,rais anapokea mshahara mil 34 kwa mwez na halipi kodi, waziri mkuu mil 26 na halipi kodi,wtanzania walalahoi wanalazimishwa kulipa kodi hata kama una kakibanda tu, walimu na wafanyakaz wa uma wanakatwa kodi kubwa tu,yaan mshahara laki 4 lakin unakatwa kod unaambulia lak 3 au 2.. , kati ya chadema na ccm wepi waliowalaghai watanzania??? Chadema hawajashika nchi bado...tusiishambulie chadema tu tukaisahau ccm waliotufanya watz maskini....
 
Sasa kama lema alishatoa trekta hadharani mbele za wananchi, na waliopokea iweje waliuze??? Haingii akilini kwa mleta mada kusema mbunge kauza trekta, yaan uuze kitu ambacho hakipo mikonon mwako?? Mbunge alishatoa,kama waliopewa wameliuza,kwann useme tena mbunge??? Achen siasa chafu bana, kama ulimsikia lema vizur baada ya kurudishiwa ubunge wake alieleza jinsi anavyokumbuka ahadi zake ila amesumbuliwa ili asifanye kazi, lema alisema kabla hata ya kuwa mbunge rais alimtaka agombee unbunge kupitia ccm,lema akagoma,akaambiwa tutahakikisha hufany kazi,wtu wa Arusha wanajua kuwa lema hajashindwa kutekeleza ahad isipokuwa anasumbuliwa makusudi, ndo maana watu wa Arusha wanampeda lema,kumbuka ni hao mwez uliopita tu kashinda kesi ya kutungwa,na kwa taarifa yako,hakuna kiongoz wa ngaz za juu wa chadema ambae hajafunguliwa kesi ili tu kuwayumbisha....ccm imetawala hii nchi miaka 33 sasa hakuna maisha bora,wananch tunaish maisha magumu,makato ya lain za simu,pesa zinzfichwa uswis,vigogo wanawapa watu pesa wawateke wengine kama ughaid na wanakubali kwa kuwa hakuna pesa,rais anapokea mshahara mil 34 kwa mwez na halipi kodi, waziri mkuu mil 26 na halipi kodi,wtanzania walalahoi wanalazimishwa kulipa kodi hata kama una kakibanda tu, walimu na wafanyakaz wa uma wanakatwa kodi kubwa tu,yaan mshahara laki 4 lakin unakatwa kod unaambulia lak 3 au 2.. , kati ya chadema na ccm wepi waliowalaghai watanzania??? Chadema hawajashika nchi bado...tusiishambulie chadema tu tukaisahau ccm waliotufanya watz maskini....
 
aiseeee nazani mtoa uzi atakuwa kalizika na majibu mazuri yaliyotolewa na wadau
 
Ahad zitatekelezwa ! la sivyo kuna 7bu c haya macc ndo weny serikali au unafkiri cdm wanatekeleza ahdi zao kwa ruzuku ya chama?ngoja kutulie na hzo varangati,mara uchaguz,wezi manispaa,rc kaingiria,mara macc wamemweka ndan mara kesi!hzo hila tumezingundua mnampotezea lema muda ila 2015 iwe ndo hoja yenu!!!we trust in u g lema!!
 
Back
Top Bottom