Mh. Lema na CHADEMA acheni ulaghai!

Mh. Lema na CHADEMA acheni ulaghai!

Mbona unapenda kuubana uwezo wako wa kufikiri? unapoleta mada inayousu ahadi za wagombea lazima tuwe na wigo mpana wa kujadili na sio mbaya tukajadili ahadi zote tulizoaidiwa wana wa Arusha mwaka 2010 bila uwoga.
Sisi tunasubiria hiyo meli ya Jk kwa sababu mimi ni Baharia so nawakika wa ajira, na wewe kama ni machinga basi endelea kuulizia mambo ya machinga complex
Na Hospital ya mama na watoto aliyosema anaijenga kabla ya mwaka 2013...ujenzi umeshaanza?
 
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
  1. Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
  2. kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
  3. Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?

CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.

Mulize Gaundance Lymo mliyeshikisha kwa Nguvu Halimashauri ya Jiji la Arusha.. Mburula..
 
Umeandkika ukiwa kwenye shughuli za MSALANI inaeleweka. Vipi ahadi ya fastJet, Dhaifu, Dr. Dr. Dr. Dr. JK na CCM juu ya maisha bora kwa kila Mtanzania?

Kwahiyo hizo ahadi za Bw.Lema zilishatekelezwa sio? Mbona mnajitia uchizi hivi? Jitambueni sasa!
 
Mulize Gaundance Lymo mliyeshikisha kwa Nguvu Halimashauri ya Jiji la Arusha.. Mburula..

Lyimo anamzuia mbunge kutekeleza ahadi zake? hii mpya sasa! Mbunge kachaguliwa kihalali na wananchi kwahiyo yupo kwa mujibu wa sheria, Na Meya Lyimo kachaguliwa kihalali na madiwani kwahiyo naye yuko pale kisheria. Endeleeni kudanganywa na Lema. Mbona ile Bungalow kule Njiro Meya hakumzuia kujenga?
 
Fedha za maendeleo ya wananchi mnapeleka uswis yeye afanyeje,wambie magamba wenzako (a.k.a manyan'gau) warudishe hizo fedha msifikiri watanzania tumesahau tunawasubiri kwenye box la kura hata kama ni uchaguzi mdogo.
 
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
  1. Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
  2. kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
  3. Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?

CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.

Lema hana uwezo wa kuleta maendeleo jimboni arusha, yeye ni bingwa wa uharibifu kwa fujo na maandamano..hamna kitu pale, ni makelele tu..
 
Lema hana uwezo wa kuleta maendeleo jimboni arusha, yeye ni bingwa wa uharibifu kwa fujo na maandamano..hamna kitu pale, ni makelele tu..

Eti alisema, jiji likiwa chafu, yeye ataongoza wananchi kuzoa taka zote na kwenda kuzimwaga ofisini kwa mkuu wa mkoa. akili ya mbunge hiyo!!
 
muulize kwanza baba liz ahadi zake ziko wapi nchi hii (meli ya kisasa bukoba ) maana ndie mwenye kodi za wananchi.
 
Fedha za maendeleo ya wananchi mnapeleka uswis yeye afanyeje,wambie magamba wenzako (a.k.a manyan'gau) warudishe hizo fedha msifikiri watanzania tumesahau tunawasubiri kwenye box la kura hata kama ni uchaguzi mdogo.

Na fedha za Mfuko wa Jimbo LEMA anafanyia nini?
 
Na Hospital ya mama na watoto aliyosema anaijenga kabla ya mwaka 2013...ujenzi umeshaanza?

Inaekea huyu ni Mama Mjamzito au ni Mama anaye tegemea kupata ujauzito kwahiyo anaulizia Hospitali ya Kujifungulia kama jamaa alivyoulizia Meli apate ajira ya Ubaharia.
 
Inaekea huyu ni Mama Mjamzito au ni Mama anaye tegemea kupata ujauzito kwahiyo anaulizia Hospitali ya Kujifungulia kama jamaa alivyoulizia Meli apate ajira ya Ubaharia.

Ndio mi mjamzito, haya, Taja Hospital iko wapi? acheni kujitoa fahamu enyi vijana. Kijana inatakiwa ujitambue, sio kila mwanasiasa kwa ajili ni wa chadema akiongea kitu unakiamini 100 %!!!
 
nasikia kuna msemo wa wahenga eti 'ukiona mama mjamzito anatema-tema mate ujue kichanga cha tumboni kimejamba'. endelea kutema mate mama, sisi tushajua ni kwa nini.

Chadema na Matusi ni kama samaki na maji! Hamna utamaduni wa kushirikisha ubongo. Mmebakia ushabiki tu!
 
Anasubiri jk ajenge kila manispaa ya dat,apeleke meli kubwa maziwa yote na ageuze kigoma kuwa dubai.
 
Back
Top Bottom