Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Na Hospital ya mama na watoto aliyosema anaijenga kabla ya mwaka 2013...ujenzi umeshaanza?Mbona unapenda kuubana uwezo wako wa kufikiri? unapoleta mada inayousu ahadi za wagombea lazima tuwe na wigo mpana wa kujadili na sio mbaya tukajadili ahadi zote tulizoaidiwa wana wa Arusha mwaka 2010 bila uwoga.
Sisi tunasubiria hiyo meli ya Jk kwa sababu mimi ni Baharia so nawakika wa ajira, na wewe kama ni machinga basi endelea kuulizia mambo ya machinga complex
Hivi LEMA kapotelea wapi siku hizi?
Maandamano, vurugu na uchozi kimya kabisa siku hizi
Kweli nimeamini ngoma ya kitoto haikeshi.....
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?
- Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
- kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
- Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.
Umeandkika ukiwa kwenye shughuli za MSALANI inaeleweka. Vipi ahadi ya fastJet, Dhaifu, Dr. Dr. Dr. Dr. JK na CCM juu ya maisha bora kwa kila Mtanzania?
Mulize Gaundance Lymo mliyeshikisha kwa Nguvu Halimashauri ya Jiji la Arusha.. Mburula..
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?
- Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.
- kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.
- Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.
CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.
Lema hana uwezo wa kuleta maendeleo jimboni arusha, yeye ni bingwa wa uharibifu kwa fujo na maandamano..hamna kitu pale, ni makelele tu..
Fedha za maendeleo ya wananchi mnapeleka uswis yeye afanyeje,wambie magamba wenzako (a.k.a manyan'gau) warudishe hizo fedha msifikiri watanzania tumesahau tunawasubiri kwenye box la kura hata kama ni uchaguzi mdogo.
Na Hospital ya mama na watoto aliyosema anaijenga kabla ya mwaka 2013...ujenzi umeshaanza?
Lema hana uwezo wa kuleta maendeleo jimboni arusha, yeye ni bingwa wa uharibifu kwa fujo na maandamano..hamna kitu pale, ni makelele tu..
CCM wana ilani ya wizi
Ulikuwa ya ngapi? maana hata Lema hujui yuko chama kipi.
Inaekea huyu ni Mama Mjamzito au ni Mama anaye tegemea kupata ujauzito kwahiyo anaulizia Hospitali ya Kujifungulia kama jamaa alivyoulizia Meli apate ajira ya Ubaharia.
Ndio mi mjamzito
nasikia kuna msemo wa wahenga eti 'ukiona mama mjamzito anatema-tema mate ujue kichanga cha tumboni kimejamba'. endelea kutema mate mama, sisi tushajua ni kwa nini.
uliza maswali ya maana basi Bi. Mkubwa. Lema hajui chama alichopo itakuwa ajabu wewe kuyajuwa haya kabla ya mkewe.