Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Mwaka 2010 wakati wa kampeni, ulitoa ahadi ambazo zilisababisha watu wengi wakupe kura nikiwemo mimi.
cha kushangaza mpaka leo(miaka mitatu baadaye) hakuna hata moja iliyotekelezwa.
Vp na lile trekta ulilolitoa kwa wananchi liko wapi?-Trekta ipo na linafanya kazi. mwaka jana limewasaidia wananchi wasiojiweza kwa kuwalimia mashamba yao. Kwakuwa unakaa kijiweni huna shamba lingekuja kukulimia kwenye karai?
- Kuhamishia stendi kubwa ya mabasi eneo la ngulelo ili kupunguza msongamano mjini.-Itatekelezwa baada ya meya wa kichina kuondolewa
- kujenga Machinga complex kubwa katikati ya jiji la Arusha.-Itatekelezwa baada ya meya wa kichina kuondolewa
- Kuwapa akinamama na vijana mikopo ya kujiendeleza.-Itatekelezwa baada ya meya wa kichina kuondolewa
CHADEMA na LEMA acheni kudanganya wananchi, msidhani hatuna akili. Tunawangoja kwenye boksi la kura 2015.
Nadhani hapo utakuwa umeeleweka