Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Hebu tuache uongo huyo Ngalai, Salakana, Mramba mbona wasizitengeneze hizo barabara?
Mrema mwenyewe msikilize hiyo kesho mambo aliyomsifia JK kwenye jimbo lake la Vunjo leo hii hasa kwa kuchaguliwa Diwani
Unajua tatizo lwa wachagga hasa upro CDM mnaona kila kitu ni kibaya na ni halali yenu kupatiwa bure lakini ni wivu mtupu kuna barabara ya kuunganisha Marangu Mtoni mpaka Mwika ni miaka inasumbua na kodi zinatolewa mbon ahaiishi? au ile ya Kilema Kirua
Ulitaka akina Ngalai,Salakana na wengineo watoe fedha mfukoni?
-Wanakusanya kodi?
-Fikra hizi ndizo zinazosababisha CCM kuwahadaa wananchi kwamba wao ndio wamejenga barabara na kuifanya ionekane favour
-Chadema sasa tuna utamaduni wa kuweka mambo wazi kwa kutoa elimu ya uraian.Mfumo wetu wa kodi sasa ubadilike ili wananchi wajue wametengewa kiasi gani na wamechangia pato la taifa kiasi gani.Hata vitongoji vijue
-Hiu tabia ya kufungua milango kwa ajili ya propaganda ni Mbaya.
Kama Mrema atasifia ni shauri zake na TLP yake pengine anaandaa mazingira ya kurudi CCM ndiyo maana anasifia kwa makosa jambo ambalo ni wajibu wa serikali