OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,175
- 103,649
CCM kwa kuokoteza sifa, siku Dr.Slaa akimsifia huyo Mr.Mbulula nadhani kesho yake yatatangazwa mapumziko, hakuna kwenda job
Huyu Selasini ni sawa tu na Masumbuko Lamwai matapeli zandiki ndumilakuwili.
Hongera Mheshimiwa Joseph Selasin, Mbunge wa Rombo kwa kuwa muwazi kuhusiana na utendaji murua wa Rais JK kwa kuwezesha ujenzi wa barabara jimboni mwake.
Amediriki kutamka mbele ya Rais JK kuwa "Ingekuwa amri yake barabara husika ingeitwa Jakaya Kikwete Road"
Source: Taarifa ya HABARI TBC, Saa 2 Usiku, October 30, 2012
Ulitaka akina Ngalai,Salakana na wengineo watoe fedha mfukoni?
Kama Mrema atasifia ni shauri zake na TLP yake pengine anaandaa mazingira ya kurudi CCM ndiyo maana anasifia kwa makosa jambo ambalo ni wajibu wa serikali