frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,337
(Joseph Mbilinyi
‎...na kwa suala la dr ulimboka kutekwa na kuteswa na serikali...rais kikwete na serikali yake moja kwa moja wanaingia kwenye orodha ya tawala za afrika na dunia zilizotumia UTESAJI au kwa kiingereza TORTURE dhidi ya raia wanaopingana kimtazamo na mwenendo wa serikali zao...na kwa bahati mbaya kwao ni kuwa, watawala wa aina hii hukumu zao ni hapa hapa duniani kama ilivyotokea kwa ghadafi, mubarak, charles taylor na wengine waliohukumiwa kama sio na umma basi na ICC-The Hague...Unlike · · Share)
‎...na kwa suala la dr ulimboka kutekwa na kuteswa na serikali...rais kikwete na serikali yake moja kwa moja wanaingia kwenye orodha ya tawala za afrika na dunia zilizotumia UTESAJI au kwa kiingereza TORTURE dhidi ya raia wanaopingana kimtazamo na mwenendo wa serikali zao...na kwa bahati mbaya kwao ni kuwa, watawala wa aina hii hukumu zao ni hapa hapa duniani kama ilivyotokea kwa ghadafi, mubarak, charles taylor na wengine waliohukumiwa kama sio na umma basi na ICC-The Hague...Unlike · · Share)