MH Joseph Mbilinyi Message from facebook.....

MH Joseph Mbilinyi Message from facebook.....

Aiseee baba yangu kile kabao cha wananita sugu nani wananita sugu nani wananita sugu sugu sugu ndio kinagongwa huku rombo na watu wanacheza si mchezo wameziba masikio hawataki kusikia kelele za magamba

napata mbege kiulaini
 
Vipi yule kijana wa chuo kikuu aliyeteswa na Heche mpaka wakataka kumfanyia kitu kibaya.
IQ yako alwaz inachezea ZERO hivi hata sikumoja hujiulizi lini itapanda hata 0.5,bad luck nahisi una hasara hutaweza hata ikontrol familia wewe.
 
Weweee!! tumewashitukia siku nyingi na huo mpango wenu wa kutufanya wajinga kwa shule zenu za kata ili tuendelee kuwa wajinga ili mtutawale vizuri. ndio maana mnajitokeza vifua mbele kutangaza idadi kubwa ya waliofaulu kumbe hawajui kusoma wala kuandika. pia mnakenua meno kwasababu walimu wamekubali kufundisha kwa kinyongo, kwasababu mnajua hawatafundisha elimu nzuri na kwahiyo mbumbu wataongezeka ili lengo lenu la kuifanya tz ni taifa la wajinga lifikiwe. Kumbuka Mungu anaona uovu wenu na majibu ni hivi karibuni.

Kwa mara ya kwanza wakati wa Kikwete tunaona wanafunzi wakienziwa mpaka bungeni.
 
naunga mkono hoja ila SUGU AENDE AKASEME NA BUNGENI ILI UJUMBE UFIKE KWA HADHIRA ILIYOKUSUDIWA
 
IQ yako alwaz inachezea ZERO hivi hata sikumoja hujiulizi lini itapanda hata 0.5,bad luck nahisi una hasara hutaweza hata ikontrol familia wewe.

Pro-Chadema mna vituko sana yaani mtu akiwa against Chadema ndio hawezi kuikontrol famailia yake? Vipi Dr Slaa anaikontrol familia yake?
 
Pro-Chadema mna vituko sana yaani mtu akiwa against Chadema ndio hawazi kuikontrol famailia yake? Vipi Dr Slaa anaikontrol familia yake?
unawashwa kweli kila mtu unadhani ni chadema tu wewe mimi sio chadema wala sikujui wewe ni mnyama gani ila for the first time nimesoma ulichokiandika nikajua IQ =ZERO full stop .funguka akili uchadema ,uccm toa kichwani waza kibinadamu zaidi wewe
 
Pro-Chadema mna vituko sana yaani mtu akiwa against Chadema ndio hawezi kuikontrol famailia yake? Vipi Dr Slaa anaikontrol familia yake?

Sasa Issue ya Mtu Kutekwa kuteswa na kudhalilishwa wewe unafurahia!!! Hii si Aibu Kabisa!! Are all people Ok here in JF?
 
Sasa Issue ya Mtu Kutekwa kuteswa na kudhalilishwa wewe unafurahia!!! Hii si Aibu Kabisa!! Are all people Ok here in JF?

Mkuu usijaribu kuniwekea maneno mdomoni ni wapi nimefurahia mtu kutekwa? Usikurupuke kujibu mie nimemjibu Chadema-Kata mwenzako...halafu nyie Pro-Chadema JF wengi wenu mna ufinyu wa kuelewa mtataka kuigeuza issue ya Dr Ulimboka,kama mtaji wa kisiasa.
 
unawashwa kweli kila mtu unadhani ni chadema tu wewe mimi sio chadema wala sikujui wewe ni mnyama gani ila for the first time nimesoma ulichokiandika nikajua IQ =ZERO full stop .funguka akili uchadema ,uccm toa kichwani waza kibinadamu zaidi wewe

Kweli wewe ni kituko kwa hiyo wewe kazi yako kupima watu IQ zao humu JF...sasa utawezaje kupima IQ wakati wewe mwenyewe IQ yako kama ya Penguin.
 
Mkuu usijaribu kuniwekea maneno mdomoni ni wapi nimefurahia mtu kutekwa? Usikurupuke kujibu mie nimemjibu Chadema-Kata mwenzako...halafu nyie Pro-Chadema JF wengi wenu mna ufinyu wa kuelewa mtataka kuigeuza issue ya Dr Ulimboka,kama mtaji wa kisiasa.

You are real paid on other issues!!
 
Vipi yule kijana wa chuo kikuu aliyeteswa na Heche mpaka wakataka kumfanyia kitu kibaya.

Ultamlnganisha Heche na Mwenyekiti wa usalama? Amiri jeshi mkuu? Kwahiyo kwasababu Heche kafanya bay unajustfy mkuu wa nchi sawa.
 
Kweli wewe ni kituko kwa hiyo wewe kazi yako kupima watu IQ zao humu JF...sasa utawezaje kupima IQ wakati wewe mwenyewe IQ yako kama ya Penguin.
i never argue with a fool with IQ=ZERO its the same size to all ccm followers.nothing to discussc with u
 
Mkuu Ritz,

Unanikumbusha issue ya Dr Walid A Kaburu na Mh Chacha Wangwe, hakuna anaethubutu kuhoji pesa za ruzuku na za wafadhili CDM ni mwiko!

Wewe na Ritz mnapagawa! alichokiandika Mh Mbilinyi na kinachowatoa povu mbona vinautofauti mkubwa sana. Mtakuwa sio wazima nyie
 
Msisahau ya kule Mbeya mlipompigia sugu magoti ili azime majeshi ya wanamapinduzi vijana. Police waligwaya,FFU waligwaya, JWT wakawasaliti,JKT wakabaki kuranda mitaani bila mwelekeo. Hapo ndipo mlipojuwa yupo mwanaume aitwae Sugu.Siku hiyo Police walijisahau wakampigia saluti, nakumbuka jinsi mji mzima ulivyofurika na kuimba,"Anaitwa Sugu, Sugu anaitwa Sugu" Hivi mmekuwa wala kunde, enhe?!
Msitukane wakunga bado uzazi ungalipo enyi magamba!!!!
 
Lakini ikumbukwe girba zina mwisho wake, demokrasia ya kweli haiendani na siasa za kuchafuana.Inashangaza pale viongozi wa ngazi ya juu baada ya kusimamia haki wanashiriki katika dhuruma.

hiyo blue sijakupata fresh!!
 
Kweli wewe ni kituko kwa hiyo wewe kazi yako kupima watu IQ zao humu JF...sasa utawezaje kupima IQ wakati wewe mwenyewe IQ yako kama ya Penguin.

hapa ndipo ilipofika Jamii forums!!
 
Back
Top Bottom