Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
Huyo Kijana hana jina?? Gamba @ work,serikali hii itapata kichapo hapa hapa duniani + wachumia tumbo wote wa mabwepande!
Kweli kabisa tukipata jina tufuatilie maana Ulimboka yupo na Serikali inayoshutumiwa ipo lakini kwa upande wa pili kuna Heche na kijana wa chuo kikuu ambae jina halijulikani