Mh.john komba apinga kusinzia bungeni!!

Mh.john komba apinga kusinzia bungeni!!

kipindupindu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2010
Posts
1,054
Reaction score
170
Asema alikuwa 'anakemea'
kutokana na maombi yake mbowe ametoa kauli nzuri bungeni.
Akiri alifeli darasani.
 
tupatie picha ya mh. akichapa lepe la usingizi. pengine alitoka kubwia supu ya makongoro:thinking:
 
Mkuu ni kweli kasema alikuwa anakemea mapepo, wabunge wake walicheka sana. Nadhani alikuwa anajisafisha baada ya jana kuanikwa na mapaparazi wa mwananchi.
 
hahahahaha,jana nilicheka sana,na nazidi kucheka,AMEKANA HAKULALA?dah,au kwakuwa mwandish amesema alikuwa akifuatilia kikao?ile ni KEJELI,
 
Sasa nimejua ukweli makada wa ccm wenye vitambi wote wanafikiri kwa kutumia vitambi vyao. chukua anayoongea Tambwe Hiza na leo John Komba utaupata ukweli.
 
ha hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani JF mnanivunja mbavu kwa kicheko, ati alikua anakemea mapepo, wakati mwenyewe pepo!!
 
sasa kama alikuwa anakemea mapepo si angemshirikisha mchungaji mama lwakatare?....au mganga prof maji marefu....
 
yaaani nilichekaa nilipomsikia Kapteni Komba...hahaaa alinifurahisha sana sanaaa
 
Kwenye haya halali kamwe........

Anna_Lupembe.JPG
 
Back
Top Bottom