Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #101
Mwita Maranya cha ajabu sana Mtambuzi anataka tumuhalalishie kumzibua matoto maskio wakati mama hata nyuzi hajatoa jamani ni ukame ama? hapo haruhusiwi kugusa kwasasa hadi mama mshono upone kabisa ingawa anaweza kukaa hardly miez 2. pia amwache mama apate tena hamuaa jamani kuzaa kunauma sasa kumwingilia kwa wakati huu unakuta bado mama anamawazo sana hata kulifurahia hawez kufurahia.
Nilishasema swali hilo niliulizwa na jirani yangu mie hainihuu.... Mama Ngina anahusikaje na jirani yangu ... Wee nawe gfsonwin...!
Last edited by a moderator: