uuwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiii kama ndo hivyo yaani ulinzi ndo utazidi, tunataka hata baada ya miaka 15 ya ndoa watu wawe wanabishana kuwa bado ni binti......
haahahaaaaa Mtambuzi leo umepatikana.....
Mwache Mama Ngina miezi mitatu (3)....
Then muanze ado ado.......
Kuku wako papara za nini?
Mamndenyi are you serious...! Unazungumzia miezi au wiki?
nahisi itakuwa ni typing error labda.... au?
mie nikikuhadithia ada ya shule sina mwakani. Ngoja wakezo waamke kaka.
swtlo mzima wewe? hahahhahhahh..............unashangaa nini ilihali mzee mwenzenu anataka kuleta dhahama hapa?
eti anataka kumzibua mtoto maskio lol! yaaani hata wiki hana????????????? mmmmmmmmmmmmmh! this time kuna watu tumejitolea kumsmamia lazima miez sita igonge .....lolest!
naunga mkono hoja!swtlo mzima wewe? Hahahhahhahh..............unashangaa nini ilihali mzee mwenzenu anataka kuleta dhahama hapa?
Eti anataka kumzibua mtoto maskio lol! Yaaani hata wiki hana????????????? Mmmmmmmmmmmmmh! This time kuna watu tumejitolea kumsmamia lazima miez sita igonge .....lolest!