Mh! Hawa sasa wamepitiliza.

Mh! Hawa sasa wamepitiliza.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,663
pikipiki2.jpg
 
Duh hawa ni more than kupitiliza, tuite mshikaki au sijui ndio tuite nini?
 
Mi naona kama huyo mtoto ndani ya ndoo ni photoshop au !!!

Kama ni kweli basi huo mshikaki ni wa ukweli !!!
 
Mi naona kama huyo mtoto ndani ya ndoo ni photoshop au !!!

Kama ni kweli basi huo mshikaki ni wa ukweli !!!

yaah hata mie nahisi hivyo maana kwanza hajavaa nguo wakati watu wazima wamejivalisha mikoti kujikinga na upepo.ila hii ni mishikaki ya ukweli!
 
Hili haliwezekani na likiwezekana ni hatari sana. Halafu ni unyanyasaji wa watoto.

Duh!
 
yote maisha si Afrika tu kwenye matatizo na ufumbuzi wa muda mfupi tu; hata wenzetu wamo
 
Ile ya watatu Bongo mnaita mshikaki, hii nayo nini?:confused2:
 
Ama kweli China wanafanya mambo zaidi ya simple! Hii mishikaki! du!
 
Hiyo familia ingekuwa na Carina si wangeigeuza DCM? Teh teh teh!
 
:A S 100::A S 100::A S 100:
simpati kova nimpe ishu
 
Ni nadharia zaidi imetumika hapo,ila ni hatari.
 
Hao ni wakimbizi kutoka nchi gani? machafuko yametokea wapi hata wakajisomba hivyo kuokoa roho zao?
 
Huyo mtoto aliebebwa na mbereko picha imetengenezwa angalia mbeleko ikifika shingoni mwa mama na huyo wa ndani ya ndoo pia hayupo pichani ndoo ina mfuniko.
 
pikipiki2.jpg


Ndibalema

Hii ni nchi gani?,
Kama ni mishikaKI hii ndiyo ya ukweli, lakini bado siamini kama hii inawezekana
 
Back
Top Bottom