Mh Habib Mchange unahujumiwa Kibaha mjini?

Status
Not open for further replies.
MChange ajibu hoja, badala ya kumshambulia Kubenea ambaye hata hajatangaza kuwa anataka kugombea ubunge jimbo la Kibaha. Lakini ninavyofahamu mimi, Mchange anashindwa kushiriki mikutano ya CDM jimboni Kibaha kwa sababu wananchi walimchangia fedha ili kufungua kesi, lakini fedha hizo amekula na kesi hakufungua.

Ndiyo maana viongozi wake wa Kibaha wamegoma kumshirikisha kwenye mikutano yao kwa kuwa wanaogopa kuulizwa na wananchi maswali ambayo hawana majibu nayo. Leo hii, wananchi wa KIbaha wanamtaka Mchange awaeleze kwa nini aliwadanganya kwamba amefungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi, wakati hakufungua na fedha alizochangiwa amezila?

Suala la Kubenea kutaka kugombea au kutogombea, silijui. Bali tumezoea kumzulia kijana huyu hoja nyingi za uwongo humu jamvini.

Kwa mfano, mwaka jana kuna watu walikuwa wanasema kuwa Kubenea anakwenda Mafia kugombea ubunge kupitia CCM. Uchaguzi umekwisha, hatukumuoa akifanya hivyo. Wakasema, Kubenea amenunuliwa na Lowassa, juzi amemchana Lowassa watu wote kimya. Sasa wanasema anataka kugombea ubunge Kibaha. Je, kwa nini msimuuliza, badala ya kumzushia?

Kama anataka kugombea kwa nini azuiwe, wakati Mchange mwenyewe amekimbia na fedha za wanaKibaha?
 
MIMi nimpiga kura wa jimbo la Kibaha Mjini. Kura yangu nilimpa Habib MChange, mgombea ubunge wa Chadema. Lakini tangu kumalizika uchaguzi mkuu bwana huyu nimemuoa mara moja tu, wakati alipokuwa anatuomba tumchangie fedha ili aweze kufungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge. Tukasimama naye na kumchangia.

Lakini Mpaka leo, hatujasikia kesi hiyo ikifunguliwa wala hatujamuona Mchange Kibaha. Je, mbunge wetu mpendwa uko wapi? Njoo Kibaha utueleze juu ya kesi yetu na kama huna majibu, turudishie fedha tulizokuchangia. ZK
 
Duh Mchange!

Mara ya kwanza nilitaka kuamini kuwa wewe unaweza kuwa kiongozi, lakini kwa majibu yako haya huwezi kuwa na hufai hata kidogo. Hivi ni kiongozi gani anayeweza kusema kitakachomzuia kuwa mbunge wa Kibaha mjini ni kifo tu. Be serious bwana. Ina maana nafasi ya wapiga kura unaipeleka wapi mkuu? Eti unasema kwa mbinu unazozijua mwenyewe. This is non sense. Nilitegemea ungesema wananchi wataamua sasa haya mambo ya kujiapiza yametoka wapi. You have been always preaching in being democratic 'as you call njano to be njano or nyekundu to be nyekundu' and yet you can not practise it. Kweli Tanzania tuna kazi! Hivi unadirikiaje kusema eti jimbo limeandaliwa na wanaume na mtu mwingine asiwe na halki ya kugombea? Wewe vipi bwana, unamtisha nani? Kama ni kuandaliwa hata wewe usingegombea basi maana tayari ulikuta kulikuwa na watu. Naweza kubashiri kuwa wewe ukiwa madarakani kwa msemo wako wa mbinu unazozijua mwenyewe utakuwa kama Gadhafi au madikteta wengine wowote wanaong'ang'ania madaraka kwa nguvu zao zote.

Nakushauri angalia upya hizo mbinu zako na claim zako za hati miliki ya Jimbo la Kibaha

Regards
mchange amewapatia sana..w
ala hamuitaji kujibiwa majibu ya busara kwa sababu hata nyinyi hamna busara.
moja kati ya wapiga kura ambao wameshaamua hivyo ni yeye mwenyewe mchange..
namuunga mkono tena sababu anafahamu anachokisema na ana msimamo huyo dogo nyie tu hamumfahamu mnateseka na kijiba cha roho..
 
MIMi nimpiga kura wa jimbo la Kibaha Mjini. Kura yangu nilimpa Habib MChange, mgombea ubunge wa Chadema. Lakini tangu kumalizika uchaguzi mkuu bwana huyu nimemuoa mara moja tu, wakati alipokuwa anatuomba tumchangie fedha ili aweze kufungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge. Tukasimama naye na kumchangia.

Lakini Mpaka leo, hatujasikia kesi hiyo ikifunguliwa wala hatujamuona Mchange Kibaha. Je, mbunge wetu mpendwa uko wapi? Njoo Kibaha utueleze juu ya kesi yetu na kama huna majibu, turudishie fedha tulizokuchangia. ZK
muulize JOHN MREMA au Anthony komu anafahamu hizo pesa walipozipeleka..
hata wewe nasikia ulifungua kesi uliposhindwa kuime na lyatonga mrema ukaambulia kura elf moja mia tatu..
hahahaha huyu dogo anawatesa sana nyinyi eee...mtasema mengi sana mwaka huu...
keep it up mchange
 
MChange ajibu hoja, badala ya kumshambulia Kubenea ambaye hata hajatangaza kuwa anataka kugombea ubunge jimbo la Kibaha. Lakini ninavyofahamu mimi, Mchange anashindwa kushiriki mikutano ya CDM jimboni Kibaha kwa sababu wananchi walimchangia fedha ili kufungua kesi, lakini fedha hizo amekula na kesi hakufungua.

Ndiyo maana viongozi wake wa Kibaha wamegoma kumshirikisha kwenye mikutano yao kwa kuwa wanaogopa kuulizwa na wananchi maswali ambayo hawana majibu nayo. Leo hii, wananchi wa KIbaha wanamtaka Mchange awaeleze kwa nini aliwadanganya kwamba amefungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi, wakati hakufungua na fedha alizochangiwa amezila?

Suala la Kubenea kutaka kugombea au kutogombea, silijui. Bali tumezoea kumzulia kijana huyu hoja nyingi za uwongo humu jamvini.

Kwa mfano, mwaka jana kuna watu walikuwa wanasema kuwa Kubenea anakwenda Mafia kugombea ubunge kupitia CCM. Uchaguzi umekwisha, hatukumuoa akifanya hivyo. Wakasema, Kubenea amenunuliwa na Lowassa, juzi amemchana Lowassa watu wote kimya. Sasa wanasema anataka kugombea ubunge Kibaha. Je, kwa nini msimuuliza, badala ya kumzushia?

Kama anataka kugombea kwa nini azuiwe, wakati Mchange mwenyewe amekimbia na fedha za wanaKibaha?


uongo dhambi bana...onyesha wapi mchange amemshambulia kubenea...wapi?...hivi ukiambiwa taja watu watatu wenye akili utamtaja kubenea wewe?...
usimsingizie bana...au umetumwa
 
Masalia ya Zitto yapukutishwa CHADEMA


picture-9.jpg

Na Alfred Lucas - Imechapwa 01 June 2011

KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ililazimika kujigeuza mahakama ili kusikiliza malalamiko dhidi ya wagombea nafasi ya uenyekiti wa baraza la vijana la chama hicho (BAVICHA).
Katika kusikiliza malalamiko hayo, Kamati Kuu iliwateua wanasheria wake mashuhuri, Mabere Marando na Profesa Abdallah Safari kuwa majaji wa kuendesha kesi ya Habibu Mchange aliyekuwa anawania nafasi ya mwenyekiti.
Mchange ambaye anajitambulisha kuwa ni mfuasi wa naibu katibu mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe lilalamikiwa na mwenyekiti wa BAVICHA mkoani Mwanza, Liberatus Mlebele kukiuka maadili ya uchaguzi, ikiwamo kusafirisha wajumbe wa mkutano wa uchaguzi kutoka mikoani hadi Dar es Salaam.
Ndani ya CC, Mchange alilazimika kujibu tuhuma moja baada ya nyingine ikiwamo malalamiko ya kushindwa kuwajibika yaliyofunguliwa na katibu wa BAVICHA jimbo la Kigamboni.
Katibu huyo alimtuhumu Mchange kushindwa kutimiza wajibu wake kwa kile alichoeleza, "Tangu achaguliwe kushika nafasi ya mwenyekiti wa BAVICHA wilayani humo hajahudhuria vikao."
Mjumbe mmoja wa CC amedokeza gazeti hili kuwa Mchange ambaye alionekana kuwa na wafuasi wengi, alikatwa kwa kuwa alishindwa kujitetea mbele ya mahakama ya CHADEMA.
Kwa mfano, kati ya 20 Mei na 25 mwaka huu, Mchange alituma zaidi ya Sh. 2, 561,000 kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa vijana kutoka katika mikoa mbalimbali nchini. Fedha hizo zilitumwa na Mchange mwenyewe kupitia mtandao wa M-Pesa na Tigo Pesa.
Namba ya Mchange iliyotumika kusambaza fedha hizo, ni 0658 178678. Alianza kutapakanya fedha kwa wajumbe 11 Mei 2011 saa 10:44.58 ambapo kiasi cha Sh. 28,500 zilitumwa kwa mmoja wa wajumbe wenye simu Na. 0659 374206.
Baadaye saa 11:04.24 alituma Sh. 15,500 kwenda Na. 0659 374206 na kisha 20 Mei 2011 saa 14:03.04 alituma Sh. 19,000 kwa mwenye Na. 0713 866650.
Tarehe 23 Mei 2011 saa 10:56.06, nyaraka zinaonyesa Mchange alituma Sh. 50,000 kwenda kwa mwenye Na. 0713 867745; tarehe 21Mei 2011 saa 11:54.47 alituma Sh. 40,000 kwenda kwa mwenye Na. 0717 268576 na saa 12:41.48 alituma Sh. 81,000 kwa mwenue Na. 0714 038536.
Wengine waliotumiwa fedha na Mchange; ni wenye Na. 0712 511508 aliyetumiwa Sh. 26,000 na mwenye Na. 0713 606169 aliyetumiwa Sh. 10,000 ambaye alitumiwa fedha hizo, saa 22:24.31.
Nyaraka za M-PESA zinamuonyesha Mchange akimtumia Peter Shiyo, mwenyekiti wa BAVICHA wilayani Maswa Sh. 50,000. Fedha hizo zilitumwa 23 Mei 2011 saa 16:39.
Tarehe hiyo 23 Mei 2011 saa 18:48, Mchange alituma kiasi cha Sh. 30,000 mwenyekiti wa vijana wilaya ya Singida Mjini, Wilfred Kitundu.
Aidha, siku hihiyo Mchange akitenda kama karani wa benki alituma Sh. 150,000 kwa mwenyekiti wa baraza hilo mkoani Mwanza, Liberatus Mlebele.
Mara baada ya kupokea fedha hizo, Mlebele aliwasilisha malalamiko kwa katibu mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa akimtuhumu Mchange kumshawishi kwa njia ya rushwa ili amchague kuwa mwenyekiti.
Katika barua yake hiyo, Mlebele pamoja na mambo mengine alisema, "Ninakuandikia kwa nia njema kabisa ya kulinda hadhi ya chama chetu nikiomba maelekezo yako kama mtendaji mkuu wa chama."
Anasema, "Tarehe 28 Mei 2011 Baraza la Vijana wa chama chetu litafanya uchaguzi wa viongozi wake wa kitaifa. Je, sisi wajumbe tumegharamiwa na chama ama wagombea kufika Dar es Salaam kwa ajili ya uchaguzi huu?
Alisema, "Ninauliza hivi kwa sababu tayari mmoja wa wagombea ameshaniagiza kufika Dar es Salaam kwa gharama zake ili kukagua hoteli ambayo wajumbe wa mkoa wangu na kwingineko watafikia hali ambayo ninaihesabu kama rushwa."
Mlebele alisema katika barua yake, "Niko tayari kutoa vielelezo sahihi juu ya kitendo hiki kama itabidi, ili kulinda hadhi ya chama chetu dhidi ya watu hatari kama hawa."
Alisema, "Kwa kuwa mimi binafsi sipendi rushwa na siwezi kuvumilia vitendo vya rushwa na kwa kuwa natambua chama chetu kimekuwa kinara wa kupambana na rushwa nchini, ninaomba kamati kuu ichukue hatua stahiki dhidi ya mtu huyu ili kulinda hadhi ya baraza na chama chetu mbele ya wananchi."
Ni maelezo hayo ya Mlebele yaliyozika ndoto za Mchange kuwa mwenyekiti wa BAVICHA. Taarifa zinasema Dk. Slaa aliwasilisha malalamiko yote mbele ya wajumbe wa CC. Barua ya Mabele iliwasilishwa kwa Dk. Slaa, 26 Mei 2011.
Taarifa zinasema kabla ya CC kujigeuza mahakama ya kusikiliza shauri hilo, mjumbe mmoja alinukuliwa akimtetea Mchange. Hata hivyo, alizimwa na Dk. Slaa aliyesimama kidete kutaka chama chake kichunguze suala hilo na kichukue hatua.
Katika barua yake, Mlebele anasema alifikia katika hoteli ya Bondeni One iliyoko Magomeni. Anamtaja Mchange kuwa ndiye aliyelipa fedha hizo. Alitoa nakala ya kitabu cha wageni kuthibitisha kuwa fedha hizo zililipwa na aliyemteja.
Mchange alikiri mbele ya wajumbe wa CC kuwa ni kweli kwamba simu iliyotajwa kupeleka fedha ni yake; alimhonga Mlebele kiasi kilichotajwa, alilipia sehemu ya gharama za hoteli na alikiri kumuagiza akusanye wajumbe wa mkutano wa uchaguzi.
Kamati kuu ya CHADEMA ilipitisha majina ya wagombea tisa katika nafasi ya mwenyekiti na kisha kukasimu madaraka yake kwa kamati ya wazee kwa hatua nyingine inazoona zinafaa.
Ni kupitia kamati hiyo, ndiko wagombea wengine watatu walifyekwa. Waliopatwa na panga la kamati hiyo iliyokuwa chini ya Edwin Mtei, Bob Makani na mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando, ni Mtela Mwampamba, Bernard Saanane na Grayson Nyakarugu, huku John Heche akionywa na na kuelezwa ikibainika alifanya vitendo kinyume cha maandili, atavuliwa madaraka.
Wote waliokatwa walipatikana na makosa ya rushwa, kutoaminika, kupanga matokeo, makundi na kutumiwa na watu wa kutoka nje ya baraza la vijana.
Akifanya marejeo ya kilichofanyika Jumamosi katika uchaguzi huo uliofanyika ukumbi wa PTA Sabasaba, Temeke, jijini Dar es Salaam, Dk. Slaa alisema chama chake kimeweza kunasua mitego yote ya rushwa iliyopandikizwa na CCM.

gazeti lile lile la mgombea yule yule anayetajwa kutaka kugombea hapo kibaha mjini..
teh teh teh...tangu hilo gazeti limetoka nini mmefanikiwa kuachieve zaidi ya kudharauliwa tu na watu wenye akili zao timau?.
mbona hujakumbusha jinsi gani mbowe alishangilia kuenguliwa kwa mchange wkenye huo uchaguzi?...
 
MChange ajibu hoja, badala ya kumshambulia Kubenea ambaye hata hajatangaza kuwa anataka kugombea ubunge jimbo la Kibaha. Lakini ninavyofahamu mimi, Mchange anashindwa kushiriki mikutano ya CDM jimboni Kibaha kwa sababu wananchi walimchangia fedha ili kufungua kesi, lakini fedha hizo amekula na kesi hakufungua.

Ndiyo maana viongozi wake wa Kibaha wamegoma kumshirikisha kwenye mikutano yao kwa kuwa wanaogopa kuulizwa na wananchi maswali ambayo hawana majibu nayo. Leo hii, wananchi wa KIbaha wanamtaka Mchange awaeleze kwa nini aliwadanganya kwamba amefungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi, wakati hakufungua na fedha alizochangiwa amezila?

Suala la Kubenea kutaka kugombea au kutogombea, silijui. Bali tumezoea kumzulia kijana huyu hoja nyingi za uwongo humu jamvini.

Kwa mfano, mwaka jana kuna watu walikuwa wanasema kuwa Kubenea anakwenda Mafia kugombea ubunge kupitia CCM. Uchaguzi umekwisha, hatukumuoa akifanya hivyo. Wakasema, Kubenea amenunuliwa na Lowassa, juzi amemchana Lowassa watu wote kimya. Sasa wanasema anataka kugombea ubunge Kibaha. Je, kwa nini msimuuliza, badala ya kumzushia?

Kama anataka kugombea kwa nini azuiwe, wakati Mchange mwenyewe amekimbia na fedha za wanaKibaha?

wala usijaribu kuzungumzia kesi ambayo hata hauifahamu..
kawaambie wachaga wenzako kuwa kwenye hili wamechemsha.
kwa taarifa tulizonazo ni kwamba hata chama chenu kilikataa kumchangia huyu dogo ile milioni mbili na nusu ambazo kamati kuu ilipitisha kwa kila kesi yenye matario ya kushinda badala yake mkapeleka kesi kuhamasisha watu wakauawe kumtete mmachame wa arusha mjini bwana leema..
jipangeni vizuri, mchange na wananchi wa kibaha wanajua kila kitu
na siku dogo akiamua kufunguka kuhusu kesi hamtakuwa na majibu ya kutoa mbele ya hao wananchi ambao wewe unajidai ni mmoja wao..
acha kuropoka ropoka tu kama domo kaya...
kesi ya uchaguzi haikuwa mali ya mchange bali ni mali ya chama chao sasa kama chama kimeshindwa hata kuisimamia mnataka kumsingizia mtoto wa watu ili iwe nini..
jiangalie sana wewe pakashume la kubenea
 
jamani kwa taarifa ambazo nimezipata kutoka chanzo makini ni kwamba Kubenea ameshaanza kuchangia makanisa na misikiti mbalimbali pale kibaha lakini waulize akina Heche na wenzao walioenda kufanya mkutano pale kibaha , swali la kwanza kuulizwa lilikuwa ni kwamba mchange yuko wapi? na wakawa hawana majibu, mimi ni mwanachama wa chadema lakini chama chetu kinasumbuliwa na watu wachache sana tena wale political failures mkitaka naweza kuwataja kwa majina,Mchange na kubenea ni sawa na ushindani kati ya Goliati na daudi , mimi ninavyomjuwa mchange Kubenea ataaibika sana , usije shangaa katika kura 800 akapata hata 3 au mbili , mkakati wake wa kuchangia makanisa na misikiti ameuanzisha baada ya kikao kizito yeye na mfadhili wake Edward Lowasa hotel ya Bonden magomeni wiki chache zilizopita,
Leo hii CHADEMA kigoma yote ilikuwa yetu lakini kwa sababu hizi hizi wakashinda chama mfu cha mbatia, Labda target ya chadema ni kuchukua majimbo ya kaskazin tu? Nasikia kuna kigogo mwingine wa magazeti amabye amepewa hiyo nafasi juzi kwa njia ya ajila naye anataka kwenda kugombea moja wapo ya majimbo rahisi Tanzania la kahama sijui anaitwa nani makene alikuwa majira, si aende akagombee kwao
 
nimewafuatilia sana kwenye hii thread nimegundua ni mtu mmoja anajaribu kujibu kila post na sehemu nyingine anabadili ID.Ama kweli chadema sasa ni chama kubwa.
 
Wana JF,

Napenda kwanza kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote kwa kuonyesha uzalendo wa hali ya juu katika zoezi zima la kuchangia thread hii na kutoa mawazo ambayo ni hakika yanajenga na kutia matumaini.

Nilianzisha mjadala huu ili kutaka Mh Mchange aje humu na atoe uthibitisho wa ama kusingiziwa ama kuibua ama pia kuzusha vitu visivyo na uhakika wala ukweli wowote. Kimsingi napenda kutoa shukrani zangu kwa mods kuiacha thread hii ili kuendelea kuruhusu mjadala huu ikiwa na maana kuu moja tu kwamba vijana tuelimishane katika kujenga Tanzania yetu upya na kuukana ukandamizi wa viongozi wetu kwa vithibitisho na sio tetesi.

Kwa moyo mkunjufu napenda kumshukuru Mh Mchange kwa kuwa na moyo wa uzalendo wa yeye kuitikia mualiko na kujumuika nasi JF kujibu hoja, japo hakujibu kwa kirefu na kiundani, imekidhi haja.

Hili ni dhumuni na hasa msingi wa JF katika kuleta mabadiliko kupitia uhuru wa mawazo na hoja kujenga nchi yetu. Wapo waluoenda nje ya maada kwa utashi na uhuru wao, ingawa nawashukuru na wao kutupa changamoto katika kufikiria na kujadili mustakabali wa Taifa letu.

Ni matarajio yangu na wana JF wote kwamba ushirikiano huu utaendelea leo na siku zijazo katika kujadili masuala nyeti ya nchi yetu. Fimbo ya mbali kamwe haiui nyoka na pia penye ukweli, uongo hujitenga. Kama tunavyoamini ukombozi wa nchi huanzia katika dhamira ya kweli ya mwananchi mwenyewe, basi tuwe na bidii kuendeleza wimbi hili la demokrasia na uwazi kwa kizazi chetu cha sasa na kijacho.

JF itaendelea kuwa mstari wa mbele kuwajuza kila kitu aidha kilivyo kiovu ama chema, na kufungua jukwaa huru la mawazo na ushauri.

Mimi na familia yoye tunawatakia kila la heri katika mwaka huu mpya na mgumu 2012 na hadi sasa mjadala huu umefungwa rasmi.

Ni mimi,
Pangu Pakavu,
Nawasalimia.
 
jamani kwa taarifa ambazo nimezipata kutoka chanzo makini ni kwamba Kubenea ameshaanza kuchangia makanisa na misikiti mbalimbali pale kibaha lakini waulize akina Heche na wenzao walioenda kufanya mkutano pale kibaha , swali la kwanza kuulizwa lilikuwa ni kwamba mchange yuko wapi? na wakawa hawana majibu, mimi ni mwanachama wa chadema lakini chama chetu kinasumbuliwa na watu wachache sana tena wale political failures mkitaka naweza kuwataja kwa majina,Mchange na kubenea ni sawa na ushindani kati ya Goliati na daudi , mimi ninavyomjuwa mchange Kubenea ataaibika sana , usije shangaa katika kura 800 akapata hata 3 au mbili , mkakati wake wa kuchangia makanisa na misikiti ameuanzisha baada ya kikao kizito yeye na mfadhili wake Edward Lowasa hotel ya Bonden magomeni wiki chache zilizopita,
Leo hii CHADEMA kigoma yote ilikuwa yetu lakini kwa sababu hizi hizi wakashinda chama mfu cha mbatia, Labda target ya chadema ni kuchukua majimbo ya kaskazin tu? Nasikia kuna kigogo mwingine wa magazeti amabye amepewa hiyo nafasi juzi kwa njia ya ajila naye anataka kwenda kugombea moja wapo ya majimbo rahisi Tanzania la kahama sijui anaitwa nani makene alikuwa majira, si aende akagombee kwao

Acha majungu wewe
 
wala usijaribu kuzungumzia kesi ambayo hata hauifahamu..
kawaambie wachaga wenzako kuwa kwenye hili wamechemsha.
kwa taarifa tulizonazo ni kwamba hata chama chenu kilikataa kumchangia huyu dogo ile milioni mbili na nusu ambazo kamati kuu ilipitisha kwa kila kesi yenye matario ya kushinda badala yake mkapeleka kesi kuhamasisha watu wakauawe kumtete mmachame wa arusha mjini bwana leema..
jipangeni vizuri, mchange na wananchi wa kibaha wanajua kila kitu
na siku dogo akiamua kufunguka kuhusu kesi hamtakuwa na majibu ya kutoa mbele ya hao wananchi ambao wewe unajidai ni mmoja wao..
acha kuropoka ropoka tu kama domo kaya...
kesi ya uchaguzi haikuwa mali ya mchange bali ni mali ya chama chao sasa kama chama kimeshindwa hata kuisimamia mnataka kumsingizia mtoto wa watu ili iwe nini..
jiangalie sana wewe pakashume la kubenea

Kama hatendewi haki kwanini anganganie chadema? Vyama viko chungu mzima
 
mbona wewe hujahamia nccr mageuzi wakati na chenyewe ni cha kwenu wachaga? acheni ujinga chadema ni yetu sote na kwa taarifa ili muone kuwa kaskazini haiikubali chadema arumeru mtashindwa mbaya maana hamna mkakati wowote, kama mngelikuwa mnajuwa ngome ya chadema iko kanda ya ziwa na siyo arusha mnakomalizia rasli mali za chama, mwaka 2015 mmwambie huyo mchaga mwenzenu aliyepo mwanza akagombee kwao machame other wise jimbo linaenda ccm
 
Duh kumbe CCM na CHADEMA ni sawa sawa,siasa za makundi na majungu..hazijengi!
 
Kama Mchange hujajibu juu ya fedha zetu wanaKibaha, hatutaki kukuona huku? Na kama Kubenea anataka ubunge Kibaha kupitia chama chochote anakaribishwa. Bora yeye mtu wa Pwani kuliko wanakibaha kutawaliwa na mtu kutoka Ruvuma akajifanya mtu wa Pwani. NG'O
 
Acha unafik wewe kwanza kubenea ni muoga mno, kumbuka mwaka jana alifuatwa na Msekwa na kuombwa akagombee Igunga jimbo lililoachwa wazi na Rostam aziz maana mmoja wa wazazi wake wanatokea huko alikataa, sasa kwao na kubenea siyo Kibaha mjini ni vijijni kwa nini asiende kule?
Mimi binafsi ningependa hata nafasi ya mwenyekiti CHADEMa taifa apewe Mchange maana uwezo wake wa kuongoza ni mkubwa sana na uchaguzi mkuu wa cham ujao hata mimi nitachukua fomu ya uenyekiti Taifa,naamini kafulila atakuwa chadema by tht time naye atagombea, Zitto atagombea, mwampmba atagombea, juliana shonza atagombe na nitateuwa secrteriet yangu kama ifuatavyo

1. mwenyekiti mimi,
2 katibu mkuu;Ben saanane
3. naibu katibu mkuu bara :Nyakarungu
4.mkurugenzi wa fedha na utawala;John Mnyika ila nitambana kuhakisha pesa zetu haziendi kufanya kazi za maandamano na kukesha uwanjani kwa ajili ya mtu aliyejipeleka jele mwenyewe
5.habari na uenezi.mwampamba
Slaa nitamuomba agombee ujumbe baraza la wazee na abaki kuwa mgombea urais pekee, mbowe abaki kuwa mshauri wa chama
 
mbona wewe hujahamia nccr mageuzi wakati na chenyewe ni cha kwenu wachaga? acheni ujinga chadema ni yetu sote na kwa taarifa ili muone kuwa kaskazini haiikubali chadema arumeru mtashindwa mbaya maana hamna mkakati wowote, kama mngelikuwa mnajuwa ngome ya chadema iko kanda ya ziwa na siyo arusha mnakomalizia rasli mali za chama, mwaka 2015 mmwambie huyo mchaga mwenzenu aliyepo mwanza akagombee kwao machame other wise jimbo linaenda ccm

Eti wewe ndiye unajifanya uko chadema.Shame on you.Nakushauri achana kabisa kwani wewe huiwezi na nitapeli tu wa kisiasa.Mtu umekamatwa na rushwa unataka upate nafasi ya kugombea ubunge! Bavicha kamwe haitaongozwa na wala rushwa.Hamia kwa wala rushwa wenzako.Mpuuzi yeyote mlarushwa anaposhindwa kujihalalisha kwa utendaji wake basi atajihalalisha kwa ukabila au udini.
 
Acha unafik wewe kwanza kubenea ni muoga mno, kumbuka mwaka jana alifuatwa na Msekwa na kuombwa akagombee Igunga jimbo lililoachwa wazi na Rostam aziz maana mmoja wa wazazi wake wanatokea huko alikataa, sasa kwao na kubenea siyo Kibaha mjini ni vijijni kwa nini asiende kule?
Mimi binafsi ningependa hata nafasi ya mwenyekiti CHADEMa taifa apewe Mchange maana uwezo wake wa kuongoza ni mkubwa sana na uchaguzi mkuu wa cham ujao hata mimi nitachukua fomu ya uenyekiti Taifa,naamini kafulila atakuwa chadema by tht time naye atagombea, Zitto atagombea, mwampmba atagombea, juliana shonza atagombe na nitateuwa secrteriet yangu kama ifuatavyo

1. mwenyekiti mimi,
2 katibu mkuu;Ben saanane
3. naibu katibu mkuu bara :Nyakarungu
4.mkurugenzi wa fedha na utawala;John Mnyika ila nitambana kuhakisha pesa zetu haziendi kufanya kazi za maandamano na kukesha uwanjani kwa ajili ya mtu aliyejipeleka jele mwenyewe
5.habari na uenezi.mwampamba
Slaa nitamuomba agombee ujumbe baraza la wazee na abaki kuwa mgombea urais pekee, mbowe abaki kuwa mshauri wa chama

I swear to my God.Hakuna mlarushwa atakayepata nafasi ya kugombea ubunge kupitia chadema.Hata ukiichafua chadema kiasi gani you are wasting your time.
 
kaka.
Mimi ni kama wewe tu.
nimeiona hii thread humu na nikatoa maelezo yangu kama nilivyoombwa kufanya hivyo.
ninachofahamu mimi inawezekana kuna watu humu jamvini wana motions zao wanataka kuzifikia kupitia majina ya watu.
mimi sifahamu lolote kama kuna mtu yoyote anataka kugombea kibaha mjini wala sina mamlaka ya kumzuia mtu yoyote agombee sio tu kibaha bali mahala popote pale isipokuwa nina misimamo na mipango yangu ambayo pamoja na watu tunaoaminiana ni kwamba 2015 sio ombi kuwa mbunge wa kibaha mjini bali ni lazima kwa sababu ambazo mimi ninazo na ninaziamini.
sasa kama kuna mtu yoyote anayenihofia kiasi cha kuanza kuja humu mitandaoni na kuwachanganya wadau wala asipate taabu wanakibaha wanajua wanachokifanya na ninamkaribisha sana aje tujenge chama.
wala hatuna haja ya kuzunguka humu ndani na kuuma uma maneno kana kwamba uchaguzi unafanyika kesho ama kana kwamba ni dhambi mtu kutamani kugombea jimbo lolote. cha msingi ni yeye tu mwenyewe tu kujifanyia tathmini kuwa anajionaje kuvamia jimbo lililoandaliwa na wanaume wenzie wakati kuna majimbo kibao yanapita bila kupingwa? ni vitu tu vya kujiuliza na kufanya maamuzi mepesi bila hata kushikiwa fimbo.
kwangu mimi nyekundu ni nyekundu na njano ni njano sijaumbwa kuwa mnafiki na wala sitakuja kuwa mnafiki katika maisha yangu yote.
ninaamini katika kile ninachokisimamia.
wabillah tawfiq

Too easy to be predictable" truly you are loosing it: you could do better to maintain your credibility
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom