Mh. Deo Filikunjombe salute...

Mh. Deo Filikunjombe salute...

Natamka Rasmi Chama gongo la Mboto amefilisika Kimawazo. Ameshindwa hoja analeta Mitusi
 
Hongera Fili, umeonyesha kuwa wewe ni mtu huru na unafanya upendacho na kukiamini, wala huna akili za kushikiwa. usiishie hapo, fikisha ujumbe mpaka kwa wapiga kura wako nao wauone mwanga, kwa kuwa wanakuamini wata act accordingly.
 
Habari ambazo hazijadhibitishwa ni kuwa Mukama na Nape wako kwenye kikao cha dharula kumjadili Deo na jinsi ya kuwazuia wabunge wengine wa Magamba 160 ambao Intelijensia ya CCM imegundua wako tayari kuchangia M4C.
(joke) tehe tehe tehe!

Jamani wana JF nijuvye, siku ya tatu leo niko kwenye kuwafudisha makarani wa sensa ya watu hivyo muda wa kupata yanayojiri nayakosa. Naomba mnijuvye kiufasaha Deo Kafanyaje kwani, maana najihisi kushangiria bila kuwa na details ya kilichotokea
 
next time Lema akiichangia CCM msilie faul. Deo kawatega mkategeka

CHADEMA hebu tuache ulofa wa mawazo kwani tusipende ushabiki wa namna hii kwani akija Zitto kuchangia CCM na sisi tusije tukatoa povu.
Mimi siwapendi wanafiki.
 
Chama,you talk of so many things which are unfounded and unrelated to the matter. For instance;

“We are on the verge of cleaning the house”
Which house are you cleaning? Of what dirty? You say ‘we’ who are the ‘we’ so you are on JF to clean your dirty party? Good to note so, but you woke up too late,if so.

You say “…all that shit is gone and we are closing all gap between party`s leaders and members..”
So you have the shit on you? Lol! Which shit is gone then? Who are the leaders and who those members are? Why were they left aside by the leaders? What have your leaders been leading if not the members?

“.. it will be nonsense if we allow stupid members like Deo to slow our progress…”
You, yourself sound stupid here! Deo has done what he believes is good as to his conscience and belief. Stupid are those who follow whatever is said and decided by theirs parties (I am made to believe and trust you are one of). By the way, who are you to call someone stupid? What cleanses you to make you to deserve outpouring such insults to your fellow countryman? You ought to feel sorry for your rotten tongue before you vomited anything worth being read in the FJ.

and “… CCM will continue to be stronger without that stupid who is looking for cheap popularity..”
Chama, You say your CCM will continue being stronger? Stronger in weaknesses? Stronger in internal confrontations, misunderstandings and fragmentations? Stronger in election Malpractices? Go to Kenya and see where KANU is today!

Mbona anachaingia sana CCM and you don’t say a word? I bet you don’t know man/woman. Go to his constituency and ask them about Deo’s contributions to the party and they will educate you.


“ Deo was nothing before he was elected; did you even know him before?”
There is a saying that goes: “Nothing is nothing even if something is added to that nothing” So it reveals that he was someone before he was elected that is why voters from his constituency elected him to represent them. Do you think they elected nothing? After all hatuhitaji kujua mtu alikuwa nani before. If someone does something good in the society,he must be applauded.

Acha dharau na matusi kaka/dada. Hata kama unatetea chama kama jina lako lilivyo,matusi ya nini?Jaribu kuwa mstaarab.

Mkuu Mpandafarasi

Kama members wote, au at least 75 per cent, wangeweza kujiepusha na matusi na uzushi eti tu kwa sababu ya kutofautiana kimawazo, kiitikadi na kimtazamo, basi JF ingekuwa kisima cha habari za uhakika, mawazo huru, na elimu. Lakini mambo ni kinyume kabisa. Siku hizi JF imekuwa sehemu ambayo nasikitika kusema imejaa upotoshaji wa hali ya juu, propaganda za kipuuzi kabisa za vyama, uzushi (kwa lengo la kuwavunjia wengine heshima na uaminifu kwa jamii), religious intolerance, nk.

Nilijiunga JF kwa lengo la kujifunza zaidi, lakini siku hizi ninachokutana nacho kwenye Jukwaa la Siasa ni upotoshaji na kudhalilishana.

Tupendane, tuheshimiane, tuelimishane, turekebishane-bila kutukanana au kudhalilishana.

Once again, hongera kwa kumuelimisha Mkuu Chama juu ya umuhimu wa kuheshimu binadamu wenzie.
 
Chama,you talk of so many things which are unfounded and unrelated to the matter. For instance;

"We are on the verge of cleaning the house"
Which house are you cleaning? Of what dirty? You say ‘we' who are the ‘we' so you are on JF to clean your dirty party? Good to note so, but you woke up too late,if so.

You say "…all that shit is gone and we are closing all gap between party`s leaders and members.."
So you have the shit on you? Lol! Which shit is gone then? Who are the leaders and who those members are? Why were they left aside by the leaders? What have your leaders been leading if not the members?

".. it will be nonsense if we allow stupid members like Deo to slow our progress…"
You, yourself sound stupid here! Deo has done what he believes is good as to his conscience and belief. Stupid are those who follow whatever is said and decided by theirs parties (I am made to believe and trust you are one of). By the way, who are you to call someone stupid? What cleanses you to make you to deserve outpouring such insults to your fellow countryman? You ought to feel sorry for your rotten tongue before you vomited anything worth being read in the FJ.

and "… CCM will continue to be stronger without that stupid who is looking for cheap popularity.."
Chama, You say your CCM will continue being stronger? Stronger in weaknesses? Stronger in internal confrontations, misunderstandings and fragmentations? Stronger in election Malpractices? Go to Kenya and see where KANU is today!

Mbona anachaingia sana CCM and you don't say a word? I bet you don't know man/woman. Go to his constituency and ask them about Deo's contributions to the party and they will educate you.


" Deo was nothing before he was elected; did you even know him before?"
There is a saying that goes: "Nothing is nothing even if something is added to that nothing" So it reveals that he was someone before he was elected that is why voters from his constituency elected him to represent them. Do you think they elected nothing? After all hatuhitaji kujua mtu alikuwa nani before. If someone does something good in the society,he must be applauded.

Acha dharau na matusi kaka/dada. Hata kama unatetea chama kama jina lako lilivyo,matusi ya nini?Jaribu kuwa mstaarab.

Mpandafarasi,
Don`t be stupid I have the rights to express my opinion to cowards like Deo, let me repeat myself in case you didn`t get my point that coward (Deo) was nothing, it was CCM who raise the bar on him so if he thinks he is a superstar in Tanzania politics he can cross over to Chadema, the issue here is not for him to contribute to Chadema as a person; remember Chadema was raising funds to unseat CCM; so who the hell in this world will fund opponents so he can be defeated? if chadema was energizing the public for social development that would have been okay but the function was primarily to collect funds to finance their so called M4C and what is the objectives of M4C? I will stands firm to my points, Deo is a Coward the door is open for him to go wherever he want to go but we are not gonna sit quiet for his nonsense, you sound coward when you said he should applauded for what? Pointing a gun at us? I still believe in CCM; it`s my rights and I have obligations to defend my party from friendly fire; swallow it or spit it I don`t blood care it is what it is!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
shibuda has got love for ccm,..you give up deo,cdm give up shibuda,.unfair exchange though

I said before Shibuda will remain loyal to CCM no matter what; Chadema knew about but they accept him so they add up ruzuku

Chama
Gongo la mboto DSM
 
in red..if this dude does not get a long term ban,then i will realize double standards are applied to certain jf members..mods do the poetic justice please

In the court of Law 2 changes everything; ass, shit are normal words which we use daily, sometimes you can`t get the best to describes cowards like Deo but I tried very hard ! please don`t put your devil minds in my head! I meant fu2kers -FUTUKAZI! if it sounds otherwise I am sorry but message delivered!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Natamka Rasmi Chama gongo la Mboto amefilisika Kimawazo. Ameshindwa hoja analeta Mitusi

Lete sera pale nilikuwa najadili msaliti anayeleta upuuzi ndani ya chama chetu

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Mpandafarasi

Kama members wote, au at least 75 per cent, wangeweza kujiepusha na matusi na uzushi eti tu kwa sababu ya kutofautiana kimawazo, kiitikadi na kimtazamo, basi JF ingekuwa kisima cha habari za uhakika, mawazo huru, na elimu. Lakini mambo ni kinyume kabisa. Siku hizi JF imekuwa sehemu ambayo nasikitika kusema imejaa upotoshaji wa hali ya juu, propaganda za kipuuzi kabisa za vyama, uzushi (kwa lengo la kuwavunjia wengine heshima na uaminifu kwa jamii), religious intolerance, nk.

Nilijiunga JF kwa lengo la kujifunza zaidi, lakini siku hizi ninachokutana nacho kwenye Jukwaa la Siasa ni upotoshaji na kudhalilishana.

Tupendane, tuheshimiane, tuelimishane, turekebishane-bila kutukanana au kudhalilishana.

Once again, hongera kwa kumuelimisha Mkuu Chama juu ya umuhimu wa kuheshimu binadamu wenzie.

Usipoteze muda mimi nilielemishwa zamani; upendo naujua na unafiki wa watu kama Deo siwezi kuuvumulia hata kidogo yeye kama anaona CCM haimfai na aondoke tu asituletee unafiki kwenye chama; huyo mpandapunda mwambie atafute mtu wa kumuelemisha sio mimi.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mpandafarasi,
Don`t be stupid I have the rights to express my opinion to cowards like Deo, let me repeat myself in case you didn`t get my point that coward (Deo) was nothing, it was CCM who raise the bar on him so if he thinks he is a superstar in Tanzania politics he can cross over to Chadema, the issue here is not for him to contribute to Chadema as person; remember Chadema was raising funds to unseat CCM; so who the hell in this world will fund opponents so he can be defeated? if chadema was energizing the public for social development that would have been okay but the function was primarily to collect funds to finance their so called M4C and what is the objectives of M4C? I will stands firm to my points, Deo is a Coward the door is open for him to wherever but we are not gonna sit quiet for his nonsense, you sound coward when you said he should applauded for what? Pointing a gun at us? I still believe in CCM; it`s my rights and I have obligations to defend my party from friendly fire; swallow it or spit it I don`t blood care it is what it is!!

Chama
Gongo la mboto DSM

Wewe Unasema Deo Coward kwa sababu ya hisia na tetezi zako kuwa kachangia M4C Ok,you are right then.Sasa Kanini Huwa unawashwa balaa na wenzio wakisema the same kwa KUWADI WENU ZITTO?Tena huyu kafika sehemu mbele ya umaa anaonyesha dhahiri. 2010 kwenye kampeni alisema anaunga mkono DHAIFU wakati anajua Watanzania nchi nzima ikiwemo Kigoma Kaskazini walikuwa wanataka Dr. Slaa? Pili:Arumeru watu wako buzzy,yeye anasema anautaka urais,lengo kuwaondoa watu kwenye track?Upo?Bahati Mbaya Arumeru sio Igunga,au in general ni watu wasio wa-ubwabwa wakakomaa.Hotuba ya Waziri Kivuli Fedha alifanya "blanda" makusudi kuwaondoa watu kwenye mood waonekane wapinzania nao kituko.Sasa ukiona hivyo "Unakubali kuwa kweli Zitto ni kibaraka wenu" aliyenunuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya kufuatilia mikataba ya Madini,Zile noise zake zimeishia wapi.Bahati mbaya "Walianza na Mungu watamaliza na Mungu,Sheitwani hata ajigambe kuwa yeye muadilifu" Josephat Kadenge-Kalambo alishasema,wewe ukijidai hutaki posho kama Zitto kumbe unapokea posho nzito zaidi, na ukijidai muadilifu kuwa amir,Mungu ananamna ya kuonyesha uadilifu wa mtu.Deo yuko perfect na kwa taarifa yako kama Huijui Ludewa,nenda Lupingu kule ziwani kisha muulize Tingatinga atakujulisha kule ni watu wa aina gani.Deo leo hii hata akigombea kupitia APPT-Maendeleo anashinda ludewa,so Nyinyiemu msimtishe.
 
Wewe Unasema Deo Coward kwa sababu ya hisia na tetezi zako kuwa kachangia M4C Ok,you are right then.Sasa Kanini Huwa unawashwa balaa na wenzio wakisema the same kwa KUWADI WENU ZITTO?Tena huyu kafika sehemu mbele ya umaa anaonyesha dhahiri. 2010 kwenye kampeni alisema anaunga mkono DHAIFU wakati anajua Watanzania nchi nzima ikiwemo Kigoma Kaskazini walikuwa wanataka Dr. Slaa? Pili:Arumeru watu wako buzzy,yeye anasema anautaka urais,lengo kuwaondoa watu kwenye track?Upo?Bahati Mbaya Arumeru sio Igunga,au in general ni watu wasio wa-ubwabwa wakakomaa.Hotuba ya Waziri Kivuli Fedha alifanya "blanda" makusudi kuwaondoa watu kwenye mood waonekane wapinzania nao kituko.Sasa ukiona hivyo "Unakubali kuwa kweli Zitto ni kibaraka wenu" aliyenunuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya kufuatilia mikataba ya Madini,Zile noise zake zimeishia wapi.Bahati mbaya "Walianza na Mungu watamaliza na Mungu,Sheitwani hata ajigambe kuwa yeye muadilifu" Josephat Kadenge-Kalambo alishasema,wewe ukijidai hutaki posho kama Zitto kumbe unapokea posho nzito zaidi, na ukijidai muadilifu kuwa amir,Mungu ananamna ya kuonyesha uadilifu wa mtu.Deo yuko perfect na kwa taarifa yako kama Huijui Ludewa,nenda Lupingu kule ziwani kisha muulize Tingatinga atakujulisha kule ni watu wa aina gani.Deo leo hii hata akigombea kupitia APPT-Maendeleo anashinda ludewa,so Nyinyiemu msimtishe.

Swala tunalojadili ni dogo tu na ahame CCM aende popote anapotaka hatuna tatizo kabisa na yeye kuhama tunachokataa ni unafiki !! Kama huelewi tafuta mkalimani; ni lini Zitto alichangia pesa kampeni za CCM najribu kukumbuka sipati jibu

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Deo Ukweli utakuweka huru, Asante kwa kusoma Nyakati Mapema. Kwani Ludewa sasa ccm HAIKUBALIKI Kabisa,
 
Back
Top Bottom