aliegundua maziwa ya ng'ombe alikua anafanya nini na ng'ombe mpaka akajua haya ni maziwa na yanafaa kwa ma2mizi ya binadamu
Kwa mtaji huu tutahoji vingi sana. Mbona kwa mfano farasi haliwi?
<br /><br />ivyo tu!mi kila mara najiuliza aliyegundua pilau,ilikuwaje akatafuta bizari,vitunguu saum,mdalasini nakadharika akamix kwenye mchele akafanya mambo ya jiko ikatokea kitu PILAU!afu alijuaje ukimwagia na kachumbari ndo inazidi kunoga