Sasa hivi wanafunzi kata ya ilemela mkoa wa mwanza wapo katika maandamano wakiwa na mabango tofauti yenye maandishi "tunataka haki zetu" wakielekea mahakama ya mwanzo wilaya ya ilemela kufungua kesi zidi ya waalimu kwa kukataa kuwafundisha...
Wapumbav tu hao wote,sasa wanamgomea nan na shule zinafungwa ijumaa!hawana madhara hao,wagome tu sisi tunawakatia mishahara na tutakagua vyet vyao kuanzia o'level mpk chuo,aliyegush tu rumande wataisoma
Machinga wao wanahusikaje tena?Hapa maili moja wanafunzi baada ya kuona mashuleni hakuna walimu wakaandamana mpaka office za ccm hapa maili moja wakisindikizwa na wamachinga na nyimbo za kutaka haki yao.
Wapumbav tu hao wote,sasa wanamgomea nan na shule zinafungwa ijumaa!hawana madhara hao,wagome tu sisi tunawakatia mishahara na tutakagua vyet vyao kuanzia o'level mpk chuo,aliyegush tu rumande wataisoma
hii nchi karbia haita tawalika
[QUOTE wakapimwe vichwa hao walimu wa nguluma, kama ni gvt, who is hm?